Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Ratiba ya chanjo ya Pentavalent.
1.Tunajua kabisa kwamba chanjo hii inaweza kutibu Magonjwa matano na chanjo hii imeunganishwa na ufanya kazi kwa pamoja. Pentavalent maana yake ni tano, kwa hiyo hii chanjo utolewa mara tatu yaani kwa vipindi maalumu kwa hiyo walezi na wazazi wa watoto wachanga wanapaswa kujua wazi mda ambao wanapaswa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo kama ifuatavyo.
2.Chanjo ya kwanza utolewa kwenye wiki ya sita baada ya mtoto kuzaliwa, kiasi kinachotolewa ni milia Sifuri nuka tano na sindano hii utolewa kwenye paja la kushoto kwa hiyo kila mtoto akifikisha wiki sita ambazo ni sawa na mwezi mmoja na wiki mbili anapaswa kuja kwenye kituo cha afya kupata chanjo.
3.Chanjo ya pili utolewa kwenye wiki ya Kumi ambayo ni sawa na miezi miwili na wiki mbili, kwa hiyo Walezi na wazazi wakumbushane mara kwa mara kuhusu kumrudisha mtoto ili apatiwe chanjo kwa hiyo kiwango anachopewa ni kama kile kwenye chanjo ya kwanza na sehemu ni ile ile ya kwenye paja la kushoto.
4.Chanjo Ya nne utolewa baada ya wiki kumi nne Bayo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo mtoto upewa kiasi kile kile kama alichopewa kwenye chanjo ya kwanza na ya pili kwa hiyo wazazi na walezi wote wanapaswa kukumbuka kuweza kuwapeleka watoto ili waweze kumalizia chanjo.
5.Kw hiyo tunaona wazi umuhimu wa chanjo hiyo ya Pentavalent kwa sababu inatibu Magonjwa mengi sana kwa hiyo wale walio na imani kuhusu chanjo wanapaswa kuelewa umuhimu wa chanjo ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa yanayozuiwa kwa chanjo kwa hiyo pia walezi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao kliniki ili wapate chanjo kwa hiyo wanapaswa kuachana na uzembe usiokuwa na maana na kusababisha Magonjwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kupanda
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo
Soma Zaidi...