Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa kwa wasichana.
1. Sauti kubadilika na kuwa nyembamba, kipindi hiki sauti za wasichana wengi huwa tofauti hasa huwa nyembamba.
2.wasichana huanza kuingia kwenye siku zao za mwezi, kipindi hiki huwaandaa kuwa wamama na via vya uzazi huanza kukomaa
3. Wasichana huanza kuwa na mvuto kwa wavulana, ni kipindi ambacho urafiki wa wasichana na wavulana huanza.
4.wasichana wengi huota nywele kwenye sehemu zao za Siri na kwapani, ambazo huashilia ukomavu
5. Wasichana huanza kujiamini na kuamini maamuzi Yao, kipindi hiki ugomvi hutokea Kati ya mama na watoto wao wa kike
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage
Soma Zaidi...upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...