Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali kwa kufuata rangi zinazowakilisha jinsi watu walivyoumia
1.Rangi nyekundu
_ inawakilisha wale waliomahututi na wanahitaji msaada wa haraka Kati ya dakika mbili au tatu.
_ wakicheleweshwa wanaoweza kupoteza maisha
2. Rangi ya njano
_ inawakilisha wale majeruhi wanahitaji msaada Kati ya nusu saa, kwa hiyo ndani ya nusu saa inabidi wapewe huduma
3.Rangi ya kijani
_ ni rangi inayowakilisha wale ambao hawakupata maumivu, lakini kwa sababu ya kuona wengine wameumia na kuda huwa na wasiwasi sana.
_ hawa hawahitaji kutibiwa Ila upelekwa sehemu kwa ajili ya kupumzika na kupewa dawa za matumizi
4. Rangi nyeusi
_ inawakilisha wale waliofariki kwenye ajali, kwa hiyo hawahitaji matibabu yoyote Ila hupelekea kwenye chumba Cha kutunzia maiti.
Kwa hiyo kabla ya kutoa huduma ya kwanza ni lazima kufuata Hali ya majeruhi kulingana na hali zao, zinazowakilisha na rangi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Kitau cha Fiqh ๐2 Bongolite - Game zone - Play free game ๐3 ai web app ๐4 Kitabu cha Afya ๐5 Dua za Mitume na Manabii ๐6 web hosting
Post zinazofanana:
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโATWA NA NYUKI
Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Soma Zaidi...Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Imani potofu juu ya chanjo.
Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR
Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
Soma Zaidi...