Sababu za maumivu ya mwili.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini


Sababu za maumivu ya mwili.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa maumivu ni hali ya kutojisikia salama kwenye mwili ambayo Usababisha na vitu mbalimbali kama tutakavyoona kwa hiyo mtu anapokuwa na maumivu amani uisha na kuweza kushindwa kushiriki kazi mbalimbali kwenye jamii. Zifuatazo ni sababu za maumivu.

 

2. Kichwa.

Kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu ya mwili kwa sababu kichwa kilipatwa na Maambukizi yoyote yale maumivu uanza au maji yakiisha mwilini kichwa uanza kuumwa kwa hiyo kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu kwenye mwili.

 

3. Mivunjiko ya mifupa.

Kuwepo kwa mvunjiko wowote wa mfupa Usababisha kuwepo kwa maumivu kwenye mwili kwa hiyo tunapaswa kuepuka nafasi za kupata hiyo mivunjiko na kuweza kuepuka na maumivu mwilini.

 

4. Mshutuko kwenye misuli.

Kuwepo kwa mistuko kwenye misuli ni mojawapo ya visababishi vya kuwepo kwa maumivu kwa hiyo ilitokea misuli ikasutuka tunapaswa kutibu mara moja ili kuepuka kuwepo kwa maumivu endelevu.

 

5. Kujikata na kifaa chochote.

Kujikata na kifaa chochote hasa hasa chenye ncha kali ni mojawapo ya sababu ya kuwepo kwa maumivu kwa sababu sehemu iliyokatwa uuma na kumfanya mtu ahisi maumivu makali.

 

6. Maumivu ya tumbo.

Maumivu ya tumbo na yenyewe ndio chanzo cha Maumivu kwa sababu kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo usababisha maumivu kwa hiyo mtu uhisi anaumia sana tumboni kwa hiyo tunapaswa kutibu tumbo mapema ili kuweza kuepuka maumivu .

 

7. Maambukizi kwenye mifupa na joint.

Kwa kuwepo Maambukizi kwenye sehemu ya mifupa na joint nayo usababisha maumivu kwa hiyo kama kuna Maambukizi yoyote yatibiwe mapema iwezekanavyo ili kuzuia Maambukizi.

 

8.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa maambukizi usababishwa na sehemu mbalimbali za mwili hasa zilipatwa na Maambukizi kwa hiyo ili kuepuka maumivu kwenye mwili tunapaswa kutibu Maambukizi na baadae kuweza kuepuka maumivu



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Visababishi vya magonjwa.
Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri. Soma Zaidi...

image Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo Soma Zaidi...

image Dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa Donda koo
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na mate kutoka kwenye maambukizi. Soma Zaidi...

image Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.
Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo, Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)
Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu wa mara kwa mara wa kumeza, ambao unaweza kutokea wakati unakula haraka sana au usipotafuna chakula chako vya kutosha, kwa kawaida sio sababu ya wasiwasi Lakini ukizid kuendelea unaweza kuonyesha hali mbaya. Soma Zaidi...

image Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote. Soma Zaidi...

image Presha ya kushuka na matibabu yake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka na matibabu yake Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuzuia Malaria kwa wajawazito. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo Soma Zaidi...