Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Hapa niakuorodheshea tu baadhi ya mambo ambayo huchangia kudhoofisha kinga ya mwili wako: -
1. Maradhi kwa mfano saratani, VVU na UKIMWI kisukari na hemophilia. Maradhi hayabhuchangia sana kudhoofisha kinga ya mwili
2. Matumizi ya baadhi ya dawa. Kwa mfano endapo utatumia dawa kiholela bila ya kufuata maelekezo kutoka kwa wataalamu. Ama kuna aina flani za dawa zinapotumika hudhoofisha kinga ya mwili.
Kwa nfano immune suppressor dawa hizi hupewa watu ambao wamebadilishiwa viungo vyao na kupewa vya watu wengine.
3. Umri, kinga yabmeili pia huenda na na umri. Kwa mfano mtoto anapozaliwa anakuwa na kinga dhaifu ya mwili. Pia wazee sana kinga zao za mwili huwa dhaifu kulinganisha na vijana.
5. Lishe na vyakula. Vyakula vina nafasi kubwa katika kulinda afya ya mtu. Hata katika hali ya kawaida utaona mtu asiyekula vizuri yupo hatarini. Tunaposema kula vizuri haimaanishi kushiba inamaanisha kula chakula chenye virutubisho.
Kila aina ya chakula ina virutubisho vyake na kila virutubisho vina kazi yake. Endapo utakosea virutubisho fulani inaweza ku athiri kinga ya mtu. Kwa mfano vyakula vya vitamini hulinda mwili dhidi ya maradhi. Hivyo ukivikosa inaweza athiri afya.
6. Misongo ya mawazo (stress and depression). Ni kweli kabisa msongo wa mawazo unadhoofisha kinga yabmeili wako. Ni rahisi kupata mashambulizi ya maradhi ukiwa katika hali ya misingi ya mawazo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.
Soma Zaidi...Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu
Soma Zaidi...