Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Njia zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi.
1. Ngono zembe Kati ya mwathirika na asiye mwathirika.
_ hii utokea pale ambapo mtu mwenye maambukizi kufanya ngono bila kinga na hasiye na Maambukizi
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali
_ hii hutokea pale ambapo mwenye maambukizi kutumia vitu vyenye ncha kali kama vili wembe,Pini na vitu kama hivyo na mwenye maambukizi
3. Kuwekewa damu yenye virusi vya Ukimwi
_ hii utokea hospitalini pale ambapo mgonjwa utumia damu yenye virusi na yeye hupata kupitia njia hiyo
4. Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
_ hii utokea pale ambapo mama mwenye maambukizi kumwambikiza mwanae wakati wa kujifungua.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Soma Zaidi...Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...