Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Sababu za maumivu ya mwili.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa maumivu ni hali ya kutojisikia salama kwenye mwili ambayo Usababisha na vitu mbalimbali kama tutakavyoona kwa hiyo mtu anapokuwa na maumivu amani uisha na kuweza kushindwa kushiriki kazi mbalimbali kwenye jamii. Zifuatazo ni sababu za maumivu.

 

2. Kichwa.

Kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu ya mwili kwa sababu kichwa kilipatwa na Maambukizi yoyote yale maumivu uanza au maji yakiisha mwilini kichwa uanza kuumwa kwa hiyo kichwa ni mojawapo ya sababu za maumivu kwenye mwili.

 

3. Mivunjiko ya mifupa.

Kuwepo kwa mvunjiko wowote wa mfupa Usababisha kuwepo kwa maumivu kwenye mwili kwa hiyo tunapaswa kuepuka nafasi za kupata hiyo mivunjiko na kuweza kuepuka na maumivu mwilini.

 

4. Mshutuko kwenye misuli.

Kuwepo kwa mistuko kwenye misuli ni mojawapo ya visababishi vya kuwepo kwa maumivu kwa hiyo ilitokea misuli ikasutuka tunapaswa kutibu mara moja ili kuepuka kuwepo kwa maumivu endelevu.

 

5. Kujikata na kifaa chochote.

Kujikata na kifaa chochote hasa hasa chenye ncha kali ni mojawapo ya sababu ya kuwepo kwa maumivu kwa sababu sehemu iliyokatwa uuma na kumfanya mtu ahisi maumivu makali.

 

6. Maumivu ya tumbo.

Maumivu ya tumbo na yenyewe ndio chanzo cha Maumivu kwa sababu kuwepo kwa Maambukizi kwenye tumbo usababisha maumivu kwa hiyo mtu uhisi anaumia sana tumboni kwa hiyo tunapaswa kutibu tumbo mapema ili kuweza kuepuka maumivu .

 

7. Maambukizi kwenye mifupa na joint.

Kwa kuwepo Maambukizi kwenye sehemu ya mifupa na joint nayo usababisha maumivu kwa hiyo kama kuna Maambukizi yoyote yatibiwe mapema iwezekanavyo ili kuzuia Maambukizi.

 

8.kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa maambukizi usababishwa na sehemu mbalimbali za mwili hasa zilipatwa na Maambukizi kwa hiyo ili kuepuka maumivu kwenye mwili tunapaswa kutibu Maambukizi na baadae kuweza kuepuka maumivu

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 4916

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanz akwa aliyeumwa na nyoka

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka

Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.

Soma Zaidi...
Mawakala wa maradhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mawakala wa maradhi

Soma Zaidi...
Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.

Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.

Soma Zaidi...