Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Njia za kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
1. Elimisha jamii kwa kuwepo kwa ugonjwa huu na madhara yake na kujua kuwa unatibika.
2. Kuepuka ngono zembe katika kujamiiana, hii ni pale ambapo mwenye maambukizi kufanya ngono bila kinga, daima tumia kinga
3.Epuka kuosha sehemu za Siri Mara kwa mara kwa na sabuni maana huondoa bakteria ambao hawapaswi kuondolea kwa kitaalamu huitwa (normal frola) hawa bakteria nikwa ajili ya kinga
4 . Badilisha Pedi kwa mda maalumu na unaofaa, maana kukaa na Pedi mda mrefu usababisha maambukizi
5. Epuka kutumia vileo vikali ambavyo husababisha madhara mbalimbali na pengine ndio chanzo Cha ngono zembe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.
Soma Zaidi...Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
Soma Zaidi...Mbinu za kuponyesha majeraha
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Namna ya kumsaidia mtoto mwenye degedege
Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...