Navigation Menu



Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Hatua za kufuata baada ya kuambukizwa na HIV.

1. Hatua ya kwanza ni kutulia na hakikisha umefanya matibabu ndani ya Masaa sabini na mbili au zisizidi siku tatu kabla ya kufanya matibabu ukichekewa maambukizi yanakuwepo kama kawaida.

 

2. Hatua ya pili ondoa nguo zote ambazo zimechafuliwa hii utegemea na maambukizi uliyopata yametokana na nini kama ilikuwa ni ajali ondoa nguo zote na ikiwezekana oga Ili kuweza kuepuka kukaa na uchafu uliotokana na maambukizi.

 

3. Kama umechomwa na sindano acha kidonda kitililike damu  na kama sindano bado imo kwenye kidonda itoe tu kawaida huku ukitulia kwa sababu ukichachamaa unaweza kusababisha kujichoma zaidi na kuongeza maambukizi ambayo hatakutarajia.

 

4. Sehemu ambayo imechomwa inapaswa kuoshwa vizuri kwa maji safi na Sabuni Ili kuondoa maambukizi mengine ambayo ni tofauti na ukimwi kwa hiyo osha na hakikisha sehemu ni safi.

 

5. Kama sehemu iliyoadhirika ni sehemu ya macho,pia na mdomo  osha kwa macho tililika au kama ni jicho epuka kulitekenya tekesha osha kwa maji tililika na katika kutosha daima utulivu ni WA muhimu.

 

6. Baada ya kufanya hayo toa taarifa kuhusu yaliyokupata kwa wanaohusika au wakubwa wako kazini au mkubwa wako yoyote.

 

7. Kapime kama ulikuwa na maambukizi kabla kwa sababu unaweza kuwa na maambukizi bila kujua  na pia tumia dawa za kuzuia mzio au aleji.

 

8. Pia ni vizuri kabisa kupima afya ya yule uliyedhank kakuambukiza kama inawezekana na ukijua ana maambukizi anza dawa mara Moja na kama Hana wewe anza uwezi jua.

 

9. Kwa hiyo hizo ni baadhi ya hatua za kufuata ila zifanyike ndani ya masaa sabini na mbili

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1283


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Yajue malengo ya kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda. Soma Zaidi...

Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

Njia za kushusha presha
Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda. Soma Zaidi...

Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid Soma Zaidi...

Njia za kujikinga na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari Soma Zaidi...

Faida za tumbo katika mwili wa binadamu
Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula, Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa
Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne. Soma Zaidi...

Namna ya kujikinga na kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu Soma Zaidi...

Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.
 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye Soma Zaidi...