Mbinu za kuondoa sumu mwilini.


image


Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.


Njia za kuondoa sumu mwilini.

1.Kwa sababu ya vyakuy mbalimbali ambayo vinatumika kama bila chips, baga, vyakula vya kwanye Makopo na mambo mengine kama hayo Usababisha kuwepo kwa sumu nyingi mwilini kwa hiyo tunapaswa kuondoa sumu hiyo kwa kufanya yafuatayo.

 

2. Matumizi ya vyakula vya acid na pia kutumia vyakula vya kuchemsha kwa wingi, vyakula hivi vinakua haviy mafuta .

 

3. Unywaji wa maji kwa wingi.

Kwa kutumia kiwango kikubwa cha maji sumu inaweza kuondoka mwilini na kusababisha kupungua kwa sumu mwilini.

 

4. Kufanya mazoezi.

Mazoezi yakifanyika kwa wingi umfanya mtu kutoa jasho ili jasho ni kama sumu ambayo ilikuwa iko mwilini kwa hiyo mtu akifanya mazoezi anaweza kuondoa kiwango kikubwa cha sumu mwilini.

 

5. Kupunguza matumizi ya mafuta.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa mafuta ni kitu kimojawapo ambacho kinasababisha mafuta mwilini kuongezeka kwa hiyo ni vizuri kupunguza matumizi ya mafuta kwenye vyakula.

 

6. Kula vyakula vya nyuzinyuzi.

Kama vile parachichi, ndizi, peazi, karoti na pili pili.

 

7. Matumizi mazuri ya hewa safi na kutambua baadhi ya bidhaa unazozitumia.

 

8. Epuka matumizi ya vyombo vya plastiki na vile vile matumizi ya pombe kali.

 

9. Matumizi ya dawa yawe ya uangalizi na pia fanya Masaji kama inawezekana.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Kazi za virutubisho vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukuletea kazi za virutubisho vya protini mwilini Soma Zaidi...

image Vyakula vyenye maji kwa wingi
Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini Soma Zaidi...

image Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...

image Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...

image Faida za kahawa mwilini.
Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa. Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

image Faida za karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

image Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant) Soma Zaidi...

image Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi
Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga. Soma Zaidi...