picha

Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

1.kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa Magonjwa yanayosababishwa na virus huwa hayana dawa kwa hiyo tunaweza kutibu dalili na pengine Mgonjwa huwa kwenye hali ya kawaida na kuendelea na maisha ya kama kawaida. Kwa hiyo tunaweza kutoa huduma zifuatazo.

 

2.Kumpatia Mgonjwa maneno malaini na kuongea naye vizuri kuhusu ugonjwa na kumhakikishia kuwa atapona na kuendelea na hali ya kawaida na kwa wakati huu ni kipindi cha kujua afya ya mgonjwa.kama ana Maambukizi yoyote hasa virusi vya ukimwi na magonjwa mengine na hasa kuja mlo wake na maisha ya kipato ili kuweza kutoa msaada kwa mgonjwa ili apate mlo kamili.

 

3.Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za kupunguza maumivu kama vile panadol, aspirin na dawa nyingine za kupunguza maumivu kwa kadiri ya hali ya mgonjwa.

 

4.Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za acyclovir  ambazo usaidia katika kutibu Magonjwa yanayotokana na virusi na pia mgonjwa anatakiwa kupewa maji mengi ya kunywa ili kuweza kuepuka na matatizo ya dawa hizo kwenye kibofu cha mkojo.

 

5.Na pia kwa mtu mwenye Ugonjwa huu tunapaswa kuzuia ili Ugonjwa usisambae kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na pia elimu inapaswa kutolewa kwa jamii na kwa mgonjwa mwenyewe kuhusu Ugonjwa huu unavyoambukizwa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/23/Wednesday - 04:13:13 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2227

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 web hosting    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 ai web app    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Soma Zaidi...
Uvimbe kwenye utandu laini uliopo tumboni (peritonitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.

Soma Zaidi...
Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Soma Zaidi...
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...