Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Njia zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi.
1. Ngono zembe Kati ya mwathirika na asiye mwathirika.
_ hii utokea pale ambapo mtu mwenye maambukizi kufanya ngono bila kinga na hasiye na Maambukizi
2. Kutumia vitu vyenye ncha kali
_ hii hutokea pale ambapo mwenye maambukizi kutumia vitu vyenye ncha kali kama vili wembe,Pini na vitu kama hivyo na mwenye maambukizi
3. Kuwekewa damu yenye virusi vya Ukimwi
_ hii utokea hospitalini pale ambapo mgonjwa utumia damu yenye virusi na yeye hupata kupitia njia hiyo
4. Mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua
_ hii utokea pale ambapo mama mwenye maambukizi kumwambikiza mwanae wakati wa kujifungua.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.
Soma Zaidi...