Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
1. Dalili ya kwanza ni kuona ukungu au kushindwa kuona vizuri.
Kuna wakati mwingine mtu kabla hajapatwa
na tatizo hili la kizungu Zungu kwanza anaanza kuona ukungu au kwa wakati mwingine anashindwa kuona vizuri hali inayosababisha kupata shida aelekee wapi kwa hiyo baada ya kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kukaa chini na kuomba msaada kwa walio karibu naye.
2. Kuhisi kichwa chepesi.
Kuna wakati mwingine mtu anayeelekea kupatwa na kizungu Zungu anahisi kichwa kuwa chepesi hali inayosababisha mtu kujiuliza kinachoendelea na pia kama mtu hajawahi kupatwa na kizungu Zungu na kuona hali kama hiyo ni vizuri kabisa kuomba msaada ili kuweza kusaidiwa.
3. Pengine kuna tatizo la kuwepo kwa presha ya kushuka na kupanda.
Kwa kawaida ili mtu aweze kupata kizungu Zungu anakuwa na tatizo la kuwepo kwa presha ya kupanda na kushuka hapa ni kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya mwili inawezekana ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi au kwa sha yoyote inayosababisha kupanda na kushuka kwa presha.
4. Wakati mwingine mtu anaweza kupata tatizo la kupoteza kumbukumbu, kushindwa na kushindwa kujieleza hali hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo Usababishwa na kuwepo kwa kizungu Zungu.
5. Kutokwa na jasho.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na tatizo la kutokwa na jasho kwa sababu ya Maambukizi yanayokuwepo ambayo upelekea kuwepo kwa kizungu Zungu.
6. Pengine kichefuchefu utokea kinachotambaa na tumbo kuuma pengine na uchovu na kutetemeka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
Soma Zaidi...