Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini
Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.au mtililiko unapaswa kufuata unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.
1.kuangalia upumuaji wa mgonjwa.
_ kabla ya vyote unapaswa kuangalia kama mgonjwa anapumua vizuri, maana hewa ni muhumu kuliko vyote.
2. Kuangalia kama damu inasafiri vizuri kwenye mwili.
_ baada ya kuzibua njia za hewa unaangalia upumuaji wa mgonjwa kwa kuangalia mapigo ya moyo yanaendaje na kubinya mishipa inayosafilisha damu na kuangalia kama Kuna sehemu unatoa damu.
3. Kuangalia kama Kuna ulemavu wowote ule
_angalia kama mgonjwa anaweza kuamka
_ kama mgonjwa anaweza kuona ishara yoyote
_ kama mgonjwa anasikia maumivu ikiwa akifinywa
_kama mgonjwa haitikii chochote ulichofanya hapo kwenye sentensi za juu mkimbize hospitalin haraka
4. Mvue mgonjwa nguo zote uangalie kama Kuna sehemu amechubuka au kapoteza kiungo chochote, Ila fanya hivyo kwa uangalifu usipoteze joto la mwili na kumtunza uchi wake.
Tunapotoa huduma ya kwanza ni muhimu kuanzia vitu vya maana kama kuzibua hewa, upumuaji, mzunguko wa damu, ulemavu uliojitokeza na kuangalia kama Kuna alama zozote mwilini , baada ya kufanya hivyo tusisahau kumpeleka mgonjwa hospitalin kwa matibabu zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin
Soma Zaidi...