Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.
Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha.
1.Aina hii ya chanjo inazuia kuharisha kwa watoto na utolewa mara mbili na kwa vipindi tofauti tofauti pia uweza kutunzwa kwenye temperature kuanzia mbili mpaka nane na ikizidi au kupungua itaweza kuleta madhara na kwa ujumla isitumike, chanjo hiyo utolewa kwenye kinywa kwa miilis Moja nukta tano, na chanjo hii baada ya kutolewa uwa na madhara madogo madogo kama ifuatavyo.
2.Watoto wanaweza kukosa hamu ya kula,kuharisha na kutapika,joto la mwili kupanda na homa, maumivu ya tumbo na kuhisi uchovu wa mara kwa mara hasa kusinzia kwa mtoto na chanjo hii hapaswi kupewa mtoto mwenye mzio au aleji kwa hiyo hizo Dalili zikitokea na kuchukua mda zaidi ya masaa ishirini na manne mtoto anapaswa kupelekwa hospitalini ili kupata matibabu zaidi, ratiba ya chanjo ni kama ifuatavyo.
3.Chanjo ya kwanza unapaswa kutolewa kwenye wiki ya sita ambayo ni sawa na mwezi mmoja na wiki mbili, na kiasi ni sawa na mills moja nukta tano na pia utolewa kwa njia ya kinywa kwa hiyo ifikapo kila baada ya wiki sita walezi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo.
4.Chanjo ya pili inapaswa kutolewa baada ya wiki kumi ambazo ni sawa na miezi miwili na wiki mbili kwa hiyo ifikapo mda huu mama na walezi wanapaswa kutimiza wajibu wao wa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo na kiasi ni kile kile cha kwenye chanjo ya kwanza na daima upitishwa kwenye kinywa.
5. Kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka watoto kupata chanjo hii kwa sababu ina maana sana kwenye maisha ya watoto mbali tunajua wazi kuharisha kwa watoto ni hatari na upelekea maji kuisha mwilini na hatimaye mtoto anaweza kupata madhara makubwa zaidi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda
Soma Zaidi...Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI
Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake
Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata
Soma Zaidi...Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata
Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Upungufu wa protin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini
Soma Zaidi...