Matokeo ya maumivu makali.

Matokeo ya maumivu makali.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu

Matokeo ya maumivu makali.

1. Mgonjwa ubadilika kimtazamo na pengine anaweza kufanana kama amechanganyikiwa.

Hali hii utokea kwa mgonjwa mwenye maumivu makali kwa sababu mgonjwa anafilili kwamba hatapona na hivyo uanza kubadilika na pengine kuwa mkali, juwa na hasira na pengine kufanana kama amechanganyikiwa na kupoteza mwelekeo.

 

2. Pengine kwa sababu ya maumivu akilala ukosa usingizi na ulala macho kila siku kwa mda mwingine utasikia anaongea mwenyewe usiku au anaita wale ambao hawaumwi na wamelala na aliwalalamikia kuwa wamemwacha na hawamjali kwa hiyo tiba ni lazima ili kumfanya mgonjwa  akaweza kupona na kuwa kawaida.

 

3. Pengine maumivu yakiwa makali sana na wengine ushindwa kabisa kushiriki tendo la ndoa kabisa na hamu kwa wengine uisha kabisa kwa hiyo maumivu yakiwa ya mda mrefu yanaweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa kwa hiyo ni vizuri kutibu maumivu mapema .

 

4. Maumivu pia yanaweza kusababisha kutengana kwa familia kwa sababu kama kutakuwepo na uzembe wa kutoshirikiana katika kuuguza Mgonjwa panaweza kuwepo na kutegeana na pia kama kipato ni kidogo na pia hiyo ni shida kubwa katika kumuuguza mwenye maumivu ya mda mrefu.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kutibu Magonjwa mapema kabisa ili kuepuka hatari ya kuwepo kwa maumivu ya mda mrefu kwa kufanya hivyo tutaweza kuwasaidia wagonjwa wetu pia na jamii iache tabia mbaya ya kuwanyanyapaa wagonjwa hasa wale walio kwenye maumivu makali.

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1217

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Soma Zaidi...
Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.
Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe
Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana

Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto

Soma Zaidi...