Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu.

1. Dalili ya kwanza ni kuona ukungu au kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine mtu kabla hajapatwa

na tatizo hili la kizungu Zungu kwanza anaanza kuona ukungu au kwa wakati mwingine anashindwa kuona vizuri hali inayosababisha kupata shida aelekee wapi kwa hiyo baada ya kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kukaa chini na kuomba msaada kwa walio karibu naye.

 

2. Kuhisi kichwa chepesi.

Kuna wakati mwingine mtu anayeelekea kupatwa na kizungu Zungu anahisi kichwa kuwa chepesi hali inayosababisha mtu kujiuliza kinachoendelea na pia kama mtu hajawahi kupatwa na kizungu Zungu na kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kuomba msaada ili kuweza kusaidiwa.

 

3. Pengine kuna tatizo la kuwepo kwa presha ya kushuka na kupanda.

Kwa kawaida ili mtu aweze kupata kizungu Zungu anakuwa na tatizo la kuwepo kwa presha ya kupanda na kushuka hapa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili inawezekana ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au kwa sha yoyote inayosababisha kupanda na kushuka kwa presha.

 

4. Wakati mwingine mtu anaweza kupata tatizo la kupoteza kumbukumbu, kushindwa na kushindwa kujieleza hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo Usababishwa na kuwepo kwa kizungu Zungu.

 

5. Kutokwa na jasho.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na tatizo la kutokwa na jasho kwa sababu ya Maambukizi yanayokuwepo ambayo upelekea kuwepo kwa kizungu Zungu.

 

6. Pengine kichefuchefu utokea kinachotambaa na tumbo kuuma pengine na uchovu na kutetemeka.

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1579

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Soma Zaidi...
Ambao hawapaswi kupata chanjo

Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR

Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.

Soma Zaidi...
Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za ovari

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.

Soma Zaidi...