Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.
1. Kiasi au kiwango Cha kidonda.
Kwa kawaida kidonda kikiwa kikubwa uponaji wake uchelewa ukiulinganisha kama kidonda ni kidogo na uponyaji wake uwahi hii ni kwa sababu kidonda kikiwa kikubwa labda na wadudu waliopo ni wengi kuliko kidonda kidogo uwa na wadudu wachache na utunzaji wa kidonda kikubwa ni shida kuliko utunzaji wa kidonda kidogo huwa ni afadhari kwa hiyo kiasi Cha kidonda usaidia kupona haraka kwa kidonda hicho.
2. Mlo wa mgonjwa wa kidonda usaidia kidonda kupona kwa sababu.
Mgonjwa wa kidonda kama anatumia mlo kamili kama vile kiasi kikubwa Cha vyakula vya protein, kiasi Cha kutosha kwa vitamini C kiwango Cha kupona kwa vidonda ni kwa urahisi ukiulinganisha na mtu ambaye mlo wake ni wa kubabaisha kwa hiyo tunajua kabisa kuwa chakula Bora ni dawa kwa hiyo tunapaswa kula vyakula mbalimbali ambavyo vinaongeza kinga mwilini Ili pale tunaposhambuliwa na vidonda tuweze kupona haraka na kurudia kwenye hali zetu za kawaida.
3.umri wa mgonjwa.
Umri wa mgonjwa nao pia uchangiwa katika uponyaji wa vidonda, kama ni mtoto atachukua mda mfupi tu kupona kwa sababu seli zake zinazalishwa kila mara na viungo vyake bado vinafanya kazi vizuri kuliko Mzee, lakini kama ni mzee kupona kwake kitakuwa ni shida kwa sababu kiasi Cha seli zinazokufa ni nyingi kuliko zile zinazozalishwa au pengine seli zinazozalishwa na kufa ni sawa kuliko kwa mtoto ambaye seli zinazaliana ni nyingi zile zinazoharibika.
4. Kuwepo kwa Magonjwa.
Kuwepo kwa magonjwa mengine kwa mtu Mwenye kidonda usababisha kidonda kupona kwa mda mrefu kuliko mtu yule ambaye Hana magonjwa, kwa mfano mgonjwa wa kisukari utumia mda mrefu kupona kwa sababu ya kuwepo kiwango Cha sukari nyingi kwenye damu.kuliko mtu ambaye Hana ugonjwa wa kisukari upona mapema zaidi kwa sababu ya kuwepo kwa sukari ya kawaida kwenye mwili.
5. Sehemu ambapo kidonda kipo.
Kidonda kama kipo sehemu za miguuni, kwenye kucha, na sehemu ambazo ni rahisi kuwepo kwa uchafu kupona kwa kidonda uchelewa kuliko kama kidonda kipo kwenye sehemu za usoni ambapo ni rahisi kusafisha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.
Soma Zaidi...Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Soma Zaidi...Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukujuza kuhusu makundi manne ya damu, asili yake, maana ya antijeni na antibody, pia utajifunza kuhusu mfumo wa Rh. Mwisho utajifunza watu wanaopasa kutoa damu.
Soma Zaidi...