Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Imani potofu kuhusu kifua kikuu.

1.mwenye kifua kikuu ana Maambukizi ya virus vya ukimwi, hii ni mojawapo ya imani ambayo imo miongoni mwao Watu wengi wakiamini kuwa mwenye kifua kikuu ana Maambukizi ya virus vya ukimwi, hii siyo kweli kwa sababu kifua kikuu kinapona ila Ukimwi hauna dawa na kifua kikuu usababishwa na bakteria bali Ukimwi usababisha na virus.

 

2.Watu wanaweza kusema hivyo kwa sababu dalili za awali zinaweza kufanana ila sio kweli kuwa mwenye kifua kikuu ana ukimwi kwa hiyo vipimo ni vya la, lazima ili kuweza kutambua kuwa ni kifua kikuu au ni Maambukizi ya virus vya ukimwi.

 

3.Imani potofu nyingine ni kuwa mwenye kifua kikuu anapaswa kutengwa kwenye jamii.hii ni imani ambayo Watu wanayo kwamba mtu akiwa na kifua kikuu hapaswi kuishi na wengine anapaswa kutengwa na vyombo vyake visichanganywe na vya wengine ili kuepuka kuambukiza wengine.

 

4.Ni kweli kama mtu hajaanza kutumia dawa anaweza kuambukiza wengine kwa hiyo hatupaswi kuwatenga wagonjwa wa kifua kikuu bali tuwapeleke hospitalini wapime na wakianza kutumia dawa baada ya wiki mbili hawaambukiza Watu wengine kwa hiyo hatupaswi kuwatenga bali tuwahudumie kama wagonjwa wengine.

 

5. Kwa hiyo ambacho tunapaswa kujua ni kuwa kifua kikuu kinasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine ila mtu akipata dawa hawezi kuambukiza wengine na pia ugonjwa huu unatibika vizuri sana na jamii isiwatenge wagonjwa hawa kwa sababu nao wanahitaji huduma kama wagonjwa wengine 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1327

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Soma Zaidi...
Dalili za shambulio la hofu

Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba

Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa

Soma Zaidi...
Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.

Soma Zaidi...
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka

Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa

Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano

Soma Zaidi...