Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Aina ya ajali kwenye kichwa
1. Ajali inayotokea kwenye sehemu ya juu ya kichwa
2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa
3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa
Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Maumivu makali
2. Msukumo wa damu unaongezeka
3. Macho kushindwa kuona vizuri
4. Mshutuko
5. Kutoka na usaha puani
6. Kupumua kwa shida
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza
2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri
3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position
4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri
Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...