Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali kwa kufuata rangi zinazowakilisha jinsi watu walivyoumia
1.Rangi nyekundu
_ inawakilisha wale waliomahututi na wanahitaji msaada wa haraka Kati ya dakika mbili au tatu.
_ wakicheleweshwa wanaoweza kupoteza maisha
2. Rangi ya njano
_ inawakilisha wale majeruhi wanahitaji msaada Kati ya nusu saa, kwa hiyo ndani ya nusu saa inabidi wapewe huduma
3.Rangi ya kijani
_ ni rangi inayowakilisha wale ambao hawakupata maumivu, lakini kwa sababu ya kuona wengine wameumia na kuda huwa na wasiwasi sana.
_ hawa hawahitaji kutibiwa Ila upelekwa sehemu kwa ajili ya kupumzika na kupewa dawa za matumizi
4. Rangi nyeusi
_ inawakilisha wale waliofariki kwenye ajali, kwa hiyo hawahitaji matibabu yoyote Ila hupelekea kwenye chumba Cha kutunzia maiti.
Kwa hiyo kabla ya kutoa huduma ya kwanza ni lazima kufuata Hali ya majeruhi kulingana na hali zao, zinazowakilisha na rangi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...