Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Kazi za chanjo ya polio.
1. Chanjo ya polio ni Aina mojawapo ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto wadogo Ili kuwakinga na virusi vinavyosababisha polio, polio ni ugonjwa mbaya ambapo ukimshambulia mtoto unaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto maisha yake yote kwa hiyo ndio maana selikali na ulimwengu mzima ujitahidi kuwapatia watoto wadogo chanjo hii mara tu baada ya kuzaliwa.
2. Chanjo hii mtoto anapewa pindi tu anapozaliwa, tena anapewa baada ya wiki sita tena anapewa baada ya wiki nne mpaka pale anapofikisha miezi miwili na nusu anakuwa bado anapewa chanjo hii ya polio, kwa hiyo mama na walezi wa mtoto wanapaswa kujua kabisa mda na wakati wa kumpeleka mtoto kwa ajili ya kupata chanjo Ili kumwepushia madhara mbalimbali ambayo yanaweza kujitokeza kwa sababu ya kutopata hii chanjo.
3. Chanjo ya polio isipotolewa mtoto anaweza kupata ugonjwa wa polio ambapo kwa kuangalia dalili mbalimbali kama vile utepe kwenye mguu au mkojo, ulemavu wa maisha na pengine mtoto anaweza kupooza kwa Saba ya Virusi vinavyosababishwa na ugonjwa wa polio, kwa hiyo akina Mama na walezi wote wanapaswa kupewa elimu kuhusu matatizo ambayo utokea kwa watoto wadogo wasipopata chanjo ya polio na wataweza kuona umuhimu wa kuwapatia watoto chanjo.
4. Pamoja na kuwepo kwa chanjo ya ugonjwa wa polio Kuna matokea ambayo yanaweza kutokea kwa mtoto baada ya kupata chanjo hii, ni kama vile Alama kwenye sehemu ambapo chanjo imetolewA na maumivu kidogo ambayo udumu kwa mda kidogo. Kwa hiyo mama au mlezi wakiona dalili ya mtoto kukosa raha na kulia wasishangae kwa sababu ni maumivu kidogo ya chanjo na uisha kwa mda mfupi tu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka
Soma Zaidi...