Kazi za chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.

Kazi za chanjo ya polio.

1. Chanjo ya polio ni Aina mojawapo ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto wadogo Ili kuwakinga na virusi vinavyosababisha polio, polio ni ugonjwa mbaya ambapo ukimshambulia mtoto unaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto maisha yake yote kwa hiyo ndio maana selikali na ulimwengu mzima ujitahidi kuwapatia watoto wadogo chanjo hii mara tu baada ya kuzaliwa.

 

2. Chanjo hii mtoto anapewa pindi tu anapozaliwa, tena anapewa baada ya wiki sita tena anapewa baada ya wiki nne mpaka pale anapofikisha  miezi miwili na nusu anakuwa bado anapewa chanjo hii ya polio, kwa hiyo mama na walezi wa mtoto wanapaswa kujua kabisa mda na wakati wa kumpeleka mtoto kwa ajili ya kupata chanjo Ili kumwepushia madhara mbalimbali ambayo yanaweza kujitokeza kwa sababu ya kutopata hii chanjo.

 

3. Chanjo ya polio isipotolewa mtoto anaweza kupata ugonjwa wa polio ambapo kwa kuangalia dalili mbalimbali kama vile utepe kwenye mguu au mkojo, ulemavu wa maisha na pengine mtoto anaweza kupooza kwa Saba ya Virusi vinavyosababishwa na ugonjwa wa polio, kwa hiyo akina Mama na walezi wote wanapaswa kupewa elimu kuhusu matatizo ambayo utokea kwa watoto wadogo wasipopata chanjo ya polio na wataweza kuona umuhimu wa kuwapatia watoto chanjo.

 

4. Pamoja na kuwepo kwa chanjo ya ugonjwa wa polio Kuna matokea ambayo yanaweza kutokea kwa mtoto baada ya kupata chanjo hii, ni kama vile  Alama kwenye sehemu ambapo chanjo imetolewA na maumivu kidogo ambayo udumu kwa mda kidogo. Kwa hiyo mama au mlezi wakiona dalili ya mtoto kukosa raha na kulia wasishangae kwa sababu ni maumivu kidogo  ya chanjo na uisha kwa mda mfupi tu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1137

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

Soma Zaidi...
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake

makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?

Soma Zaidi...
Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupumzika kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Soma Zaidi...
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...