Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.


Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba Ugonjwa huu ni matokeo ya kushambuliwa kwa layer za spinal cord na ubongo ambazo Usababisha kuongezeka kwa kiwango kikubwa cha maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na sehemu ya spinal cord, hali hii usababisha matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa ubongo.

 

2. Pia kwa kuwa Ugonjwa huu usambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia rahisi ambayo ni pamoja na kukaribiana kwa kugusa maji maji yoyote kutoka kwa mgonjwa na utampata mtu endapo na yeye atakuwa na Mgonjwa karibu kwa yugonjwa huu husipotibiwa mapema uweza kusababisha madhara kwa watu wanaomtunza Mgonjwa hasa hasa kama hawana maarifa kuhusu Ugonjwa huo 

 

3. Pia kama Ugonjwa huu hautatibiwa mapema usababisha kuharibika kwa mifumo mingine mwilini ambayo kwa kitaalamu huitwa cerebral infarction, kwa hiyo hasa hasa Tatizo la usafirishaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye sehemu nyingine za mwili uleta shida kwa hiyo hali hii usababisha damu kushindwa kusafirishwa kwenye ubongo.

 

4. Vilevile kunakuwepo na matatizo katika sehemu mbalimbali za nje ya mishipa ya moyo ambayo kwa kitaalamu huitwa endocarditis, ni Maambukizi kwenye sehemu za mishipa ya moyo.

 

5. Kwa hiyo baada ya kujua matatizo hayo yote tunapaswa kuwa makini na Ugonjwa huu kuhakikisha kwamba tunatibu mapema kama imegunduliwa mapema ili kuweza kuepuka matatizo na madhara ambayo yanaweza kutokea yakawa mabaya zaidi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Zijue sababu za moyo kutanuka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa kaswende
Post hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa watu wote, kwa sababu ugonjwa huu una dalili ambazo upitia kwa hatua mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa Soma Zaidi...

image Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona kabisa Bali tunaishi nayo na kufuata mashart ya kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

image Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kijani Soma Zaidi...

image Mtu mwenye maumivu ya tumbo upande wa kushoto anaweza kutumia tiba gani ya asili ambayo inaweza kumsaidia kupunguza maumivu?
je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

image Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya ini
Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini. Soma Zaidi...

image Bawasili usababishwa na nini?
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili. Soma Zaidi...

image Je utaweza kuambukiza HIV ukiwa unatumia PrEP?
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza. Soma Zaidi...