Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku
Uhakiki wa kidonda kupona.
1.Tunapaswa kuangalia kama mishipa ya damu inaweza kupita na kusafirisha damu kutoka upande mmoja kwenda mwingine. Kwa sababu sehemu yenye kila kidonda damu huwa haipiti ila kwa kadiri kinavyoendelea kupona hivyo hivyo ndiyo na mishipa ya damu inaanza kupita.
2 Kitu kingine ni kuangalia kiasi cha Maumivu kilichopo kwa kawaida kidonda kama ni kipya na maumivu yanakiwepo mengi na kadiri kinavyoendelea kupona na maumivu upungua kwa hiyo ukija kumruhusu Mgonjwa kwenda nyumbani akidai amepona kwanza kabisa jaribisha kama kuna maumivu au maumivu ni machache ambayo hata akiwa nyumbani anaweza kuyamudu na kupona vizuri.
3. Na pia tunapaswa kuangalia kama kidonda kinatoa maji maji, kama kinatoa maji hiyo ni Dalili kwamba matibabu bado yanahitajika na mgonjwa anapaswa kuendelea kupata matibabu au kupewa dawa za kutumia ili aweze kuendelea kuzitumia.
4.Kwa hiyo katika kutibu vidonda tunapaswa kuangalia na hali ya wagonjwa wetu ikoje kwa sababu pengine vidonda vknadhindwa kupona kwa sababu ya Maambukizi au kuwepo kwa madawa yanayopunguza kinga mwilini kwa kufanya hivyo Mgonjwa anaweza kutibiwa kwanza chanzo na mengine yanaendelea baadae.
5. Kwa hiyo pale ruhusa inapotolewa ili mgonjwa aendelee na tiba ni vizuri kumpa mashariti akiwa nyumbani namna ya kutunza kidonda chake na kama ana Maambukizi awe makini ili asiwambukize wengine na wale wanaomzunguka
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto
Soma Zaidi...