Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Aina ya ajali kwenye kichwa

1. Ajali inayotokea kwenye  sehemu ya juu ya kichwa

2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa

3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa

Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Maumivu makali

2. Msukumo wa damu unaongezeka

3. Macho kushindwa kuona vizuri

4. Mshutuko

5. Kutoka na usaha puani

6. Kupumua kwa shida

Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza

2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri

3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position

4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri

Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/17/Wednesday - 01:42:49 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1563

Post zifazofanana:-

Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kupanda
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kupanda Soma Zaidi...

Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo. Soma Zaidi...

Zifahmu Dalili za homa ya ini Kali ya pombe.
Posti hii inaonyesha dalili na Mambo Hatari yanayosababisha homa ya ini Kali ya pombe. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni
Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili. Soma Zaidi...

Magonjwa ya kuambukiza.
Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasiwe ya moja kwa moja kama tutakavyoona hapo baadaye. Soma Zaidi...

Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa. Soma Zaidi...

Choo kisichokuwa cha kawaida
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa surua kwa watoto.
Surua ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na homa na upele mwekundu, unaotokea utotoni. Wakati mtu aliye na virusi akikohoa au kupiga chafya, matone yaliyoambukizwa huenea angani na kutua kwenye sehemu zilizo karibu. Mtoto anaweza kupata virusi kwa kuvuta matone haya au kwa kugusa na kisha kugusa uso, mdomo, macho au masikio yao. Surua ni ugonjwa unaoambukiza sana unaosababishwa na virusi vya surua Soma Zaidi...

Fahamu Dalili zinazotokana na kuzama kwenye majj kwa watoto.
Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua. Soma Zaidi...

Sababu za ugonjwa wa mkojo kuwa na damu
Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu. Soma Zaidi...