Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.
Ambao hawapaswi kupewa chanjo.
1.Kwanza kabisa chanjo ni kitendo cha kuweka wadudu wanaosababisha ugonjwa ili kuweza kuingiza kinga kwenye mwili, wadudu hawa wanakuwa wamedhoofishwa kitaalamu na hawawezi kuleta madhara yoyote kwa hiyo hawa wadudu usaidia kuleta kinga kwenye mwili, pamoja na hayo kuna wale ambao hawapaswi kupata chanjo ni kama wafuatao.
2.Wenye mzio na hizo chanjo au aleji na chanjo
Hawa ni wale endapo wamepata chanjo kwa mara ya kwanza uweza kubwa na aleji kwa mfano uweza kuvimba, kuwashwa, kutapika , kuharisha lakini hayo yote yanapaswa kutokea mda mfupi anapopata chanjo hapo ndo tunaweza kujua kubwa ni kwa sababu ya chanjo, ikitokea wazi kuwa chanzo ni chanjo huyo mtu hapaswi kutumia.
3.Wale ambao wanaumwa.
Chanjo haipaswi kutolewa kwa mgonjwa yoyote kwa sababu kama tulivyotangulia kusema kubwa chanjo inatengenezwa na wadudu wanaosababisha ugonjwa kama mtu anaumwa hapaswi kuchanjwa kwa hiyo kama mtu ni mgonjwa anatakiwa apone kwanza ndipo achanjwe kwa hiyo watu wote wanapaswa kujua utaratibu huu.
4.Wale wenye kinga ya mwili kama iko chini.
Kama kinga ya mwili Iko chini hawapaswi kuchanjwa kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuanza kupandisha hiyo kinga ya mwili na baadae kuchanja kwa hiyo tunapaswa kuwapatia vyakula vya kutosha kwa hiyo kinga ya mwili ikipanda chanjo inaweza kuendelea kama kawaida.
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua hizo sheria za kuchanjwa ili kuweza kupunguza matatizo kwa hiyo ukija kupata chanjo yoyote inabidi kupima ugonjwa huo unaopaswa kutolea chanjo na hatimaye uchanjwa kwa hiyo chanjo ni ya muhimu sana na ina faida sana kwenye mwili kwa hiyo ikitokea chanjo yoyote chanjo kwa sababu ina faida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Soma Zaidi...