Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu
1. Kwanza kabisa kama mdudu bado yupo kwenye mwili wa mtu anapaswa atolewa kabisa
2.kama mtu amevimba tunaaweza kutumia ice Ili kuondoa maambukizi
3. Tutumie dawa za alegi ambazo kwa kitaalamu zinaitwa histamine, hizi dawa hupunguza kuenea kwa sumu
4. Kama Kuna dalili zozote za kuwepo kwa nabaki ya wadudu kwenye mwili au meno ya wadudu kwenye ngozi inabidi yatolewe mara Moja.
Angalisho
1.Ili kuepuka kuumwa na wadudu tunapaswa kuwa mbali na sehemu Ile ambapo wadudu wanaoweza kuwepo
2. Kupikia ndani ya nyumba Ili kuepuka wadudu wansozunguka nje
3. Kusafisha nyumba kila mara na kupiga buibui Ili kuzuia wadudu wasizaliane sana
4. Kuwalinda watoto wanapokuwa wanacheza Ili wasichokoze wadudu wakali kama vile nyuki
5. Kuhakikisha wadudu wanaovamia makazi kama vile nyuki wanahamishwa au kuunguzwa kabisa Ili wasilete madhara ,
Kwa hiyo tujue kuwa wadudu wakivamia mtu hasa watoto wanaoweza kuleta madhara makubwa au pengine kifo kwa hiyo tuwe makini na na azingira yetu na tuhakikishe tumayasafisha Ili kufukuza wadudu wenye madhara
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.
Soma Zaidi...