picha

Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.

Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu.

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambaye uingia kwenye utumbo na kusababisha madhara kama vile kuharisha na kitapika zifuatazo ni njia za kuzuia kipindupindu..

 

1. Kuchemsha maji na kuyachuja, tunajua kuwa wadudu wengi ukaa kwenye maji na ukinywa maji hayo vidudu uingia kwenye mmengenyo wa chakula na kusababisha madhara kwa hiyo mtu huanza kuharisha,kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji Ili tuweze kuua hao wadudu.

 

2. Kunawa mikono kwa sabuni na maji baada ya kutoka choo, maana tukiwa chooni huwa tunagusa sehemu mbalimbali ambazo ni chafu na tubabeba wadudu tukishika chakula bila kunawa mikono tunakula hao wadudu na kusababisha madhara ya tumbo.

 

3. Nawa mikono kabla ya kuandaa chakula.

Wakati wa kuandaa chakula tunapaswa kunawa mikono kwa sababu Ili tuepuke kuweka wadudu kwenye chakula na kusababisha madhara kwa wengine ambao tunawaandalia chakula, kwa hiyo kabla ya kuandaa chakula tunapaswa kunawa mikono.

 

4.Epuka kula vyakula ambavyo havijaiva vizuri.

Kuna watu wengine ambao upenda kula vyakula ambavyo havijapikwa vizuri, vyakula hivyo pengine uwa na wadudu,kama hajaungua wanaoingia mwilini na kusababisha madhara makubwa ya kuharibika na kutapika,kwa hiyo tunapaswa kupika vyakula mpaka viive ndipo tuvitumie.

 

5. Osha matunda kwa maji Safi kabla ya kuyatumi.

Kabla ya kuandaa matunda inabidi yaoshwe vizuri, maana wadudu wengi upitia kwenye matunda na kuacha mazari ambayo usababisha madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo matunda yakitumika bila kuishiwa vizuri.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2703

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...
Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,

Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kizunguzungu

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kazi za ini.

Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...