Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.
Ambao hawapaswi kupewa chanjo.
1.Kwanza kabisa chanjo ni kitendo cha kuweka wadudu wanaosababisha ugonjwa ili kuweza kuingiza kinga kwenye mwili, wadudu hawa wanakuwa wamedhoofishwa kitaalamu na hawawezi kuleta madhara yoyote kwa hiyo hawa wadudu usaidia kuleta kinga kwenye mwili, pamoja na hayo kuna wale ambao hawapaswi kupata chanjo ni kama wafuatao.
2.Wenye mzio na hizo chanjo au aleji na chanjo
Hawa ni wale endapo wamepata chanjo kwa mara ya kwanza uweza kubwa na aleji kwa mfano uweza kuvimba, kuwashwa, kutapika , kuharisha lakini hayo yote yanapaswa kutokea mda mfupi anapopata chanjo hapo ndo tunaweza kujua kubwa ni kwa sababu ya chanjo, ikitokea wazi kuwa chanzo ni chanjo huyo mtu hapaswi kutumia.
3.Wale ambao wanaumwa.
Chanjo haipaswi kutolewa kwa mgonjwa yoyote kwa sababu kama tulivyotangulia kusema kubwa chanjo inatengenezwa na wadudu wanaosababisha ugonjwa kama mtu anaumwa hapaswi kuchanjwa kwa hiyo kama mtu ni mgonjwa anatakiwa apone kwanza ndipo achanjwe kwa hiyo watu wote wanapaswa kujua utaratibu huu.
4.Wale wenye kinga ya mwili kama iko chini.
Kama kinga ya mwili Iko chini hawapaswi kuchanjwa kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuanza kupandisha hiyo kinga ya mwili na baadae kuchanja kwa hiyo tunapaswa kuwapatia vyakula vya kutosha kwa hiyo kinga ya mwili ikipanda chanjo inaweza kuendelea kama kawaida.
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua hizo sheria za kuchanjwa ili kuweza kupunguza matatizo kwa hiyo ukija kupata chanjo yoyote inabidi kupima ugonjwa huo unaopaswa kutolea chanjo na hatimaye uchanjwa kwa hiyo chanjo ni ya muhimu sana na ina faida sana kwenye mwili kwa hiyo ikitokea chanjo yoyote chanjo kwa sababu ina faida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...