image

Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Njia za kuondoa sumu mwilini.

1.Kwa sababu ya vyakuy mbalimbali ambayo vinatumika kama bila chips, baga, vyakula vya kwanye Makopo na mambo mengine kama hayo Usababisha kuwepo kwa sumu nyingi mwilini kwa hiyo tunapaswa kuondoa sumu hiyo kwa kufanya yafuatayo.

 

2. Matumizi ya vyakula vya acid na pia kutumia vyakula vya kuchemsha kwa wingi, vyakula hivi vinakua haviy mafuta .

 

3. Unywaji wa maji kwa wingi.

Kwa kutumia kiwango kikubwa cha maji sumu inaweza kuondoka mwilini na kusababisha kupungua kwa sumu mwilini.

 

4. Kufanya mazoezi.

Mazoezi yakifanyika kwa wingi umfanya mtu kutoa jasho ili jasho ni kama sumu ambayo ilikuwa iko mwilini kwa hiyo mtu akifanya mazoezi anaweza kuondoa kiwango kikubwa cha sumu mwilini.

 

5. Kupunguza matumizi ya mafuta.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa mafuta ni kitu kimojawapo ambacho kinasababisha mafuta mwilini kuongezeka kwa hiyo ni vizuri kupunguza matumizi ya mafuta kwenye vyakula.

 

6. Kula vyakula vya nyuzinyuzi.

Kama vile parachichi, ndizi, peazi, karoti na pili pili.

 

7. Matumizi mazuri ya hewa safi na kutambua baadhi ya bidhaa unazozitumia.

 

8. Epuka matumizi ya vyombo vya plastiki na vile vile matumizi ya pombe kali.

 

9. Matumizi ya dawa yawe ya uangalizi na pia fanya Masaji kama inawezekana.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 495


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi Soma Zaidi...

Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni
Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki. Soma Zaidi...

Viwango vitatu vya kuungua.
Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just, Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Zijue kazi za Figo mwilini
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini. Soma Zaidi...

fahamu kuhusu vitamini B na faida zake
makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini? Soma Zaidi...

Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo Soma Zaidi...

Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...