picha

Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

1.kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa Magonjwa yanayosababishwa na virus huwa hayana dawa kwa hiyo tunaweza kutibu dalili na pengine Mgonjwa huwa kwenye hali ya kawaida na kuendelea na maisha ya kama kawaida. Kwa hiyo tunaweza kutoa huduma zifuatazo.

 

2.Kumpatia Mgonjwa maneno malaini na kuongea naye vizuri kuhusu ugonjwa na kumhakikishia kuwa atapona na kuendelea na hali ya kawaida na kwa wakati huu ni kipindi cha kujua afya ya mgonjwa.kama ana Maambukizi yoyote hasa virusi vya ukimwi na magonjwa mengine na hasa kuja mlo wake na maisha ya kipato ili kuweza kutoa msaada kwa mgonjwa ili apate mlo kamili.

 

3.Kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za kupunguza maumivu kama vile panadol, aspirin na dawa nyingine za kupunguza maumivu kwa kadiri ya hali ya mgonjwa.

 

4.Mgonjwa anapaswa kupewa dawa za acyclovir  ambazo usaidia katika kutibu Magonjwa yanayotokana na virusi na pia mgonjwa anatakiwa kupewa maji mengi ya kunywa ili kuweza kuepuka na matatizo ya dawa hizo kwenye kibofu cha mkojo.

 

5.Na pia kwa mtu mwenye Ugonjwa huu tunapaswa kuzuia ili Ugonjwa usisambae kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na pia elimu inapaswa kutolewa kwa jamii na kwa mgonjwa mwenyewe kuhusu Ugonjwa huu unavyoambukizwa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2404

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 ai web app     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Njia za kuzuia kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Nini husababisha kizunguzungu?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.

Soma Zaidi...
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.

 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye

Soma Zaidi...