UMUHIMU WA KUTUMIA DAWA ZA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI


image


Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.


Faida za kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi.

1. Kwanza kabisa wanaweza kujua afya zao wakoje, kwa sababu mtu akija kupewa dawa hizi ni lazima awe amepima kama ana maambukizi kama Hana anapewa dawa kwa kipindi cha mwezi mmoja au siku ishilini na nane na kama amekutwa na maambukizi anaendelea na dawa kama wateja wengine, kwa hiyo ni vizuri kwa sababu usaidia mtu kuja hali ya afya zao.

 

2. Inawasaidia wahudumu wa afya na watu wengi kuwa macho kuhusu maambukizi ya ukimwi, kwa sababu watu wanakua kuwa maambukizi yapo na wanakuwa macho kujikinga na ugonjwa huo na mara nyingi utawakuta wamevaa gloves Ili kujikinga.

 

3. Kuwasaidia wakina Mama wajawazito kutowaambukiza watoto wao kwa sababu dawa za kuzuia maambukizi utumiwa na akina Mama Ili kuzuia mtoto asipate akiwa tumboni , anapozaliwa na wakati wa kunyonya kwa hiyo ni vizuri kabisa dawa hizi zitumike, hasa kwa wahudumu wa afya walio wajawazito wanapaswa kuwa makini na kupima mara kwa mara kwa sababu ya usalama wa watoto walioko tumboni.

 

4. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa wahudumu wa afya na watu wote walio kwenye hatari za kupata maambukizi ya ukimwi kupima mara kwa mara Ili kuweza kujua afya zao na kwa sababu ya mazingira yao, kwa mfano wanaofanya biashara za ngono,wanaovuta sigara kwa kutumia sindano Moja kwa watu zaidi ya mmoja na sindano hiyo utunzwa kwa matumizi ya siku nyingine, wanaume wanaojamiiana na wanaume wengine,wafungwa, watu wanaoishi kwenye kambi za wakimbizi. Wote Hawa wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi upimaji wa afya ni muhimu.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    4 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu kuhusu dawa ya Nystatin
Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi. Soma Zaidi...

image Kazi ya chanjo ya Surua
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa. Soma Zaidi...

image Faida za vidonge vya zamiconal
Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya zamiconal, ni baadhi ya faida ambazo upatikana kutokana na vidonge vya zamiconal,ni vidonge ambavyo utibu au kusaidia kwenye matatizo ya viungo vya uzazi. Soma Zaidi...

image Matibabu ya Fangasi ukeni na dawa za fangasi wanaoshambulia uke.
Fangasi wanaweza kushambulia uke, kwa juu kwenye mashhav ya uke ama kwa ndani. Hali hii inaweza kusababisha miwasho na maumivu pia. Inaweza kusababisha michubuko na kutofurahia tendo la ndoa. Makala hii inakwenda kukujuza dawa na matibabu ya fangasi ukeni. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa ya Prednisone katika kupambana na aleji
Post hii inahusu zaidi dawa ya Prednisone ambayo usaidia katika kupambana na aleji. Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu dawa ya marcolides dawa ya kuuwa bakteria, kwenye mfumo wa hewa
Post hii inahusu zaidi dawa ya macrolide ni mojawapo ya dawa ya kutibu au kupambana na bakteria na upambana na bakteria wafuatao streptococcus pyogenes, staphylococcus aureus na haihusiki na haemophilia influenza ambao usababisha maambukizi kwenye mfumo wa hewa. Soma Zaidi...

image Dawa ya kutibu ugonjwa wa PID
PID ni mashambulizi ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi kwa wanawake. Hapa nitakujulisha dawa Soma Zaidi...

image Mebendazole kama dawa ya kutibu Minyoo.
Post hii inahusu zaidi dawa ya Mebendazole kama Dawa ya kutibu Minyoo, ni dawa inayotumiwa na watu wengi pale wanapokuwa na minyoo, walio wengi wamefanikiwa kupona kwa kutumia Dawa hii. Soma Zaidi...

image Fahamu dawa za kutuliza magonjwa ya akili inayoitwa Chlorpromazine
Post hii inahusu zaidi dawa zinazosaidis katika kutuliza magonjwa ya akili, dawa hii kwa kitaamu huiitwa chlorpromazine ni dawa ambayo utumiwa na watu wenye tatizo la magonjwa ya akili na kwa kiasi kikubwa huwa sawa. Soma Zaidi...