Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
1. Pia kuna sababu mbalimbali za kuwepo kwa kizungu Zungu, pengine mtu anaweza kuwa amesimama kwa mda mrefu na damu inashindwa kusafiri sehemu mbalimbali za mwili hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
2. Pengine ni kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa fulani kama vile Malaria ambayo haujatibiwa nayo Usababisha kizunguzungu.
3. Sababu nyingine ni matumizi ya madawa.
Kuna wakati watu wanatumia madawa makali na hawali na wenyewe upatwa na tatizo hili.
4. Kutoshika au kutokula kwa mda mrefu.
Kuna watu ambao utumia mda mwingi bila kula na hao pia usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
5. Kuwepo kwa shinikizo la damu la ghafla.
Kuna wakati mtu mwingine anakuwa na shinikizo la damu bila kujua na anapatiwa na kuzungu Zungu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
Soma Zaidi...Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno
Soma Zaidi...Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...