Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Namna ya kutoa huduma ya kwanza  kwa watu waliopata ajali kwa kufuata rangi zinazowakilisha jinsi watu walivyoumia

1.Rangi nyekundu

_ inawakilisha wale waliomahututi na wanahitaji msaada wa haraka Kati ya dakika mbili au tatu.

_ wakicheleweshwa wanaoweza kupoteza maisha

2. Rangi ya njano

_ inawakilisha wale majeruhi wanahitaji msaada Kati ya nusu saa, kwa hiyo ndani ya nusu saa inabidi wapewe huduma

3.Rangi ya kijani

_ ni rangi inayowakilisha wale ambao hawakupata maumivu, lakini kwa sababu ya kuona wengine wameumia na kuda huwa na wasiwasi sana.

_ hawa hawahitaji kutibiwa Ila upelekwa sehemu kwa ajili ya kupumzika na kupewa dawa za matumizi

4. Rangi nyeusi

_ inawakilisha wale waliofariki kwenye ajali, kwa hiyo hawahitaji matibabu yoyote Ila hupelekea kwenye chumba Cha kutunzia maiti.

Kwa hiyo kabla ya kutoa huduma ya kwanza ni lazima kufuata Hali ya  majeruhi kulingana na hali zao, zinazowakilisha na rangi

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 911

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Athari za mkojo mwilini.
Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo
Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu
Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.

Soma Zaidi...
Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.
Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.

Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...