Aliyepaliwa na maji huduma ya kwanza itakuwaje

Aliyepaliwa na maji huduma ya kwanza itakuwaje

Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.

Download Post hii hapa

🐦 Swali

Aliyepaliwa na maji huduma ya kwanza itakuwaje

 

Jibu: 

👉 Kupaliwa na maji kunaweza kutokea endapo maji yataingia kwenye tundu la hewa wakati wa kunywa. Poa hutokea ukapaliwa na mate wakati wa kuzungumza. 

 

👉 Ikiwa mtu amepaliwa na mate au maji ndani ya sekunde kadhaa,  atarudi katika hali ya kawaida. Yaan hali ya kupaliwa itaondoka. 

 

👉 Endapo hali hiyo itakuwa ni endelevu kwa sekinde nyingi zaidi unatakiwa kumsaidia. Kumsaidoa kwake ni kumpigapiga upande wa mgongoni juu kidogo maeneo ya mabegani. 

 

Kumpigapiga huki kutaweaa kusukuma kilichaompalia nje. Omba msaada wa watu wengine endapo hali itakuwa endelevu kwa dakika moja. 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1989

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa
Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa

Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano

Soma Zaidi...
Aina za kuungua
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...
Mfuno wa damu na makundi manne ya damu na asili yake nani anayepasa kutoa damu?
Mfuno wa damu na makundi manne ya damu na asili yake nani anayepasa kutoa damu?

Posti hii inakwenda kukujuza kuhusu makundi manne ya damu, asili yake, maana ya antijeni na antibody, pia utajifunza kuhusu mfumo wa Rh. Mwisho utajifunza watu wanaopasa kutoa damu.

Soma Zaidi...
Upungufu wa maji
Upungufu wa maji

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
Upungufu wa vyakula na madhara yake
Upungufu wa vyakula na madhara yake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula

Soma Zaidi...
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake

makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?

Soma Zaidi...
Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Soma Zaidi...
Maji
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...