Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Umuhimu wa kupumzika kiafya.
1. Kupumzika uongeza uwezo wa kukumbuka zaidi.
Kwa kawaida ubongo uweza kufanya kazi ikiwa mtu amepumzika kwa hiyo ukipumzika kwa mda unaofaa unapata kumbukumbu nzuri na ya mda mrefu.
2. Kupumzika uondoa hatari ya kupata kiharusi.
Kwa kawaida tunajua wazi kuwa tukifanya kazi n kupumzika kwa wakati tunaweza kuruhusu damu kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuondoa kiharusi
3. Kupumzika ulinda afya ya moyo.
Kwa kawaida moyo uweza kusukuma damu kutoka sehemu moja kwenda nyingine hasa pale mtu akiwa amepumzika kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu zaidi.
4. Kupumzika usaidia mwili kujijenga.
Kwa kawaida ili mwili kuweza kufanya kazi kinapaswa kuwepo kupumzika kwa mda mrefu na wa kutosha kwa sababu mtu akiwa amepumzika kila kiungo kinajiunga kwa upya.
5. Uongeza hamasa ya utendaji.
Kwa kawaida mtu akipumzika na mwili mzima uweza kuwa na nguvu kwa hiyo akiamka kutoka sehemu ya kupumzika anaweza kufanya kazi kubwa na nyingi kwa mda mrefu.
6. Kupumzika uondoa msongo wa mawazo.
Kwa kawaida mtu akipumzika na akili nayo inapumzika na kuweza kufanya kazi vizuri na kupunguaza msongo wa mawazo.
7. Kupumzika pia uongeza hamu ya kula .
Kama mtu hana hamu ya kula akipumzika anaweza kuwa na hamu ya kula kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu.
8. Kupumzika uondoa Ajali barabarani.
Kwa kawaida ajali nyingi utokea kwa sababu ya kutopumzika kwa hiyo mtu akipumzika anaweza kupunguza kiwango cha ajali barabarani.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha kazi 5 za maafu mwilimi. Wengi tunajuwa tu kuwa mapafu yanafanya kazi ya kupumuwa. ila si hivyo tu yapo mengi zaidi.
Soma Zaidi...Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...