Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri


image


Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.


Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

1.kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa Magonjwa yanayosababishwa na virus huwa hayana dawa kwa hiyo tunaweza kutibu dalili na pengine Mgonjwa huwa kwenye hali ya kawaida na kuendelea na maisha ya kama kawaida. Kwa hiyo tunaweza kutoa huduma zifuatazo.

 

2.Kumpatia Mgonjwa maneno malaini na kuongea naye vizuri kuhusu ugonjwa na kumhakikishia kuwa atapona na kuendelea na hali ya kawaida na kwa wakati huu ni kipindi cha kujua afya ya mgonjwa.kama ana Maambukizi yoyote hasa virusi vya ukimwi na magonjwa mengine na hasa kuja mlo wake na maisha ya kipato ili kuweza kutoa msaada kwa mgonjwa ili apate mlo kamili.

 

3.Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za kupunguza maumivu kama vile panadol, aspirin na dawa nyingine za kupunguza maumivu kwa kadiri ya hali ya mgonjwa.

 

4.Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za acyclovir  ambazo usaidia katika kutibu Magonjwa yanayotokana na virusi na pia mgonjwa anatakiwa kupewa maji mengi ya kunywa ili kuweza kuepuka na matatizo ya dawa hizo kwenye kibofu cha mkojo.

 

5.Na pia kwa mtu mwenye Ugonjwa huu tunapaswa kuzuia ili Ugonjwa usisambae kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na pia elimu inapaswa kutolewa kwa jamii na kwa mgonjwa mwenyewe kuhusu Ugonjwa huu unavyoambukizwa



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Mawakala wa maradhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mawakala wa maradhi Soma Zaidi...

image Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu Soma Zaidi...

image Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

image Madhara ya minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea madhara ya minyoo Soma Zaidi...

image Magonjwa ya kuambukiza
Magonjwa ya kuambukiza: Ni yale yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine au kutoka kwa wanyama kwenda kwa mtu Mlipuko tukio lililoenea la ugonjwa katika jamii kwa wakati fulani ambao huonekana kama kesi mpya kwa kiwango ambacho kinazidi kile kinachotarajiwa, kulingana na uzoefu wa hivi majuzi. Kwa hivyo ni tukio lisilo la kawaida la ugonjwa katika jamii Soma Zaidi...

image Nini husababisha kizunguzungu?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu. Soma Zaidi...

image Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno Soma Zaidi...

image Yaani minasumbuliwa na mgongo kuuma pia kuchoka mgongo na homa zisizo isha
Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha. Soma Zaidi...

image Makundi ya watu walio katika hatari ya kupata Ugonjwa wa Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi. Soma Zaidi...

image Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...