Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu
1. Kwanza kabisa kama mdudu bado yupo kwenye mwili wa mtu anapaswa atolewa kabisa
2.kama mtu amevimba tunaaweza kutumia ice Ili kuondoa maambukizi
3. Tutumie dawa za alegi ambazo kwa kitaalamu zinaitwa histamine, hizi dawa hupunguza kuenea kwa sumu
4. Kama Kuna dalili zozote za kuwepo kwa nabaki ya wadudu kwenye mwili au meno ya wadudu kwenye ngozi inabidi yatolewe mara Moja.
Angalisho
1.Ili kuepuka kuumwa na wadudu tunapaswa kuwa mbali na sehemu Ile ambapo wadudu wanaoweza kuwepo
2. Kupikia ndani ya nyumba Ili kuepuka wadudu wansozunguka nje
3. Kusafisha nyumba kila mara na kupiga buibui Ili kuzuia wadudu wasizaliane sana
4. Kuwalinda watoto wanapokuwa wanacheza Ili wasichokoze wadudu wakali kama vile nyuki
5. Kuhakikisha wadudu wanaovamia makazi kama vile nyuki wanahamishwa au kuunguzwa kabisa Ili wasilete madhara ,
Kwa hiyo tujue kuwa wadudu wakivamia mtu hasa watoto wanaoweza kuleta madhara makubwa au pengine kifo kwa hiyo tuwe makini na na azingira yetu na tuhakikishe tumayasafisha Ili kufukuza wadudu wenye madhara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...