Fahamu kuhusu kizunguzungu
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
Fahamu kuhusu kizunguzungu.
1. Pia kuna sababu mbalimbali za kuwepo kwa kizungu Zungu, pengine mtu anaweza kuwa amesimama kwa mda mrefu na damu inashindwa kusafiri sehemu mbalimbali za mwili hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
2. Pengine ni kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa fulani kama vile Malaria ambayo haujatibiwa nayo Usababisha kizunguzungu.
3. Sababu nyingine ni matumizi ya madawa.
Kuna wakati watu wanatumia madawa makali na hawali na wenyewe upatwa na tatizo hili.
4. Kutoshika au kutokula kwa mda mrefu.
Kuna watu ambao utumia mda mwingi bila kula na hao pia usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
5. Kuwepo kwa shinikizo la damu la ghafla.
Kuna wakati mtu mwingine anakuwa na shinikizo la damu bila kujua na anapatiwa na kuzungu Zungu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 web hosting 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 ai web app 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Soma Zaidi...Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Kazi ya chanjo ya kifua kikuu
Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.
Soma Zaidi...Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha
Soma Zaidi...