Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Athari za mkojo mwilini.

1. Kitendo cha mkojo kubaki mwilini ninmatokeo ya Figo kushindwa kufanya kazi kwa hiyo mkojo ujaa kwenye damu, yaani ni kama vile umejikojolea kwenye damu, kwa hiyo uchafu wote ukaa mwilini na kuchanganyikana na damu hali inayopelekea mwili mzima kujaa mkojo.

 

2. Hali hii ya mkojo kujaa kila sehemu kwenye damu usababisha kuhathiri kila kiungo kwenye mwili, kwa sababu damu ikisafiri usafiri na mkojo kwa hiyo viungo vyote uathiriwa kama vile moyo, ubongo, tumbo na sehemu zote za mwili ambapo damu upita uathiriwa na Sumu ya mkojo.

 

3. Kwa hiyo kila kiungo cha mwili ujaa maji, yaani kuvimba, utakuta miguu imevimba macho yamevimba, tumbo limejaa maji,na pia mapafu nayo ujaa maji hali inayosababisha mwili wa mgonjwa kuwa na hali mbaya zaidi, pia mgonjwa huwa na kichefuchefu  kwa sababu ya mwili kujaa maji na kwa wakati mwingine kutapika damu.

 

4. Kwa hiyo mgonjwa hasipopota matibabu mapema anaweza kufikia pabaya , baada ya kuona dalili kama hizi ni vizuri kabisa kuwahi hospital Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea.

 

5. Na pia ni vizuri kuanza mahudhulio kwenye kuosha Figo kwa sababu pamoja na dawa ndiyo njia pekee ya kuondoa Sumu ya mkojo kwenye damu.

 

6. Pamoja na hayo no vizuri kabisa kutumia maji mengi kabla haujaugua pamoja na kujiepusha na vyakula vya kemikali ambavyo ndicho chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Figo ni vizuri kabisa kulinda afya zetu kwa sababu gharama ya kuosha Figo ni kubwa mno ambayo ni Wachache wanaweza kupata.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/11/Monday - 01:05:11 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 873

Post zifazofanana:-

Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia Ugonjwa wa ini
Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini. Soma Zaidi...

Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...

Mda wa kufanya tendo la ndoa baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

Aina za swala..
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA VIRUSI VYA VYA UKIMWI NA ATHARI ZAKE
Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia' tutangalia' njia za kujikinga na' ugonjwa wa UKIMWI Soma Zaidi...

Imani potofu juu ya chanjo.
Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo. Soma Zaidi...

Uchambuzi wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Kufungua program nyingi kwa wakati mmoja
Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufungua program nyingi kwa wakati mmoja Soma Zaidi...

Niambie mwanya na pengo kwa kiingereza vinaitwaje?
Give inakuwa mwajima unaitwaje kwa kiingereza. Kama hilo haji base niambie pengo linaitwaje kwa kiingereza. Soma Zaidi...

Faida za mchaichai/ lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai Soma Zaidi...