picha

Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.

Faida za kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi.

1. Kwanza kabisa wanaweza kujua afya zao wakoje, kwa sababu mtu akija kupewa dawa hizi ni lazima awe amepima kama ana maambukizi kama Hana anapewa dawa kwa kipindi cha mwezi mmoja au siku ishilini na nane na kama amekutwa na maambukizi anaendelea na dawa kama wateja wengine, kwa hiyo ni vizuri kwa sababu usaidia mtu kuja hali ya afya zao.

 

2. Inawasaidia wahudumu wa afya na watu wengi kuwa macho kuhusu maambukizi ya ukimwi, kwa sababu watu wanakua kuwa maambukizi yapo na wanakuwa macho kujikinga na ugonjwa huo na mara nyingi utawakuta wamevaa gloves Ili kujikinga.

 

3. Kuwasaidia wakina Mama wajawazito kutowaambukiza watoto wao kwa sababu dawa za kuzuia maambukizi utumiwa na akina Mama Ili kuzuia mtoto asipate akiwa tumboni , anapozaliwa na wakati wa kunyonya kwa hiyo ni vizuri kabisa dawa hizi zitumike, hasa kwa wahudumu wa afya walio wajawazito wanapaswa kuwa makini na kupima mara kwa mara kwa sababu ya usalama wa watoto walioko tumboni.

 

4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa wahudumu wa afya na watu wote walio kwenye hatari za kupata maambukizi ya ukimwi kupima mara kwa mara Ili kuweza kujua afya zao na kwa sababu ya mazingira yao, kwa mfano wanaofanya biashara za ngono,wanaovuta sigara kwa kutumia sindano Moja kwa watu zaidi ya mmoja na sindano hiyo utunzwa kwa matumizi ya siku nyingine, wanaume wanaojamiiana na wanaume wengine,wafungwa, watu wanaoishi kwenye kambi za wakimbizi. Wote Hawa wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi upimaji wa afya ni muhimu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1453

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰2 web hosting    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na presha ya kushuka

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Athari ya kutotibu maambukizi ya kwenye kibofu cha mkojo

Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini

Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.

Soma Zaidi...