Hatari ya uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.
Hatari ya kuwepo kwa uzito mkubwa.
1. Kuwepo kwa Saratani ya Koo la chakula.
2. Kuwepo kwa Saratani ya utumbo mkubwa.
3. Kuwepo kwa Saratani ya tumbo la chakula.
4. Kuwepo kwa Saratani ya ini.
5. Kuwepo kwa Saratani ya mfuko wa nyongo.
6. Kuwepo kwa Saratani ya kokngosho.
7. Kuwepo kwa Saratani ya matiti.
8. Kuwepo kwa Saratani ya ovary na Figo.
9. Kuwepo kwa Saratani ya thyroid
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 web hosting π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 Kitabu cha Afya π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 ai web app
Post zinazofanana:
Zijue kazi za uke (vagina)
Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGβATWA NA NYOKA
Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.
Soma Zaidi...Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Upungufu wa damu mwilini
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...