Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Faida za maji ya uvuguvugu.

1. Kuondoa mikunjo.

Kwa kawaida tunafahamu kadri ya mabadiliko ya mazingira Kuna pia kubadilika kwa uso na kuwa na mikunjo au pengine kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini usababisha mwili kuwa na mikunjo na pengine mtu kuonekana akiwa ni Mzee lakini anakuwa na sura ya kitovu bado kwa hiyo kwa matumizi ya maji ya moto usaidia pia kuondoa Sumu mwilini na mtu kuonekana vizuri kabisa.

 

2. Uepusha maumivu mbalimbali.

 Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usababisha kuondoa kwa maumivu ya tumbo wakati wa hedhi pia usaidia kulainika kwa misuli ya kwenye moyo na pia kwa matumizi ya mara Kwa mara usaidia kupunguza maumivu mbalimbali kwenye mwili.

 

3. Usaidia kupunguza Uzito.

Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya moto usaidia pia kupunguza Uzito ambapo uongeza joto la mwili na kusababisha kuyeyuka kwa mafuta kwenye mwili , kwa kitendo cha kuyeyuka kwa mafuta usaidia pia uzito kupungua hali hii uwasaidia watu wengi wenye tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara.

 

4. Uboresha usagaji wa vyakula.

Kuna wakati mwingine panakuwepo na shida kwenye usagaji wa vyakula lakini kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia vyakula kuyeyuka, ila kwa matumizi ya maji ya baridi usababisha kuganda kwa mafuta.

 

5. Maji ya uvuguvugu uboresha mzunguko wa damu mwilini. Kwa matumizi ya maji ya uvuguvugu usaidia kuondoa mgandamizo wa nevu za mwili na hivyo usaidia  damu kuzunguka vizuri kabisa kwenye mwili.

 

6. Usaidia kupata usingizi vizuri.

Kwa matumizi ya mara Kwa mara ya maji ya uvuguvugu usaidia kupata usingizi vizuri kabisa hasa utumiwa kabla ya chakula cha usiku na baada ya chakula cha usiku, kwa kufanya hivyo usaidia kupata usingizi vizuri na WA kutosha.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1536

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu

Soma Zaidi...
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana

Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Soma Zaidi...
Kazi za chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.

Soma Zaidi...
Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal

Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Soma Zaidi...