Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili

Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?

Download Post hii hapa

Hapa niakuorodheshea tu baadhi ya mambo ambayo huchangia kudhoofisha kinga ya mwili wako: -

1. Maradhi kwa mfano saratani,  VVU na UKIMWI kisukari na hemophilia. Maradhi hayabhuchangia sana kudhoofisha kinga ya mwili

 

2. Matumizi ya baadhi ya dawa. Kwa mfano endapo utatumia dawa kiholela bila ya kufuata maelekezo kutoka kwa wataalamu. Ama kuna aina flani za dawa zinapotumika hudhoofisha kinga ya mwili.

Kwa nfano immune suppressor dawa hizi hupewa watu ambao wamebadilishiwa viungo vyao na kupewa vya watu wengine. 

 

3. Umri,  kinga yabmeili pia huenda na na umri. Kwa mfano mtoto anapozaliwa anakuwa na kinga dhaifu ya mwili. Pia wazee sana kinga zao za mwili huwa dhaifu kulinganisha na vijana. 

 

5. Lishe na vyakula. Vyakula vina nafasi kubwa katika kulinda afya ya mtu. Hata katika hali ya kawaida utaona mtu asiyekula vizuri yupo hatarini. Tunaposema kula vizuri haimaanishi kushiba inamaanisha kula chakula chenye virutubisho. 

 

Kila aina ya chakula ina virutubisho vyake na kila virutubisho vina kazi yake. Endapo utakosea virutubisho fulani inaweza ku athiri kinga ya mtu. Kwa mfano vyakula vya vitamini hulinda mwili dhidi ya maradhi. Hivyo ukivikosa inaweza athiri afya. 

 

6. Misongo ya mawazo (stress and depression). Ni kweli kabisa msongo wa mawazo unadhoofisha kinga yabmeili wako. Ni rahisi kupata mashambulizi ya maradhi ukiwa katika hali ya misingi ya mawazo. 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1435

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,
Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.

Soma Zaidi...
Zijue sehemu za mwili zinazochomwa  chanjo.
Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Soma Zaidi...
Namna ya kuyatunza macho
Namna ya kuyatunza macho

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho

Soma Zaidi...
Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu
Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi

Soma Zaidi...
Mkojo wa kawaida
Mkojo wa kawaida

Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na kisukari
Njia za kujikinga na kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari

Soma Zaidi...