Matokeo ya maumivu makali.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu

Matokeo ya maumivu makali.

1. Mgonjwa ubadilika kimtazamo na pengine anaweza kufanana kama amechanganyikiwa.

Hali hii utokea kwa mgonjwa mwenye maumivu makali kwa sababu mgonjwa anafilili kwamba hatapona na hivyo uanza kubadilika na pengine kuwa mkali, juwa na hasira na pengine kufanana kama amechanganyikiwa na kupoteza mwelekeo.

 

2. Pengine kwa sababu ya maumivu akilala ukosa usingizi na ulala macho kila siku kwa mda mwingine utasikia anaongea mwenyewe usiku au anaita wale ambao hawaumwi na wamelala na aliwalalamikia kuwa wamemwacha na hawamjali kwa hiyo tiba ni lazima ili kumfanya mgonjwa  akaweza kupona na kuwa kawaida.

 

3. Pengine maumivu yakiwa makali sana na wengine ushindwa kabisa kushiriki tendo la ndoa kabisa na hamu kwa wengine uisha kabisa kwa hiyo maumivu yakiwa ya mda mrefu yanaweza kusababisha kuvunjika kwa ndoa kwa hiyo ni vizuri kutibu maumivu mapema .

 

4. Maumivu pia yanaweza kusababisha kutengana kwa familia kwa sababu kama kutakuwepo na uzembe wa kutoshirikiana katika kuuguza Mgonjwa panaweza kuwepo na kutegeana na pia kama kipato ni kidogo na pia hiyo ni shida kubwa katika kumuuguza mwenye maumivu ya mda mrefu.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kutibu Magonjwa mapema kabisa ili kuepuka hatari ya kuwepo kwa maumivu ya mda mrefu kwa kufanya hivyo tutaweza kuwasaidia wagonjwa wetu pia na jamii iache tabia mbaya ya kuwanyanyapaa wagonjwa hasa wale walio kwenye maumivu makali.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1152

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii

Soma Zaidi...
Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.

Soma Zaidi...
Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure

Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI

Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza nywele za mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.

Soma Zaidi...