Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha
Zifuatazo ni njia za kumhudumia mtu as liyegongwa na nyoka.
1. Ondoa mgonjwa kwenye sehemu kuepuka kugongwa na nyoka tena.
2.hakikisha mgonjwa asitembee tembee kuepusha Hali ya kusambaza sumu kwenye mwili
3. Funga juu ya sehemu aliyeingongwa Ili sumu isisambae kwenye mwili.
4. Kama upumuaji umesimama kwa ajili ya maumivu au Hali kubadilika hakikisha unampeleka mgonjwa hospitalini haraka kuepuka madhara zaidi.
Angalisho
- usiweke kitu ambacho nicha baridi sehemu ambapo mtu amegongwa na nyoka, hasa usiweke barafu sehemu ambapo mtu amegongwa na nyoka
- usikate sehemu ambapo mtu amegongwa na nyoka .
Tujue kuwa nyoka ni hatari ,tuwe makini pale mtu akifinywa tumpeleke hospitali mara moja kabla hatujampeleka tunapaswa kunifanyia huduma ya kwanza Ili kuzuia sumu isisambae mwilini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 823
Sponsored links
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitabu cha Afya
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...
Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula. Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEANGUKA KIFAFA
Kifafa kinaweza kumpata mtu muda wowte. Soma Zaidi...
Upungufu wa vyakula na madhara yake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini
Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU
Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu. Soma Zaidi...
Kazi za chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio. Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini Soma Zaidi...
Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid Soma Zaidi...