picha

Mkojo wa kawaida

Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.

Mkojo wa kawaida kwa sababu.

1.Kiwango Cha mkojo

Kwa kawaida kiwango Cha mkojo huwa ni 1000ml to 1500ml hiki kiwango utegemea na vitu vinavyoweza kuingia kwenye mwili kama vimiminika kama ifuayavyo maji ya kunywa, soda ,juice na vinywaji vingine vingi ambayo vinaweza kuongezeka idadi ya maji mwili na pia Kuna kiwango kinachotoka kwa kupitia kwenye mkojo na kutoa jasho kwa hiyo kiwango Cha mkojo ndani ya maasaa ishilini na manne kinapaswa kuwa sawa.

 

2. Rangi ya mkojo.

Kwa kawaida rangi ya mkojo huwa na rangi ya njano iliyo pauka, hii ndiyo rangi harisi ya mkojo,na mkojo ukiwa na rangi nyingine ambazo hazieleweki kama vile nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria hayo ni maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo kwa hiyo mkojo kawaida yake ni kuwa na rangi ya kahawia.

 

3. Mkojo kwa kawaida yake huwa ni asidi.

Kwa kawaida mkojo huwa ni asidi na pH yake uanzia 4.5 mpaka 7.5  mkojo kwa hiyo mkojo ukaa katika pH ya namba hiyo na haibadiliki na ikibadilika ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na sehemu nyingine ambayo uhusika na kuchuja mkojo, lakini mkojo kwa kawaida pH yake huwa ni hiyo hiyo.

 

4. Vitu vilivyopo kwenye mkojo wa kawaida.

Mkojo wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni pamoja na maji ambayo ya asilimia 96, urea ambayo Ina asilimia 2 na uric asidi ambayo Ina asilimia 2, kwa hiyo tunaona kiwango Cha maji kwenye mkojo ni kikubwa mno, kwa hiyo mkojo wa kawaida unapaswa kuwa na vitu kama hivyo, lakini kuwepo kwa sukari kwenye mkojo hivyo ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,

 

5. Uzito wa mkojo. 

Mkojo unapaswa kuwa na uzito mkubwa kuliko maji uzito wa maji ni 1000 ml na Uzito wa mkojo ni kuanzia kwenye 1010 mpaka 1025  uzito huu ubadilika kadri ya kiwango Cha maji  kinachonywewa, kwa hiyo mkojo una uzito mkubwa kuliko maji.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2746

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 ai web app     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Soma Zaidi...
fahamu vitamini A na kazi zake

Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.

Soma Zaidi...
Vipimo vya kuchunguza kama una asidi nyingi tumboni

Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni

Soma Zaidi...