image

Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .

   Huduma ya kwanza kwa mtu anayetapika

      Ikilinganishwa na hapo mwanzo tulivyosema kuwa huduma ya kwanza inatolewa na mtu yeyote yule katika jamii husika tukiangalia huduma ya  kwanza kwa mtu anayetapika  kuna bahadhi ya sababu zinazopelekea mpaka kutapika labda kunywa  maji machafu na kula chakula kichafu hii inakuwa inapelekea mtu kutapika  miongoni mwao dalili zake ni.hali hii usababishwa maji na chumvi chumvi kupungua ndani ya mwili wake pia upelekea mwili kudhoofika na mgonjwa kukosa nguvu kabisa .pia mtu anayetapika inatakiwa kupewa huduma ya kwanza inayolenga kurudishia maji mwilini mwake .

 

      hatua za kumsaidia mtu anayetapika.

    1.muweke mgonjwa mahali safi na salama.

 

   2.akikisha mgonjwa amekaa au kulala kwa ubavu ili kuzuia kupaliwa na matapishi.

 

  3.mpe mgonjwa maji yenye mchanganyiko wa chumvi,sukari na juisi ya limau na tangawizi husaidia kuondoa kichefu chefu .

 

  4. mpegonjwa maji ya matunda kwa wingi ili apate nguvu na kurejesha maji na chumvi chumvi zilizopotea mwilini. 

 

5. Mpeleke mgonjwa hospitali haraka 

 

Huduma ya kwanza kwa mtu anayeharisha.         tumeona kuwa huduma ya kwanza inatolewa na mtu yoyote yule pia kutapika na kuharisha vinataka kushabiana lakini inatubidi tujifunze ili tujue mini cha kumfanya. Apa tunangalia zaidi kuharisha hupunguza maji mengi mwilini kwa kiasi kikubwa sana. Kama ilivyo kutapika sababu zinazoweza kumfanya mtu kuharisha ni kula chakula kichafu  au kunywa vinywaji vichafu .

 

kupungua kwa maji mwilini hisababisha madhara makubwa kwa mgonjwa yakiwemo kuishiwa nguvu nyingi sana mwilini na hata kifo ila tumeona kwenye kutapika na kuharisha ni sawa na kitu kimoja kupoteza maji mengi mwilini adi vifo  hivyo mtu mwenye matatizo haya anatakiwa apate huduma ya kwanza mapema sana iwezekanavyo ili kuokoa maisha yake apo badae .

 

Hatua za kumsaidia mtu anayeharisha 

  Muweke mgonjwa mahali pasafi na salama asa kwenye kivuli ambapo hakuna jua Mpe maji yenye mchanganyiko wa chumvi ,sukari na juisi ya limau .pia unaweza kumpa mgonjwa mchanganyiko mahalumu wenye chumvi na sukari unapopatikana dukani kwa ajili ya wagonjwa wenye matatizo ya kuharisha ata ukiweza kutengeneza wewe ni sawa ilimradi uwe mchanganyiko wa chumvi na sukari 

 

 Mpe mgonjwa juisi ya matunda na maji safi kwa wingi ili apate nguvu za kurejesha maji mwilini mwake pia chumvi chumvi zilizopotea kwake maji yawe yakitosha alafu  apumzike kidogo 

 

 Badae ya muda mfupi mpeleke hospitali au kwa mtaalamu aliekaribu nae .pia hio itasaidia jinsi ya kuokoa maisha yake.

 

    Huduma ya kwanza kwa mtu alievunjika mfupa.

        Tunajuwa kwamba apo awali tunasema bora tiba kuliko kinga maana huduma ya kwanza ni muhimu sana tukiangalia kwenye huduma ya kwanza kwa mtu alievunjika mfupa ni kwamba uvunjika mfupa kutokana na sababu mbalimbali .ajali ya kuanguka na kugongwa kwenye michezo.pia ajali inaweza kutokana na kugongwa na vyombo vya usafili kama gari ,pikipiki baiskeli ,vyote hivyo upelekea kuvunjika kwa mfupa .hapo huduma ya kwanza ni muhimu kabisa 

 

Mtu alievunjika mfupa anaweza kutambulika kwa kushindwa kutumia kiungo chake cha mwili bali na apo juisi maumivu makali sana  sehemu hiyo iliyovimba na huwa na maumivu makali sana. 

