picha

Mkojo wa kawaida

Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.

Mkojo wa kawaida kwa sababu.

1.Kiwango Cha mkojo

Kwa kawaida kiwango Cha mkojo huwa ni 1000ml to 1500ml hiki kiwango utegemea na vitu vinavyoweza kuingia kwenye mwili kama vimiminika kama ifuayavyo maji ya kunywa, soda ,juice na vinywaji vingine vingi ambayo vinaweza kuongezeka idadi ya maji mwili na pia Kuna kiwango kinachotoka kwa kupitia kwenye mkojo na kutoa jasho kwa hiyo kiwango Cha mkojo ndani ya maasaa ishilini na manne kinapaswa kuwa sawa.

 

2. Rangi ya mkojo.

Kwa kawaida rangi ya mkojo huwa na rangi ya njano iliyo pauka, hii ndiyo rangi harisi ya mkojo,na mkojo ukiwa na rangi nyingine ambazo hazieleweki kama vile nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria hayo ni maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo kwa hiyo mkojo kawaida yake ni kuwa na rangi ya kahawia.

 

3. Mkojo kwa kawaida yake huwa ni asidi.

Kwa kawaida mkojo huwa ni asidi na pH yake uanzia 4.5 mpaka 7.5  mkojo kwa hiyo mkojo ukaa katika pH ya namba hiyo na haibadiliki na ikibadilika ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na sehemu nyingine ambayo uhusika na kuchuja mkojo, lakini mkojo kwa kawaida pH yake huwa ni hiyo hiyo.

 

4. Vitu vilivyopo kwenye mkojo wa kawaida.

Mkojo wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni pamoja na maji ambayo ya asilimia 96, urea ambayo Ina asilimia 2 na uric asidi ambayo Ina asilimia 2, kwa hiyo tunaona kiwango Cha maji kwenye mkojo ni kikubwa mno, kwa hiyo mkojo wa kawaida unapaswa kuwa na vitu kama hivyo, lakini kuwepo kwa sukari kwenye mkojo hivyo ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,

 

5. Uzito wa mkojo. 

Mkojo unapaswa kuwa na uzito mkubwa kuliko maji uzito wa maji ni 1000 ml na Uzito wa mkojo ni kuanzia kwenye 1010 mpaka 1025  uzito huu ubadilika kadri ya kiwango Cha maji  kinachonywewa, kwa hiyo mkojo una uzito mkubwa kuliko maji.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/14/Tuesday - 10:47:47 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2592

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Kuboresha afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya

Soma Zaidi...
Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Soma Zaidi...
Faida za damu kwenye mwili

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

Soma Zaidi...