Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
UTARATIBU WA LISHE KWA WAZEEWazee Wazee hawahitaji kuPewa vyakula vya kutia nguvu kwa wingi. Wapewe vyakula vyenye kambakamba ili kuwapunguzia tatizo la kukosa choo na kuwezesha mmeng'enyo wa chakula.Wazee wapewe vyakula vyenye madini ya chuma, zink na kashiam(calcium) ili kupunguza uwezo wa kupata tatizo la anaemia. Pia madini ya zink ni muhimu katika kuufanya mwili uweze kujenga kinga ya mwili (immune system) na kusaidia kupona kwa urahisi na haraka kwa majeraha.Ili kupunguza tatizo la kuchoka kwa mifupa (mifupa kuwa dhaifu) kwa wazee wanatakiwa wapewe vyakula vyenye vitamini D na madini ya kashiam(calcium) kwa wingi.Pia wazee wapewe vyakula ambavyo ni rahisi kutafuna na kumeza. Hii ni kwa sababu wazee wao huwa meno na mifupa yao ni midhaifu pia wana upungufu wa uzalishaji wa mate midomoni mwao kwa mfano baada ya kuwapa nyama wapewe maini.
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?
Soma Zaidi...Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi za vitamin B na makundi take
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...