picha

Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa njia zifuatazo.

1. Kuumwa na mbu, maana mbu anapovyonza damu kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine,midomo yake Ina chemikali ambazo uua kabisa virus vya Ukimwi kwa hiyo mbu hawezi kuambukizwa Ukimwi.

 

2. Kupitia jasho, Ili virusi vya Ukimwi viweze kuingia kwenye mwili wa binadamu mpaka kuwepo na kugusanisha kwa damu, lakini kwa upande wa jasho mtu hawezi kupata maambukizi.

 

3. Kuchangia vifaa vya kulia,sahani,vijiko na kuchangia bwawa la kuogelea hayo yote hayawezi kuchangia kuenea kwa Ukimwi

 

4. Kwenda shule pamoja na kuwa na rafiki mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi,haya yote hayawezi kusababisha maambukizi.

 

5.kupiga chafya au kikohoa, mtu hawezi kupata maambukizi kwa mtindo huu.

 

6. Kushika a mikono , kukumbatiana na kupigana busu kavu, haya yote hayawezi kueneza maambukizi hata kidogo

 

7. Kuvuta hewa Moja na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mtindo huo,

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2024

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa

Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.

Soma Zaidi...
Faida za tumbo katika mwili wa binadamu

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...