picha

Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu.

1. Dalili ya kwanza ni kuona ukungu au kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine mtu kabla hajapatwa

na tatizo hili la kizungu Zungu kwanza anaanza kuona ukungu au kwa wakati mwingine anashindwa kuona vizuri hali inayosababisha kupata shida aelekee wapi kwa hiyo baada ya kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kukaa chini na kuomba msaada kwa walio karibu naye.

 

2. Kuhisi kichwa chepesi.

Kuna wakati mwingine mtu anayeelekea kupatwa na kizungu Zungu anahisi kichwa kuwa chepesi hali inayosababisha mtu kujiuliza kinachoendelea na pia kama mtu hajawahi kupatwa na kizungu Zungu na kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kuomba msaada ili kuweza kusaidiwa.

 

3. Pengine kuna tatizo la kuwepo kwa presha ya kushuka na kupanda.

Kwa kawaida ili mtu aweze kupata kizungu Zungu anakuwa na tatizo la kuwepo kwa presha ya kupanda na kushuka hapa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili inawezekana ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au kwa sha yoyote inayosababisha kupanda na kushuka kwa presha.

 

4. Wakati mwingine mtu anaweza kupata tatizo la kupoteza kumbukumbu, kushindwa na kushindwa kujieleza hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo Usababishwa na kuwepo kwa kizungu Zungu.

 

5. Kutokwa na jasho.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na tatizo la kutokwa na jasho kwa sababu ya Maambukizi yanayokuwepo ambayo upelekea kuwepo kwa kizungu Zungu.

 

6. Pengine kichefuchefu utokea kinachotambaa na tumbo kuuma pengine na uchovu na kutetemeka.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/22/Friday - 07:26:39 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2556

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.

Soma Zaidi...
Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Soma Zaidi...
Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa watoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Soma Zaidi...
Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula.

Soma Zaidi...
Ajali ya jicho

Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho

Soma Zaidi...
Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

Soma Zaidi...