Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Umuhimu wa kupumzika kiafya.
1. Kupumzika uongeza uwezo wa kukumbuka zaidi.
Kwa kawaida ubongo uweza kufanya kazi ikiwa mtu amepumzika kwa hiyo ukipumzika kwa mda unaofaa unapata kumbukumbu nzuri na ya mda mrefu.
2. Kupumzika uondoa hatari ya kupata kiharusi.
Kwa kawaida tunajua wazi kuwa tukifanya kazi n kupumzika kwa wakati tunaweza kuruhusu damu kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuondoa kiharusi
3. Kupumzika ulinda afya ya moyo.
Kwa kawaida moyo uweza kusukuma damu kutoka sehemu moja kwenda nyingine hasa pale mtu akiwa amepumzika kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu zaidi.
4. Kupumzika usaidia mwili kujijenga.
Kwa kawaida ili mwili kuweza kufanya kazi kinapaswa kuwepo kupumzika kwa mda mrefu na wa kutosha kwa sababu mtu akiwa amepumzika kila kiungo kinajiunga kwa upya.
5. Uongeza hamasa ya utendaji.
Kwa kawaida mtu akipumzika na mwili mzima uweza kuwa na nguvu kwa hiyo akiamka kutoka sehemu ya kupumzika anaweza kufanya kazi kubwa na nyingi kwa mda mrefu.
6. Kupumzika uondoa msongo wa mawazo.
Kwa kawaida mtu akipumzika na akili nayo inapumzika na kuweza kufanya kazi vizuri na kupunguaza msongo wa mawazo.
7. Kupumzika pia uongeza hamu ya kula .
Kama mtu hana hamu ya kula akipumzika anaweza kuwa na hamu ya kula kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu.
8. Kupumzika uondoa Ajali barabarani.
Kwa kawaida ajali nyingi utokea kwa sababu ya kutopumzika kwa hiyo mtu akipumzika anaweza kupunguza kiwango cha ajali barabarani.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
Soma Zaidi...upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...