picha

Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

1. Kiasi au kiwango Cha kidonda.

Kwa kawaida kidonda kikiwa kikubwa uponaji wake uchelewa ukiulinganisha kama kidonda ni kidogo na uponyaji wake uwahi hii ni kwa sababu kidonda kikiwa kikubwa labda na wadudu waliopo ni wengi kuliko kidonda kidogo uwa na wadudu wachache na utunzaji wa kidonda kikubwa ni shida kuliko utunzaji wa kidonda kidogo huwa ni afadhari kwa hiyo kiasi Cha kidonda usaidia kupona haraka kwa kidonda hicho.

 

2. Mlo wa mgonjwa wa kidonda usaidia kidonda kupona kwa sababu. 

Mgonjwa wa kidonda kama anatumia mlo kamili kama vile  kiasi kikubwa Cha vyakula vya protein,  kiasi Cha kutosha kwa vitamini C kiwango Cha kupona kwa vidonda ni kwa urahisi ukiulinganisha na mtu ambaye mlo wake ni wa kubabaisha kwa hiyo tunajua kabisa kuwa chakula Bora ni dawa kwa hiyo tunapaswa kula vyakula mbalimbali ambavyo vinaongeza kinga mwilini Ili pale tunaposhambuliwa na vidonda tuweze kupona haraka na kurudia kwenye hali zetu za kawaida.

 

3.umri wa mgonjwa.

Umri wa mgonjwa nao pia uchangiwa katika uponyaji wa vidonda, kama ni mtoto atachukua mda mfupi tu kupona kwa sababu seli zake zinazalishwa kila mara na viungo vyake bado vinafanya kazi vizuri kuliko Mzee, lakini kama ni mzee kupona kwake kitakuwa ni shida kwa sababu kiasi Cha seli zinazokufa ni nyingi kuliko zile zinazozalishwa au pengine seli zinazozalishwa na kufa ni sawa kuliko kwa mtoto ambaye seli zinazaliana ni nyingi zile zinazoharibika.

 

4. Kuwepo kwa Magonjwa.

Kuwepo kwa magonjwa mengine kwa mtu Mwenye kidonda usababisha kidonda kupona kwa mda mrefu kuliko mtu yule ambaye Hana magonjwa, kwa mfano  mgonjwa wa kisukari utumia mda mrefu kupona kwa sababu ya kuwepo kiwango Cha sukari nyingi kwenye damu.kuliko mtu ambaye Hana ugonjwa wa kisukari upona mapema zaidi kwa sababu ya kuwepo kwa sukari ya kawaida kwenye mwili.

 

5. Sehemu ambapo kidonda kipo.

Kidonda kama kipo sehemu za miguuni, kwenye kucha, na sehemu ambazo ni rahisi kuwepo kwa uchafu kupona kwa kidonda uchelewa kuliko kama kidonda kipo kwenye sehemu za usoni ambapo ni rahisi kusafisha.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/14/Tuesday - 08:48:24 am Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2830

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰5 ai web app    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Kazi za mifupa mwilinj

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia vidonge vya ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi

Soma Zaidi...
Nini husababisha mdomo kuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA

Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo

Soma Zaidi...