Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia.
1.Tunajua wazi Ugonjwa wa Nimonia ni ugonjwa unaowashambulia sana watoto ingawa kwa mara nyingine uwapata na watu wazima kwa hiyo ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu chanjo maalumu ya kuzuia ugonjwa huu imetolewa ambayo inapatwa na watoto wadogo kwa vipindi mbalimbali kama ifuatavyo.
2.Chanjo ya kwanza ya kuzuia ugonjwa wa upumuaji utolewa baada ya miezi sita ya mwanzoni kwa watoto ambao wamezaliwa na utolewa kwa kupitia paja la kulia na kiasi ambacho utolewa ni mills moja na nukta tano, kwa hiyo wakina mama na walezi wa watoto wanapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo.
3.Chanjo ya pili utolewa wiki ya Kumi baada ya kuzaliwa ambayo ni sawa sawa na miezi miwili na wiki mbili kwa hiyo Mama anapaswa kujua wazi na kumleta mtoto wake ili aweze kupata hiyo chanjo, na kiasi ambacho linatolewa na kile kila kilichotolewa kwenye chanjo ya mwanzoni ambacho ni sifuri nukta tano.
4.Chanjo ya tatu na ya mwisho utolewa baada ya wiki kumi na nne ambazo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo kama kawaida Mama na walezi wanapaswa kumpeleka mtoto ili akapatiwe chanjo .
5.Kwa hiyo tunaona umuhimu wa chanjo ya kuzuia magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto ili kupata chanjo. Na kwa upande wa makabila ambayo yanapingana na matumizi ya chanjo wanapaswa kuelimishwa na kujua waziatumizi ya chanjo hii na kazi yake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
Soma Zaidi...Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?
Soma Zaidi...Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha kazi 5 za maafu mwilimi. Wengi tunajuwa tu kuwa mapafu yanafanya kazi ya kupumuwa. ila si hivyo tu yapo mengi zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...