 

           kuna aina mbalimbali za mvunjiko ya mfupa

1. mvunjiko wa mfupa kwa ndani: katika haina hii ya mvunjiko mfupa uvunjika vipande viwili au zaidi bila mfupa kutokeza nje ya ngozi.pia mfupa huweza kupata hufa mara nyingi sanaa pia sehemu ya nje huonekana uvimbe tu.

 

2. Mvunjiko wenye jeraha: katika namna hii mvunjiko unaweza kuwa kwa namna mbili tu.aina mojawapo ni kuvunjika kwa mfupa kuchoma mnofu .Aina nyingine ni mfupa kuvunjika na vipande vyake kutokeza nje ya ngozi.mfupa kuvunjika vipande viwili na kutokeza nje ya ngozi .jeraha huonekana katika sehemu iliyozunguka mvunjiko kwa ndani na nje ya ngozi.

 

 Mvunjiko  wa kupinda bila mfupa kukatika vipande viwili:: hii katika ajali ya namna hii mfupa hupinda bila kukatika kabisa  vipande vipande.mvunjiko hufanana na kijiti kibichi ambacho kikipindwa huweza kuvunjika bila kukatika kabisa.

 

     Namna ya kumhudumia mtu alievunjika mfupa.M

1. Mtulize mgonjwa kwa kumhakikishia usalama wake.

 

2. Kabla ya kutoa huduma yoyote zuia damu ilibisiendelee kutoka nyingi inatubidi zivae glavu ili kuondokana na magonjwabalimbali pia zumia kitambaa safi na salama cha kuzuia damu .

 

3. Mhudumie mgonjwa hapo hapo alipopatia jeraha linalonekana kwenye mvunjiko lifunike kwa hali ya usafi na wala usijalibu kurudishia mfupa kwenye hali yake ya kawaida.

 

4. Endapo mgonjwa amepata mshutuko ,mpatie kwanzabhuduma ya kwanzabhuduma endapo uendelee na hatua nyingine zaiditengeneza kiungo cha mwili kilichovunjika kwa uangalifu kwa kukifunga na magango safi na imara au kukifungia kwenye sehemu nyingine ya mwili wamajeruhi.

 

5. Mlaze mgonjwa sehemu tulivu kisha fungal hio sehemu ya gango liwe na urefu wa kutosha kutengeneza sehemu yote ya mwili yenye mfupa uliovunjika pale inapowezekana fanya ifuatayo.,,,funika ngozi katika sehemu ya mwili iliyovunjika kwa kutumia pamba .kitambaa.au nyasi laini hii husaidia kuzuia sehemu iliyovunjika kuumizwa na magango pamoja na bandeji .,,,iwapo magango mawili yanahitajika hakikisha yamelingana pande zote.

 

  1. Mpeleke mgonjwa hospitalini kwa kutumia usafili ambao hautamuongezea maumivu kama baiskeli pikipiki na gari.

 

​​​​HUduma ya kwanza kwa mtu aliyezama kwenye maji .

Tumeangali huduma nyingi sana ila inabidi tuwe makini sana kama huwezo kumpatia hudumagonjwa mpeleke moja kwa moja kwa watahalamu au hospitalini.apa tunakuja kuangalia jinsi ya kumpatia huduma ya kwamlnza kwa mtu aliyezama kwenye maji .mtu anaweza kuanguka .kwenye maji na kuzama kwenye kina kirefu sana kwa bahati mbaya kushindwa kuogelea .vilevile mtu anaweza kuogelea  anaweza kuzama kupata tatizo akiwa ndani ya maji .

 

Mtu akizama uweza kunywa maji mengi sana katika jitihada za kuvuta hewa .hivyo mtu aliyezama umeza maji mengi kwenye tumbo na mapafu hivyo hishindwa kupumua ipasavyo  mtu huyo huitaji huduma ya kwanza hipasavyo  kwa mfano kama aliezama hajazirai .muokoaji ni lazima awe muangalifu hii ninkwa sababu ya mtu aliezama hutapatapa na huweza kumzamisha muokoaji nyote mkashindwa kujiokoa .muokoaji apaswi kumgusa mtu aliezama kwenye maji .anatakiwa atumie vitu kama vile kitambaa.mti .nguo au kamba ndefu.

 

   hatua za kumhudumia mtu aliyezama kwenye maji.

