Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.
Ambao hawapaswi kupewa chanjo.
1.Kwanza kabisa chanjo ni kitendo cha kuweka wadudu wanaosababisha ugonjwa ili kuweza kuingiza kinga kwenye mwili, wadudu hawa wanakuwa wamedhoofishwa kitaalamu na hawawezi kuleta madhara yoyote kwa hiyo hawa wadudu usaidia kuleta kinga kwenye mwili, pamoja na hayo kuna wale ambao hawapaswi kupata chanjo ni kama wafuatao.
2.Wenye mzio na hizo chanjo au aleji na chanjo
Hawa ni wale endapo wamepata chanjo kwa mara ya kwanza uweza kubwa na aleji kwa mfano uweza kuvimba, kuwashwa, kutapika , kuharisha lakini hayo yote yanapaswa kutokea mda mfupi anapopata chanjo hapo ndo tunaweza kujua kubwa ni kwa sababu ya chanjo, ikitokea wazi kuwa chanzo ni chanjo huyo mtu hapaswi kutumia.
3.Wale ambao wanaumwa.
Chanjo haipaswi kutolewa kwa mgonjwa yoyote kwa sababu kama tulivyotangulia kusema kubwa chanjo inatengenezwa na wadudu wanaosababisha ugonjwa kama mtu anaumwa hapaswi kuchanjwa kwa hiyo kama mtu ni mgonjwa anatakiwa apone kwanza ndipo achanjwe kwa hiyo watu wote wanapaswa kujua utaratibu huu.
4.Wale wenye kinga ya mwili kama iko chini.
Kama kinga ya mwili Iko chini hawapaswi kuchanjwa kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuanza kupandisha hiyo kinga ya mwili na baadae kuchanja kwa hiyo tunapaswa kuwapatia vyakula vya kutosha kwa hiyo kinga ya mwili ikipanda chanjo inaweza kuendelea kama kawaida.
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua hizo sheria za kuchanjwa ili kuweza kupunguza matatizo kwa hiyo ukija kupata chanjo yoyote inabidi kupima ugonjwa huo unaopaswa kutolea chanjo na hatimaye uchanjwa kwa hiyo chanjo ni ya muhimu sana na ina faida sana kwenye mwili kwa hiyo ikitokea chanjo yoyote chanjo kwa sababu ina faida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
Soma Zaidi...Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
Soma Zaidi...