Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.

Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu.

Ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambaye uingia kwenye utumbo na kusababisha madhara kama vile kuharisha na kitapika zifuatazo ni njia za kuzuia kipindupindu..

 

1. Kuchemsha maji na kuyachuja, tunajua kuwa wadudu wengi ukaa kwenye maji na ukinywa maji hayo vidudu uingia kwenye mmengenyo wa chakula na kusababisha madhara kwa hiyo mtu huanza kuharisha,kwa hiyo tunapaswa kuchemsha maji Ili tuweze kuua hao wadudu.

 

2. Kunawa mikono kwa sabuni na maji baada ya kutoka choo, maana tukiwa chooni huwa tunagusa sehemu mbalimbali ambazo ni chafu na tubabeba wadudu tukishika chakula bila kunawa mikono tunakula hao wadudu na kusababisha madhara ya tumbo.

 

3. Nawa mikono kabla ya kuandaa chakula.

Wakati wa kuandaa chakula tunapaswa kunawa mikono kwa sababu Ili tuepuke kuweka wadudu kwenye chakula na kusababisha madhara kwa wengine ambao tunawaandalia chakula, kwa hiyo kabla ya kuandaa chakula tunapaswa kunawa mikono.

 

4.Epuka kula vyakula ambavyo havijaiva vizuri.

Kuna watu wengine ambao upenda kula vyakula ambavyo havijapikwa vizuri, vyakula hivyo pengine uwa na wadudu,kama hajaungua wanaoingia mwilini na kusababisha madhara makubwa ya kuharibika na kutapika,kwa hiyo tunapaswa kupika vyakula mpaka viive ndipo tuvitumie.

 

5. Osha matunda kwa maji Safi kabla ya kuyatumi.

Kabla ya kuandaa matunda inabidi yaoshwe vizuri, maana wadudu wengi upitia kwenye matunda na kuacha mazari ambayo usababisha madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo matunda yakitumika bila kuishiwa vizuri.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2143

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Soma Zaidi...
Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Umuhimu wa uterusi

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.

Soma Zaidi...