Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.
Kazi za mifupa mwilini
1. Mifupa huupatia mwili umbo na kuonekana jinsi ulivyo.bila mifupa mwili usingekuwa unaeleweka
2.Nyama za mwili zimejishikisha kwenye mifupa, pasingekuwepo na mifupa nyama za mwilini zingekosa sehemu ya kujishikisha
3. Seli mbalimbali huzalisha kwenye mifupa, mfano seli nyekundu za damu huzaliwa kwenye mifupa
4. Usaidia kulinda moyo,mapafu, inni, tumbo ba bandana vyote vimo ndani ya mifupa
5. Usaidia katika upumuaji
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...