Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kwamba Ugonjwa huu ni matokeo ya kushambuliwa kwa layer za spinal cord na ubongo ambazo Usababisha kuongezeka kwa kiwango kikubwa cha maji maji ambayo yapo kwenye ubongo na sehemu ya spinal cord, hali hii usababisha matatizo mbalimbali kwenye mfumo mzima wa ubongo.

 

2. Pia kwa kuwa Ugonjwa huu usambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia rahisi ambayo ni pamoja na kukaribiana kwa kugusa maji maji yoyote kutoka kwa mgonjwa na utampata mtu endapo na yeye atakuwa na Mgonjwa karibu kwa yugonjwa huu husipotibiwa mapema uweza kusababisha madhara kwa watu wanaomtunza Mgonjwa hasa hasa kama hawana maarifa kuhusu Ugonjwa huo 

 

3. Pia kama Ugonjwa huu hautatibiwa mapema usababisha kuharibika kwa mifumo mingine mwilini ambayo kwa kitaalamu huitwa cerebral infarction, kwa hiyo hasa hasa Tatizo la usafirishaji wa damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye sehemu nyingine za mwili uleta shida kwa hiyo hali hii usababisha damu kushindwa kusafirishwa kwenye ubongo.

 

4. Vilevile kunakuwepo na matatizo katika sehemu mbalimbali za nje ya mishipa ya moyo ambayo kwa kitaalamu huitwa endocarditis, ni Maambukizi kwenye sehemu za mishipa ya moyo.

 

5. Kwa hiyo baada ya kujua matatizo hayo yote tunapaswa kuwa makini na Ugonjwa huu kuhakikisha kwamba tunatibu mapema kama imegunduliwa mapema ili kuweza kuepuka matatizo na madhara ambayo yanaweza kutokea yakawa mabaya zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1280

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI

Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa watoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye tonsils

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa

Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.

Soma Zaidi...