Umuhimu wa kupumzika kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.

Umuhimu wa kupumzika kiafya.

1. Kupumzika uongeza uwezo wa kukumbuka zaidi.

Kwa kawaida ubongo uweza kufanya kazi ikiwa mtu amepumzika kwa hiyo ukipumzika kwa mda unaofaa unapata kumbukumbu nzuri na ya mda mrefu.

 

2. Kupumzika uondoa hatari ya kupata kiharusi.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa tukifanya kazi n kupumzika kwa wakati tunaweza kuruhusu damu kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuondoa kiharusi 

 

3.   Kupumzika ulinda afya ya moyo.

Kwa kawaida moyo uweza kusukuma damu kutoka sehemu moja kwenda nyingine hasa pale mtu akiwa amepumzika kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu zaidi.

 

4. Kupumzika usaidia mwili kujijenga.

Kwa kawaida ili mwili kuweza kufanya kazi kinapaswa kuwepo kupumzika kwa mda mrefu na wa kutosha kwa sababu mtu akiwa amepumzika kila kiungo kinajiunga kwa upya.

 

5. Uongeza hamasa ya utendaji.

Kwa kawaida mtu akipumzika na mwili mzima uweza kuwa na nguvu kwa hiyo akiamka kutoka sehemu ya kupumzika anaweza kufanya kazi kubwa na nyingi kwa mda mrefu.

 

6. Kupumzika uondoa msongo wa mawazo.

Kwa kawaida mtu akipumzika na akili nayo inapumzika na kuweza kufanya kazi vizuri na kupunguaza msongo wa mawazo.

 

7. Kupumzika pia uongeza hamu ya kula .

Kama mtu hana hamu ya kula akipumzika anaweza kuwa na hamu ya kula kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu.

 

8. Kupumzika uondoa Ajali barabarani.

Kwa kawaida ajali nyingi utokea kwa sababu ya kutopumzika kwa hiyo mtu akipumzika anaweza kupunguza kiwango cha ajali barabarani.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1650

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Soma Zaidi...
Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.

Soma Zaidi...
Dalili za sumu ya pombe

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.

Soma Zaidi...
Kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi

Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wagonjwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .

Soma Zaidi...
Zijue kazi za ini

Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya

Soma Zaidi...