Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
1. Dalili ya kwanza ni kuona ukungu au kushindwa kuona vizuri.
Kuna wakati mwingine mtu kabla hajapatwa
na tatizo hili la kizungu Zungu kwanza anaanza kuona ukungu au kwa wakati mwingine anashindwa kuona vizuri hali inayosababisha kupata shida aelekee wapi kwa hiyo baada ya kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kukaa chini na kuomba msaada kwa walio karibu naye.
2. Kuhisi kichwa chepesi.
Kuna wakati mwingine mtu anayeelekea kupatwa na kizungu Zungu anahisi kichwa kuwa chepesi hali inayosababisha mtu kujiuliza kinachoendelea na pia kama mtu hajawahi kupatwa na kizungu Zungu na kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kuomba msaada ili kuweza kusaidiwa.
3. Pengine kuna tatizo la kuwepo kwa presha ya kushuka na kupanda.
Kwa kawaida ili mtu aweze kupata kizungu Zungu anakuwa na tatizo la kuwepo kwa presha ya kupanda na kushuka hapa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili inawezekana ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au kwa sha yoyote inayosababisha kupanda na kushuka kwa presha.
4. Wakati mwingine mtu anaweza kupata tatizo la kupoteza kumbukumbu, kushindwa na kushindwa kujieleza hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo Usababishwa na kuwepo kwa kizungu Zungu.
5. Kutokwa na jasho.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na tatizo la kutokwa na jasho kwa sababu ya Maambukizi yanayokuwepo ambayo upelekea kuwepo kwa kizungu Zungu.
6. Pengine kichefuchefu utokea kinachotambaa na tumbo kuuma pengine na uchovu na kutetemeka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Soma Zaidi...Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.
Soma Zaidi...