Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.

Faida za kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi.

1. Kwanza kabisa wanaweza kujua afya zao wakoje, kwa sababu mtu akija kupewa dawa hizi ni lazima awe amepima kama ana maambukizi kama Hana anapewa dawa kwa kipindi cha mwezi mmoja au siku ishilini na nane na kama amekutwa na maambukizi anaendelea na dawa kama wateja wengine, kwa hiyo ni vizuri kwa sababu usaidia mtu kuja hali ya afya zao.

 

2. Inawasaidia wahudumu wa afya na watu wengi kuwa macho kuhusu maambukizi ya ukimwi, kwa sababu watu wanakua kuwa maambukizi yapo na wanakuwa macho kujikinga na ugonjwa huo na mara nyingi utawakuta wamevaa gloves Ili kujikinga.

 

3. Kuwasaidia wakina Mama wajawazito kutowaambukiza watoto wao kwa sababu dawa za kuzuia maambukizi utumiwa na akina Mama Ili kuzuia mtoto asipate akiwa tumboni , anapozaliwa na wakati wa kunyonya kwa hiyo ni vizuri kabisa dawa hizi zitumike, hasa kwa wahudumu wa afya walio wajawazito wanapaswa kuwa makini na kupima mara kwa mara kwa sababu ya usalama wa watoto walioko tumboni.

 

4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa wahudumu wa afya na watu wote walio kwenye hatari za kupata maambukizi ya ukimwi kupima mara kwa mara Ili kuweza kujua afya zao na kwa sababu ya mazingira yao, kwa mfano wanaofanya biashara za ngono,wanaovuta sigara kwa kutumia sindano Moja kwa watu zaidi ya mmoja na sindano hiyo utunzwa kwa matumizi ya siku nyingine, wanaume wanaojamiiana na wanaume wengine,wafungwa, watu wanaoishi kwenye kambi za wakimbizi. Wote Hawa wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi upimaji wa afya ni muhimu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 914

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.

Soma Zaidi...
Viwango vitatu vya kuungua.

Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Upungufu wa damu mwilini

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.

Soma Zaidi...
Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

Soma Zaidi...
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake

makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?

Soma Zaidi...
Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA nn kofanyike

Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...