Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia.

1.Tunajua wazi Ugonjwa wa Nimonia ni ugonjwa unaowashambulia sana watoto ingawa kwa mara nyingine uwapata na watu wazima kwa hiyo ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu chanjo maalumu ya kuzuia ugonjwa huu imetolewa ambayo inapatwa na watoto wadogo kwa vipindi mbalimbali kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo ya kwanza ya kuzuia ugonjwa wa upumuaji utolewa baada ya miezi sita ya mwanzoni kwa watoto ambao wamezaliwa na utolewa kwa kupitia paja la kulia na kiasi ambacho utolewa ni mills moja na nukta tano, kwa hiyo wakina mama na walezi wa watoto wanapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo.

 

3.Chanjo ya pili utolewa wiki ya Kumi baada ya kuzaliwa ambayo ni sawa sawa na miezi miwili na wiki mbili kwa hiyo Mama anapaswa kujua wazi na kumleta mtoto wake ili aweze kupata hiyo chanjo, na kiasi ambacho linatolewa na kile kila kilichotolewa kwenye chanjo ya mwanzoni ambacho ni sifuri nukta tano.

 

4.Chanjo ya tatu na ya mwisho utolewa baada ya  wiki kumi na nne ambazo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo kama kawaida Mama na walezi wanapaswa kumpeleka mtoto ili akapatiwe chanjo .

 

5.Kwa hiyo tunaona umuhimu wa chanjo ya kuzuia magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo. Na kwa upande wa makabila ambayo yanapingana na matumizi ya chanjo wanapaswa kuelimishwa na kujua waziatumizi ya chanjo hii na kazi yake.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1082

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Faida za damu kwenye mwili

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...
Kumsaidia mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote machoni

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.

Soma Zaidi...
Uvimbe kwenye utandu laini uliopo tumboni (peritonitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.

Soma Zaidi...
Kazi za vitamin B na makundi yake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi za vitamin B na makundi take

Soma Zaidi...
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka

Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Upungufu wa vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.

Soma Zaidi...