Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa njia zifuatazo.
1. Kuumwa na mbu, maana mbu anapovyonza damu kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine,midomo yake Ina chemikali ambazo uua kabisa virus vya Ukimwi kwa hiyo mbu hawezi kuambukizwa Ukimwi.
2. Kupitia jasho, Ili virusi vya Ukimwi viweze kuingia kwenye mwili wa binadamu mpaka kuwepo na kugusanisha kwa damu, lakini kwa upande wa jasho mtu hawezi kupata maambukizi.
3. Kuchangia vifaa vya kulia,sahani,vijiko na kuchangia bwawa la kuogelea hayo yote hayawezi kuchangia kuenea kwa Ukimwi
4. Kwenda shule pamoja na kuwa na rafiki mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi,haya yote hayawezi kusababisha maambukizi.
5.kupiga chafya au kikohoa, mtu hawezi kupata maambukizi kwa mtindo huu.
6. Kushika a mikono , kukumbatiana na kupigana busu kavu, haya yote hayawezi kueneza maambukizi hata kidogo
7. Kuvuta hewa Moja na mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mtindo huo,
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukujuza kuhusu makundi manne ya damu, asili yake, maana ya antijeni na antibody, pia utajifunza kuhusu mfumo wa Rh. Mwisho utajifunza watu wanaopasa kutoa damu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
Soma Zaidi...