Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

RATIBA YA CHANJO YA KUZUIA KUHARISHA


image


Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.


Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha.

1.Aina hii ya chanjo inazuia kuharisha kwa watoto na utolewa mara mbili na kwa vipindi tofauti tofauti  pia uweza kutunzwa kwenye temperature kuanzia mbili mpaka nane na ikizidi au kupungua itaweza kuleta madhara na kwa ujumla isitumike, chanjo hiyo utolewa kwenye kinywa  kwa miilis Moja nukta tano, na chanjo hii baada ya kutolewa uwa na madhara madogo madogo kama ifuatavyo.

 

2.Watoto wanaweza kukosa hamu ya kula,kuharisha na kutapika,joto la mwili kupanda na homa, maumivu ya tumbo na kuhisi uchovu wa mara kwa mara hasa kusinzia kwa mtoto na chanjo hii hapaswi kupewa mtoto mwenye mzio au aleji kwa hiyo hizo Dalili zikitokea na kuchukua mda zaidi ya masaa ishirini na manne mtoto anapaswa kupelekwa hospitalini ili kupata matibabu zaidi, ratiba ya chanjo ni kama ifuatavyo.

 

3.Chanjo ya kwanza unapaswa kutolewa kwenye wiki ya sita ambayo ni sawa na mwezi mmoja na wiki mbili, na kiasi ni sawa na mills moja nukta tano na pia utolewa kwa njia ya kinywa kwa hiyo ifikapo kila baada ya wiki sita walezi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo.

 

4.Chanjo ya pili inapaswa kutolewa baada ya wiki kumi ambazo ni sawa na miezi miwili na wiki mbili kwa hiyo ifikapo mda huu mama na walezi wanapaswa kutimiza wajibu wao wa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo na kiasi ni kile kile cha kwenye chanjo ya kwanza na daima upitishwa kwenye kinywa.

 

5. Kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo hii kwa sababu ina maana sana kwenye maisha ya watoto mbali tunajua wazi kuharisha kwa watoto ni hatari na upelekea maji kuisha mwilini na hatimaye mtoto anaweza kupata madhara makubwa zaidi.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    5 ICT       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Afya , ALL , Tarehe 2022/02/11/Friday - 09:32:37 am     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 709



Post Nyingine


image Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwilini na kuepuka vyakula visivyofaa ambavyo vinaweza kuleta matatizo kwa Mama na mtoto. Soma Zaidi...

image Aina za kifua kikuu.
Posti hii inahusu zaidi aina mbili za kifua kikuu, aina ya kwanza ni ile ya kawaida ambayo ushambulia mapafu na aina ya pili ni ile ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye limfu node, kwenye sehemu za moyo, kwenye uti wa mgongo, kwenye tumbo, kwenye sehemu za via vya uzazi. Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa Saratani ya ini.
Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Soma Zaidi...

image Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kuepuka na tatizo hili la saratani kwa watoto. Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli Soma Zaidi...

image Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

image Upungufu wa maji
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini Soma Zaidi...

image Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia. Soma Zaidi...

image Namna madonda koo yanavyotokea
Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu. Soma Zaidi...

image Sababu za ugumba kwa wanawake
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni sababu za ugumba kwa wanawake. Soma Zaidi...