Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka kuingia kwenye mfuko wa uzazi wa mama
_ wakati wa kujamiiana mbegu za kiume huungana na yai la mama na kutengeneza zygote
_hiki kitendo hufanyikia kwenye milija ya mwanamke kwa kitaalamu huitwa (follapian tube)
-wakati wa kujamiiana mbegu za kiume kama millioni mia tatu hutolew
_ lakini nyingine hufia njiani maelfu ufika kwenye milija ya mwanamke Moja tu ndo uungana na yai kutengeneza zygote
_ Baada ya siku tatu au nne zygote ushuka kwenye mfuko wa mimba na kutengeneza placenta
_ placenta usaidia mtoto katika kula, hewa, kutoa uchafu na kazi zote zinazohitajika kwa mtoto akiwa tumboni
_ mtoto hukaa miezi Tisa baadae utoka mda wake ukifika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Soma Zaidi...Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Soma Zaidi...Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...