Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
UTARATIBU WA LISHE KWA VIJANAVijanaVijana wanatakiwa wale sana vyakula vya kuupa mwili nguvu yaani vyakula vya wanga. Pia wale kwa wingi vyakula vyenye protini na madini ya chumvuchumvu kama kashiam (calcium), chuma na phosphorous.Vijana wa kike wanatakiwa wale zaidi vyakula vyenye madini ya chuma kwa wingi ili waweze kuwa na damu ya kutosha hususan wakati wa vipindi vyao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo
Soma Zaidi...Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.
Soma Zaidi...