  1.  Mtie ndani ya maji pale ulipofanikiwa kumvuta .mwanzo tumeeleza uzumie kumvuta mti au kamba 

 

  1. Mlaze chali na kiss kuanza kumsaidia kupumua kwa kupuliza pumzi kwa nguvu kwa kutumia njia ya mdomo kwa mdomo .ni muhimu kuchukua tahadhari za magonjwa ya kuambukiza kwa kutumia kitambaa ili kuzuia kugusanisha midomo

 

  1. Akiwa amelala chali muweke shingo upande kisha jaribu kugandamiza tumbo lake taratibu kwa kuelekea ndani -nje mara nyingi sana 

 

  1. Mwinue haraka na kumuinamisha kidogo kichwa chake ili kumpatisha maji yaliyo katika mapafu 

 

  1. Fanya hatua ya 2,3,4 mara tatu au nne 

 Bahada ya hapo atakuwa amepata nafuu kidogo lazima umpeleke hospitali waweze kumpatia matibabu pia haishauriwi kama huwezi kuogelea inakubidi uchukue hatua vizuri .kuna huduma nyingi sana.

 

huduma ya kwanza kwa mtu aliyeumwa na nyoka.

  Tukiangalia pale mwanzo tumeona huduma zipo nyingi sana na huduma ya kwanza inatolewa na mtu yeyote mwenye huwezo wa kutoa huduma .tukiangalia huduma ya kqanzabkqa mtu aliyeumwa na nyoka .kwanza tujue kuna aina nyingi za nyoka kuna nyoka wenye sumu  na ambao hawana sumu tena nyoka wenye sumu ni nyoka atari sana kwa sababu wanna sumu ambayo inaweza kusababishia kifo kama mtu hakupata huduma ya kwanza mapema  .pia kuna dalili za mtu aliyeumwa na nyoka ni kuvimba na maumivu makali sana  .

 

 Kuna hatua za kumhudumia mgonjwa aliyeumwa na nyoka .

  1. KUtokana na nyoka kuwa na sumu kali mwilini inabidi kuchukuliwa hizi hatua ili tuweze kuwa sawa .kwanza inabidi mtulize mgonjwa na umuondoleee wasiwasi .hatua hii husaidia kupunguza msukumo wa damu unasababishwa usaambaji wa sumu kwa haraka katika mwili wa binadamu  ikiwa mazingira yanaruhusu .unaweza kubaini haina ya nyoka aliyemjeruhi .kama umemuona baini ili isaidie wakati wa matibabu kwa haraka zaidi.

 

  1. Mgonjwa muondolee vitu vyote vya kubana kama nguo ,Pete ,sas,mkanda,kwenye sehemu iliyoumia kwani sehemu hio inaweza kuvimba kwa haraka zaidi na kumletea matatizo.

 

  1. Kama amepata jeraha la kidonda vaaa glavu .msafishe jeraha kwa pamba yenye dawa ili kuua vijidudu bila kumwaga maji na kumfunga kwa bandeji au kitambaa safi  katika kidonda chake.

 

Mpeleke mgonjwa hospitalini haraka au mwite mtaalamu wa afya ili kiwezekana hatibiwe hapo hapo. 

       vitu ambavyo hutakiwi kufanya katika kumhudumia aliyeumwa na nyoka.

  1.    Kuchanja au kukata na kitu chochote sehemu aliyeumwa na nyoka usifanye ilo jambo

 

  1. Kufyonza damu au sumu kwenye jeraha kwa kutumia nlmdomo 

 

  1. Kumpa mgonjwa kinywaji chenye kafeini kama vile kahawa pombe ni vitu apaswi kupewa mgonjwa 

 

  1. Kujaribu kumkamata nyoka aliyemuuma majeruhi

 

  1. Usimpatie mgonjwa dawa aina ile

 

 

 

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2743


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi. Soma Zaidi...

nina upungufu wa damu HB 4 niko nyumban maana hispitali nimeruhusiwa ila nina kizungu zungu
Nina shida. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA
Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza. Soma Zaidi...

Vyakula vya fati na mafuta
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta Soma Zaidi...

Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye. Soma Zaidi...

Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda. Soma Zaidi...

Maana ya afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya Soma Zaidi...

Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa
Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...

Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,
Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI
Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo Soma Zaidi...