Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Aina ya ajali kwenye kichwa
1. Ajali inayotokea kwenye sehemu ya juu ya kichwa
2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa
3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa
Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Maumivu makali
2. Msukumo wa damu unaongezeka
3. Macho kushindwa kuona vizuri
4. Mshutuko
5. Kutoka na usaha puani
6. Kupumua kwa shida
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza
2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri
3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position
4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri
Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
Soma Zaidi...Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
Soma Zaidi...Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.
Soma Zaidi...maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu
Soma Zaidi...Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,
Soma Zaidi...