Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Imani potofu kuhusu kifua kikuu.

1.mwenye kifua kikuu ana Maambukizi ya virus vya ukimwi, hii ni mojawapo ya imani ambayo imo miongoni mwao Watu wengi wakiamini kuwa mwenye kifua kikuu ana Maambukizi ya virus vya ukimwi, hii siyo kweli kwa sababu kifua kikuu kinapona ila Ukimwi hauna dawa na kifua kikuu usababishwa na bakteria bali Ukimwi usababisha na virus.

 

2.Watu wanaweza kusema hivyo kwa sababu dalili za awali zinaweza kufanana ila sio kweli kuwa mwenye kifua kikuu ana ukimwi kwa hiyo vipimo ni vya la, lazima ili kuweza kutambua kuwa ni kifua kikuu au ni Maambukizi ya virus vya ukimwi.

 

3.Imani potofu nyingine ni kuwa mwenye kifua kikuu anapaswa kutengwa kwenye jamii.hii ni imani ambayo Watu wanayo kwamba mtu akiwa na kifua kikuu hapaswi kuishi na wengine anapaswa kutengwa na vyombo vyake visichanganywe na vya wengine ili kuepuka kuambukiza wengine.

 

4.Ni kweli kama mtu hajaanza kutumia dawa anaweza kuambukiza wengine kwa hiyo hatupaswi kuwatenga wagonjwa wa kifua kikuu bali tuwapeleke hospitalini wapime na wakianza kutumia dawa baada ya wiki mbili hawaambukiza Watu wengine kwa hiyo hatupaswi kuwatenga bali tuwahudumie kama wagonjwa wengine.

 

5. Kwa hiyo ambacho tunapaswa kujua ni kuwa kifua kikuu kinasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine ila mtu akipata dawa hawezi kuambukiza wengine na pia ugonjwa huu unatibika vizuri sana na jamii isiwatenge wagonjwa hawa kwa sababu nao wanahitaji huduma kama wagonjwa wengine 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1372

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro.

Soma Zaidi...
Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kizunguzungu

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu

Soma Zaidi...
huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wazee

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Dalili za fizi kuvuja damu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.

Soma Zaidi...