Faida za seli

Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Faida za seli mwilini

_seli zinasaidia katika kulinda mwili kutokana na magonjwa mbalimbali

_seli husaidia mtu kujongea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine, kama hakuna seli mtu hawezi kutembea kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

_seli husaidia kwenye mawasilianiano, ambapo zina kemikali mbalimbali zinazotoa ujumbe kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

_seli husaidia kuupatia mwili wa binadamu nguvu ambapo binadamu huweza kufanya kazi zao kwa kutumia nguvu hizo

_ seli husaidia katika uridhi ambapo seli za mama uungana na seli ya Baba kutengeneza zygote

Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa seli ndizi asili ya maisha bila seli hakuna maisha

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2933

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda
Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa vijana
Utaratibu wa lishe kwa vijana

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana

Soma Zaidi...
Malengo ya kutibu ukoma
Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo

Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua

Soma Zaidi...
Zijuwe athari za vidonda mwilini
Zijuwe athari za vidonda mwilini

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension
Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Namna ya kutoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini

Soma Zaidi...
  Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa

Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid

Soma Zaidi...