Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini
Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.au mtililiko unapaswa kufuata unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.
1.kuangalia upumuaji wa mgonjwa.
_ kabla ya vyote unapaswa kuangalia kama mgonjwa anapumua vizuri, maana hewa ni muhumu kuliko vyote.
2. Kuangalia kama damu inasafiri vizuri kwenye mwili.
_ baada ya kuzibua njia za hewa unaangalia upumuaji wa mgonjwa kwa kuangalia mapigo ya moyo yanaendaje na kubinya mishipa inayosafilisha damu na kuangalia kama Kuna sehemu unatoa damu.
3. Kuangalia kama Kuna ulemavu wowote ule
_angalia kama mgonjwa anaweza kuamka
_ kama mgonjwa anaweza kuona ishara yoyote
_ kama mgonjwa anasikia maumivu ikiwa akifinywa
_kama mgonjwa haitikii chochote ulichofanya hapo kwenye sentensi za juu mkimbize hospitalin haraka
4. Mvue mgonjwa nguo zote uangalie kama Kuna sehemu amechubuka au kapoteza kiungo chochote, Ila fanya hivyo kwa uangalifu usipoteze joto la mwili na kumtunza uchi wake.
Tunapotoa huduma ya kwanza ni muhimu kuanzia vitu vya maana kama kuzibua hewa, upumuaji, mzunguko wa damu, ulemavu uliojitokeza na kuangalia kama Kuna alama zozote mwilini , baada ya kufanya hivyo tusisahau kumpeleka mgonjwa hospitalin kwa matibabu zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
Soma Zaidi...Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuusu vitamini D, kazi zake, upungufu wake na chanzo cha kupata vitamini D.
Soma Zaidi...Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.
Soma Zaidi...