picha

Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini

Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.au mtililiko unapaswa kufuata unapokuwa unatoa huduma ya kwanza.

1.kuangalia upumuaji wa mgonjwa.

_ kabla ya vyote unapaswa kuangalia kama mgonjwa anapumua vizuri, maana hewa ni muhumu kuliko vyote.

2. Kuangalia kama damu inasafiri vizuri kwenye mwili.

_ baada ya kuzibua njia za hewa unaangalia upumuaji wa mgonjwa kwa kuangalia mapigo ya moyo yanaendaje na kubinya mishipa inayosafilisha damu na kuangalia kama Kuna sehemu unatoa damu.

3. Kuangalia kama Kuna ulemavu wowote ule

_angalia kama mgonjwa anaweza kuamka

_ kama mgonjwa anaweza kuona ishara yoyote

_ kama mgonjwa anasikia maumivu ikiwa akifinywa

_kama mgonjwa haitikii chochote ulichofanya hapo kwenye sentensi za juu mkimbize hospitalin haraka

4. Mvue mgonjwa nguo zote uangalie kama Kuna sehemu amechubuka au kapoteza kiungo chochote, Ila fanya hivyo kwa uangalifu usipoteze joto la mwili na kumtunza uchi wake.

 

Tunapotoa huduma ya kwanza ni muhimu kuanzia vitu vya maana kama kuzibua hewa, upumuaji, mzunguko wa damu, ulemavu uliojitokeza na kuangalia kama Kuna alama zozote mwilini , baada ya kufanya hivyo tusisahau kumpeleka mgonjwa hospitalin kwa matibabu zaidi.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 4883

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Jinsi moyo unavyosukuma damu

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa

Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.

Soma Zaidi...
Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.

 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...