Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
Sababu za maumivu ya mwili.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa maumivu ni hali ya kutojisikia salama kwenye mwili ambayo Usababisha na vitu mbalimbali kama tutakavyoona kwa hiyo mtu anapokuwa na maumivu amani uisha na kuweza kushindwa kushiriki kazi mbalimbali kwenye jamii. Zifuatazo ni sababu za maumivu.
2. Kichwa.
Kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu ya mwili kwa sababu kichwa kilipatwa na Maambukizi yoyote yale maumivu uanza au maji yakiisha mwilini kichwa uanza kuumwa kwa hiyo kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu kwenye mwili.
3. Mivunjiko ya mifupa.
Kuwepo kwa mvunjiko wowote wa mfupa Usababisha kuwepo kwa maumivu kwenye mwili kwa hiyo tunapaswa kuepuka nafasi za kupata hiyo mivunjiko na kuweza kuepuka na maumivu mwilini.
4. Mshutuko kwenye misuli.
Kuwepo kwa mistuko kwenye misuli ni mojawapo ya visababishi vya kuwepo kwa maumivu kwa hiyo ilitokea misuli ikasutuka tunapaswa kutibu mara moja ili kuepuka kuwepo kwa maumivu endelevu.
5. Kujikata na kifaa chochote.
Kujikata na kifaa chochote hasa hasa chenye ncha kali ni mojawapo ya sababu ya kuwepo kwa maumivu kwa sababu sehemu iliyokatwa uuma na kumfanya mtu ahisi maumivu makali.
6. Maumivu ya tumbo.
Maumivu ya tumbo na yenyewe ndio chanzo cha Maumivu kwa sababu kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo usababisha maumivu kwa hiyo mtu uhisi anaumia sana tumboni kwa hiyo tunapaswa kutibu tumbo mapema ili kuweza kuepuka maumivu .
7. Maambukizi kwenye mifupa na joint.
Kwa kuwepo Maambukizi kwenye sehemu ya mifupa na joint nayo usababisha maumivu kwa hiyo kama kuna Maambukizi yoyote yatibiwe mapema iwezekanavyo ili kuzuia Maambukizi.
8.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa maambukizi usababishwa na sehemu mbalimbali za mwili hasa zilipatwa na Maambukizi kwa hiyo ili kuepuka maumivu kwenye mwili tunapaswa kutibu Maambukizi na baadae kuweza kuepuka maumivu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...