Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Aina ya ajali kwenye kichwa
1. Ajali inayotokea kwenye sehemu ya juu ya kichwa
2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa
3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa
Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Maumivu makali
2. Msukumo wa damu unaongezeka
3. Macho kushindwa kuona vizuri
4. Mshutuko
5. Kutoka na usaha puani
6. Kupumua kwa shida
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza
2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri
3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position
4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri
Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
Soma Zaidi...