Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Ishara na Dalili ya kuingiliwa na kitu katika sikio
1. Maumivu
2., kuvimba.
3.kuwasha.
4. Uwekundu.
5. kupungua kwa kusikia
Sababu za kuingiliwa na kitu katika sikio
1. Shanga
2. Chakula (hasa maharagwe)
3. Karatasi
Nta ya sikio ni dutu inayotokea kiasili kwenye mfereji wa sikio lakini inaweza kuwa tatizo inapoongezeka hadi kuziba mfereji wa sikio.
Wadudu: Wadudu wanaweza pia kuruka au kutambaa kwenye mfereji wa sikio
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu kwenye sikio
1. Usichunguze sikio kwa kutumia chochote Bali angalia tu bila kugusa.
2 Usijaribu kuondoa kitu kigeni kwa kuchunguza kwa kutumia pamba ya masikio, kiberiti au zana nyingine yoyote.
3. Kufanya hivyo ni hatari ya kusukuma kitu ndani ya sikio na kupelekea uharibifu wa sikio la Kati .
4. Ondoa kitu ikiwezekana. Ikiwa kitu kinaonekana wazi, kinaweza kutekelezeka na kinaweza kushikwa kwa urahisi ndio ukitoe.
5. Usipige kichwa cha mtu huyo, lakini ukitikise kwa upole kuelekea ardhini ili kujaribu kukiondoa kitu hicho.
6. Ikiwa kitu ni uchafu kama wadudu, pindua kichwa cha mtu huyo ili sikio lililo na wadudu liwe juu.
7. Jaribu kuelea wadudu kwa kumwaga mafuta ya madini, mafuta ya mizeituni au mafuta ya Nazi
8. Usitumie mafuta kuondoa kitu chochote isipokuwa wadudu.
9. Usitumie njia hii ikiwa kuna mashaka yoyote ya kutoboa katika maumivu ya ngoma ya sikio kutokwa na damu .
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi endapo uchafu haujaoneka, au umezam Ndani kabisa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
Soma Zaidi...maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu
Soma Zaidi...Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili
Soma Zaidi...Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza kuusu vitamini D, kazi zake, upungufu wake na chanzo cha kupata vitamini D.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
Soma Zaidi...