Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Faida za maji ya uvuguvugu.

1. Kuondoa mikunjo.

Kwa kawaida tunafahamu kadri ya mabadiliko ya mazingira Kuna pia kubadilika kwa uso na kuwa na mikunjo au pengine kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini usababisha mwili kuwa na mikunjo na pengine mtu kuonekana akiwa ni Mzee lakini anakuwa na sura ya kitovu bado kwa hiyo kwa matumizi ya maji ya moto usaidia pia kuondoa Sumu mwilini na mtu kuonekana vizuri kabisa.

 

2. Uepusha maumivu mbalimbali.

 Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usababisha kuondoa kwa maumivu ya tumbo wakati wa hedhi pia usaidia kulainika kwa misuli ya kwenye moyo na pia kwa matumizi ya mara Kwa mara usaidia kupunguza maumivu mbalimbali kwenye mwili.

 

3. Usaidia kupunguza Uzito.

Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya moto usaidia pia kupunguza Uzito ambapo uongeza joto la mwili na kusababisha kuyeyuka kwa mafuta kwenye mwili , kwa kitendo cha kuyeyuka kwa mafuta usaidia pia uzito kupungua hali hii uwasaidia watu wengi wenye tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara.

 

4. Uboresha usagaji wa vyakula.

Kuna wakati mwingine panakuwepo na shida kwenye usagaji wa vyakula lakini kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia vyakula kuyeyuka, ila kwa matumizi ya maji ya baridi usababisha kuganda kwa mafuta.

 

5. Maji ya uvuguvugu uboresha mzunguko wa damu mwilini. Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usaidia kuondoa mgandamizo wa nevu za mwili na hivyo usaidia  damu kuzunguka vizuri kabisa kwenye mwili.

 

6. Usaidia kupata usingizi vizuri.

Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia kupata usingizi vizuri kabisa hasa utumiwa kabla ya chakula cha usiku na baada ya chakula cha usiku, kwa kufanya hivyo usaidia kupata usingizi vizuri na WA kutosha.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1506

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Soma Zaidi...
Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)

upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k

Soma Zaidi...
Kazi za vitamin B na makundi yake
Kazi za vitamin B na makundi yake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi za vitamin B na makundi take

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Soma Zaidi...
Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu
Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Uvutaji wa sigara
Uvutaji wa sigara

Somo Hili linakwenda me kuhusu madhara ya uvutaji wa sigara

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu
Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu

Soma Zaidi...