Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Ishara na Dalili ya kuingiliwa na kitu katika sikio
1. Maumivu

2., kuvimba.

3.kuwasha.
4. Uwekundu.
5.  kupungua kwa kusikia

 

Sababu za kuingiliwa na kitu katika sikio
1. Shanga
2. Chakula (hasa maharagwe)
3. Karatasi


 Nta ya sikio ni dutu inayotokea kiasili kwenye mfereji wa sikio lakini inaweza kuwa tatizo inapoongezeka hadi kuziba mfereji wa sikio.
 Wadudu: Wadudu wanaweza pia kuruka au kutambaa kwenye mfereji wa sikio

 

Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu kwenye sikio
1. Usichunguze sikio kwa kutumia chochote Bali angalia tu bila kugusa.
2 Usijaribu kuondoa kitu kigeni kwa kuchunguza kwa kutumia pamba ya masikio, kiberiti au zana nyingine yoyote.
3. Kufanya hivyo ni hatari ya kusukuma kitu ndani ya sikio na kupelekea uharibifu wa sikio la Kati .
4. Ondoa kitu ikiwezekana.  Ikiwa kitu kinaonekana wazi, kinaweza kutekelezeka na kinaweza kushikwa kwa urahisi ndio ukitoe.

5. Usipige kichwa cha mtu huyo, lakini ukitikise kwa upole kuelekea ardhini ili kujaribu kukiondoa kitu hicho.
6. Ikiwa kitu ni uchafu kama wadudu, pindua kichwa cha mtu huyo ili sikio lililo na wadudu liwe juu.
7. Jaribu kuelea wadudu kwa kumwaga mafuta ya madini, mafuta ya mizeituni au mafuta ya Nazi 

8. Usitumie mafuta kuondoa kitu chochote isipokuwa wadudu.
9. Usitumie njia hii ikiwa kuna mashaka yoyote ya kutoboa katika maumivu ya ngoma ya sikio kutokwa na damu .
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi endapo uchafu haujaoneka, au umezam Ndani kabisa.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3792

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Upungufu wa damu mwilini
Upungufu wa damu mwilini

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia vidonge vya ARV
Namna ya kutumia vidonge vya ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupumzika kiafya
Umuhimu wa kupumzika kiafya

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhsu vitamini E na kazi zake mwilini
Fahamu kuhsu vitamini E na kazi zake mwilini

Je unazijuwa faida za kuwa na vitamini E mwilini mwako.Unahani utapata matatizo yapi ya kiafya endapo utakuwa na upungufu wa vitamini E mwilini? Makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?
Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli

Soma Zaidi...