picha

Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa njia zifuatazo.

1. Kuumwa na mbu, maana mbu anapovyonza damu kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine,midomo yake Ina chemikali ambazo uua kabisa virus vya Ukimwi kwa hiyo mbu hawezi kuambukizwa Ukimwi.

 

2. Kupitia jasho, Ili virusi vya Ukimwi viweze kuingia kwenye mwili wa binadamu mpaka kuwepo na kugusanisha kwa damu, lakini kwa upande wa jasho mtu hawezi kupata maambukizi.

 

3. Kuchangia vifaa vya kulia,sahani,vijiko na kuchangia bwawa la kuogelea hayo yote hayawezi kuchangia kuenea kwa Ukimwi

 

4. Kwenda shule pamoja na kuwa na rafiki mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi,haya yote hayawezi kusababisha maambukizi.

 

5.kupiga chafya au kikohoa, mtu hawezi kupata maambukizi kwa mtindo huu.

 

6. Kushika a mikono , kukumbatiana na kupigana busu kavu, haya yote hayawezi kueneza maambukizi hata kidogo

 

7. Kuvuta hewa Moja na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mtindo huo,

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/25/Thursday - 10:30:43 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1922

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 ai web app    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za tumbo katika mwili wa binadamu

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,

Soma Zaidi...
Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo

Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
fahamu vitamini A na kazi zake

Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.

Soma Zaidi...
Kumsaidia mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote machoni

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wazee

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee

Soma Zaidi...
Nini husababisha kizunguzungu?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.

Soma Zaidi...
Kazi za chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...