Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka kuingia kwenye mfuko wa uzazi wa mama
_ wakati wa kujamiiana mbegu za kiume huungana na yai la mama na kutengeneza zygote
_hiki kitendo hufanyikia kwenye milija ya mwanamke kwa kitaalamu huitwa (follapian tube)
-wakati wa kujamiiana mbegu za kiume kama millioni mia tatu hutolew
_ lakini nyingine hufia njiani maelfu ufika kwenye milija ya mwanamke Moja tu ndo uungana na yai kutengeneza zygote
_ Baada ya siku tatu au nne zygote ushuka kwenye mfuko wa mimba na kutengeneza placenta
_ placenta usaidia mtoto katika kula, hewa, kutoa uchafu na kazi zote zinazohitajika kwa mtoto akiwa tumboni
_ mtoto hukaa miezi Tisa baadae utoka mda wake ukifika.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...