Kazi za chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Kazi za chanjo ya polio.
1. Chanjo ya polio ni Aina mojawapo ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto wadogo Ili kuwakinga na virusi vinavyosababisha polio, polio ni ugonjwa mbaya ambapo ukimshambulia mtoto unaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto maisha yake yote kwa hiyo ndio maana selikali na ulimwengu mzima ujitahidi kuwapatia watoto wadogo chanjo hii mara tu baada ya kuzaliwa.
2. Chanjo hii mtoto anapewa pindi tu anapozaliwa, tena anapewa baada ya wiki sita tena anapewa baada ya wiki nne mpaka pale anapofikisha miezi miwili na nusu anakuwa bado anapewa chanjo hii ya polio, kwa hiyo mama na walezi wa mtoto wanapaswa kujua kabisa mda na wakati wa kumpeleka mtoto kwa ajili ya kupata chanjo Ili kumwepushia madhara mbalimbali ambayo yanaweza kujitokeza kwa sababu ya kutopata hii chanjo.
3. Chanjo ya polio isipotolewa mtoto anaweza kupata ugonjwa wa polio ambapo kwa kuangalia dalili mbalimbali kama vile utepe kwenye mguu au mkojo, ulemavu wa maisha na pengine mtoto anaweza kupooza kwa Saba ya Virusi vinavyosababishwa na ugonjwa wa polio, kwa hiyo akina Mama na walezi wote wanapaswa kupewa elimu kuhusu matatizo ambayo utokea kwa watoto wadogo wasipopata chanjo ya polio na wataweza kuona umuhimu wa kuwapatia watoto chanjo.
4. Pamoja na kuwepo kwa chanjo ya ugonjwa wa polio Kuna matokea ambayo yanaweza kutokea kwa mtoto baada ya kupata chanjo hii, ni kama vile Alama kwenye sehemu ambapo chanjo imetolewA na maumivu kidogo ambayo udumu kwa mda kidogo. Kwa hiyo mama au mlezi wakiona dalili ya mtoto kukosa raha na kulia wasishangae kwa sababu ni maumivu kidogo ya chanjo na uisha kwa mda mfupi tu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA
Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.
Soma Zaidi...Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU
Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.
Soma Zaidi...Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
Soma Zaidi...