image

Umuhimu wa kupumzika kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.

Umuhimu wa kupumzika kiafya.

1. Kupumzika uongeza uwezo wa kukumbuka zaidi.

Kwa kawaida ubongo uweza kufanya kazi ikiwa mtu amepumzika kwa hiyo ukipumzika kwa mda unaofaa unapata kumbukumbu nzuri na ya mda mrefu.

 

2. Kupumzika uondoa hatari ya kupata kiharusi.

Kwa kawaida tunajua wazi kuwa tukifanya kazi n kupumzika kwa wakati tunaweza kuruhusu damu kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuondoa kiharusi 

 

3.   Kupumzika ulinda afya ya moyo.

Kwa kawaida moyo uweza kusukuma damu kutoka sehemu moja kwenda nyingine hasa pale mtu akiwa amepumzika kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu zaidi.

 

4. Kupumzika usaidia mwili kujijenga.

Kwa kawaida ili mwili kuweza kufanya kazi kinapaswa kuwepo kupumzika kwa mda mrefu na wa kutosha kwa sababu mtu akiwa amepumzika kila kiungo kinajiunga kwa upya.

 

5. Uongeza hamasa ya utendaji.

Kwa kawaida mtu akipumzika na mwili mzima uweza kuwa na nguvu kwa hiyo akiamka kutoka sehemu ya kupumzika anaweza kufanya kazi kubwa na nyingi kwa mda mrefu.

 

6. Kupumzika uondoa msongo wa mawazo.

Kwa kawaida mtu akipumzika na akili nayo inapumzika na kuweza kufanya kazi vizuri na kupunguaza msongo wa mawazo.

 

7. Kupumzika pia uongeza hamu ya kula .

Kama mtu hana hamu ya kula akipumzika anaweza kuwa na hamu ya kula kwa hiyo kupumzika ni kwa muhimu.

 

8. Kupumzika uondoa Ajali barabarani.

Kwa kawaida ajali nyingi utokea kwa sababu ya kutopumzika kwa hiyo mtu akipumzika anaweza kupunguza kiwango cha ajali barabarani.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1331


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera. Soma Zaidi...

Kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi Soma Zaidi...

Imani potofu kuhusu kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA
Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg. Soma Zaidi...

Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu
Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupumzika kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika. Soma Zaidi...

Malengo ya kutibu ukoma
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin Soma Zaidi...

Njia ambazo maradhi huambukizwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa Soma Zaidi...