Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.
1. Kuondoa mikunjo.
Kwa kawaida tunafahamu kadri ya mabadiliko ya mazingira Kuna pia kubadilika kwa uso na kuwa na mikunjo au pengine kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini usababisha mwili kuwa na mikunjo na pengine mtu kuonekana akiwa ni Mzee lakini anakuwa na sura ya kitovu bado kwa hiyo kwa matumizi ya maji ya moto usaidia pia kuondoa Sumu mwilini na mtu kuonekana vizuri kabisa.
2. Uepusha maumivu mbalimbali.
Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usababisha kuondoa kwa maumivu ya tumbo wakati wa hedhi pia usaidia kulainika kwa misuli ya kwenye moyo na pia kwa matumizi ya mara Kwa mara usaidia kupunguza maumivu mbalimbali kwenye mwili.
3. Usaidia kupunguza Uzito.
Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya moto usaidia pia kupunguza Uzito ambapo uongeza joto la mwili na kusababisha kuyeyuka kwa mafuta kwenye mwili , kwa kitendo cha kuyeyuka kwa mafuta usaidia pia uzito kupungua hali hii uwasaidia watu wengi wenye tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara.
4. Uboresha usagaji wa vyakula.
Kuna wakati mwingine panakuwepo na shida kwenye usagaji wa vyakula lakini kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia vyakula kuyeyuka, ila kwa matumizi ya maji ya baridi usababisha kuganda kwa mafuta.
5. Maji ya uvuguvugu uboresha mzunguko wa damu mwilini. Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usaidia kuondoa mgandamizo wa nevu za mwili na hivyo usaidia damu kuzunguka vizuri kabisa kwenye mwili.
6. Usaidia kupata usingizi vizuri.
Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia kupata usingizi vizuri kabisa hasa utumiwa kabla ya chakula cha usiku na baada ya chakula cha usiku, kwa kufanya hivyo usaidia kupata usingizi vizuri na WA kutosha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.
Soma Zaidi...