Fahamu kuhusu kizunguzungu
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
Fahamu kuhusu kizunguzungu.
1. Pia kuna sababu mbalimbali za kuwepo kwa kizungu Zungu, pengine mtu anaweza kuwa amesimama kwa mda mrefu na damu inashindwa kusafiri sehemu mbalimbali za mwili hali ambayo Usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
2. Pengine ni kwa sababu ya kuwepo kwa ugonjwa fulani kama vile Malaria ambayo haujatibiwa nayo Usababisha kizunguzungu.
3. Sababu nyingine ni matumizi ya madawa.
Kuna wakati watu wanatumia madawa makali na hawali na wenyewe upatwa na tatizo hili.
4. Kutoshika au kutokula kwa mda mrefu.
Kuna watu ambao utumia mda mwingi bila kula na hao pia usababisha kuwepo kwa kizungu Zungu.
5. Kuwepo kwa shinikizo la damu la ghafla.
Kuna wakati mtu mwingine anakuwa na shinikizo la damu bila kujua na anapatiwa na kuzungu Zungu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Soma Zaidi...Kuboresha afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya
Soma Zaidi...Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...Kazi ya chanjo ya kifua kikuu
Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.
Soma Zaidi...