picha

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Aina ya ajali kwenye kichwa

1. Ajali inayotokea kwenye  sehemu ya juu ya kichwa

2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa

3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa

Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Maumivu makali

2. Msukumo wa damu unaongezeka

3. Macho kushindwa kuona vizuri

4. Mshutuko

5. Kutoka na usaha puani

6. Kupumua kwa shida

Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza

2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri

3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position

4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri

Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 3189

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 web hosting     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Namna ya kuyatunza macho

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho

Soma Zaidi...