Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
Njia za kuondoa sumu mwilini.
1.Kwa sababu ya vyakuy mbalimbali ambayo vinatumika kama bila chips, baga, vyakula vya kwanye Makopo na mambo mengine kama hayo Usababisha kuwepo kwa sumu nyingi mwilini kwa hiyo tunapaswa kuondoa sumu hiyo kwa kufanya yafuatayo.
2. Matumizi ya vyakula vya acid na pia kutumia vyakula vya kuchemsha kwa wingi, vyakula hivi vinakua haviy mafuta .
3. Unywaji wa maji kwa wingi.
Kwa kutumia kiwango kikubwa cha maji sumu inaweza kuondoka mwilini na kusababisha kupungua kwa sumu mwilini.
4. Kufanya mazoezi.
Mazoezi yakifanyika kwa wingi umfanya mtu kutoa jasho ili jasho ni kama sumu ambayo ilikuwa iko mwilini kwa hiyo mtu akifanya mazoezi anaweza kuondoa kiwango kikubwa cha sumu mwilini.
5. Kupunguza matumizi ya mafuta.
Kwa kawaida tunajua wazi kuwa mafuta ni kitu kimojawapo ambacho kinasababisha mafuta mwilini kuongezeka kwa hiyo ni vizuri kupunguza matumizi ya mafuta kwenye vyakula.
6. Kula vyakula vya nyuzinyuzi.
Kama vile parachichi, ndizi, peazi, karoti na pili pili.
7. Matumizi mazuri ya hewa safi na kutambua baadhi ya bidhaa unazozitumia.
8. Epuka matumizi ya vyombo vya plastiki na vile vile matumizi ya pombe kali.
9. Matumizi ya dawa yawe ya uangalizi na pia fanya Masaji kama inawezekana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Soma Zaidi...