Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia.

1.Tunajua wazi Ugonjwa wa Nimonia ni ugonjwa unaowashambulia sana watoto ingawa kwa mara nyingine uwapata na watu wazima kwa hiyo ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu chanjo maalumu ya kuzuia ugonjwa huu imetolewa ambayo inapatwa na watoto wadogo kwa vipindi mbalimbali kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo ya kwanza ya kuzuia ugonjwa wa upumuaji utolewa baada ya miezi sita ya mwanzoni kwa watoto ambao wamezaliwa na utolewa kwa kupitia paja la kulia na kiasi ambacho utolewa ni mills moja na nukta tano, kwa hiyo wakina mama na walezi wa watoto wanapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo.

 

3.Chanjo ya pili utolewa wiki ya Kumi baada ya kuzaliwa ambayo ni sawa sawa na miezi miwili na wiki mbili kwa hiyo Mama anapaswa kujua wazi na kumleta mtoto wake ili aweze kupata hiyo chanjo, na kiasi ambacho linatolewa na kile kila kilichotolewa kwenye chanjo ya mwanzoni ambacho ni sifuri nukta tano.

 

4.Chanjo ya tatu na ya mwisho utolewa baada ya  wiki kumi na nne ambazo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo kama kawaida Mama na walezi wanapaswa kumpeleka mtoto ili akapatiwe chanjo .

 

5.Kwa hiyo tunaona umuhimu wa chanjo ya kuzuia magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo. Na kwa upande wa makabila ambayo yanapingana na matumizi ya chanjo wanapaswa kuelimishwa na kujua waziatumizi ya chanjo hii na kazi yake.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1371

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Soma Zaidi...
Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...