picha

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Aina ya ajali kwenye kichwa

1. Ajali inayotokea kwenye  sehemu ya juu ya kichwa

2. Ajali inayotokea kwenye mifupa ya kichwa

3. Ajali inayotokea kwenye ubongo yaan ndani kabisa mwa kichwa

Dalili za mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Maumivu makali

2. Msukumo wa damu unaongezeka

3. Macho kushindwa kuona vizuri

4. Mshutuko

5. Kutoka na usaha puani

6. Kupumua kwa shida

Namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

1. Mfunge mgonjwa Ili kuepusha kichwa kuchezacheza

2. Fungus hewa kama mtu hapumui vizuri

3. Mlaze positioni nzuri ambavyo kwa kitaalamu inaitwa spine position

4. Hakikisha unazuia damu isitoke, kama inatoka hakikisha unamfunga mgonjwa vizuri

Baada ya hapo mpelekee mgonjwa hospitalini kwa msaada zaidi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 3349

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 ai web app     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata

Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo

Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Soma Zaidi...