Utajuwaje kama kidonda kupona

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku

Uhakiki wa kidonda kupona.

1.Tunapaswa kuangalia kama mishipa ya damu inaweza kupita na kusafirisha damu kutoka upande mmoja kwenda mwingine. Kwa sababu sehemu yenye kila kidonda damu huwa haipiti ila kwa kadiri kinavyoendelea kupona hivyo hivyo ndiyo na mishipa ya damu inaanza kupita.

 

2 Kitu kingine ni kuangalia kiasi cha Maumivu kilichopo kwa kawaida kidonda kama ni kipya na maumivu yanakiwepo mengi na kadiri kinavyoendelea kupona na maumivu upungua kwa hiyo ukija kumruhusu Mgonjwa kwenda nyumbani akidai amepona kwanza kabisa jaribisha kama kuna maumivu au maumivu ni machache ambayo hata akiwa nyumbani anaweza kuyamudu na kupona vizuri.

 

3. Na pia tunapaswa kuangalia kama kidonda kinatoa  maji maji, kama kinatoa maji hiyo ni Dalili kwamba matibabu bado yanahitajika na mgonjwa anapaswa kuendelea kupata matibabu au kupewa dawa za kutumia ili aweze kuendelea kuzitumia.

 

4.Kwa hiyo katika kutibu vidonda tunapaswa kuangalia na hali ya wagonjwa wetu ikoje kwa sababu pengine vidonda vknadhindwa kupona kwa sababu ya Maambukizi au kuwepo kwa madawa yanayopunguza kinga mwilini kwa kufanya hivyo Mgonjwa anaweza kutibiwa kwanza chanzo na mengine yanaendelea baadae.

 

5. Kwa hiyo pale ruhusa inapotolewa ili mgonjwa aendelee na tiba ni vizuri kumpa mashariti akiwa nyumbani namna ya kutunza kidonda chake na kama ana Maambukizi awe makini ili asiwambukize wengine na wale wanaomzunguka

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3729

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini

Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.

Soma Zaidi...
Viwango vitatu vya kuungua.

Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua

Soma Zaidi...
Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Kazi za chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.

Soma Zaidi...
Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...