Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Athari za mkojo mwilini.

1. Kitendo cha mkojo kubaki mwilini ninmatokeo ya Figo kushindwa kufanya kazi kwa hiyo mkojo ujaa kwenye damu, yaani ni kama vile umejikojolea kwenye damu, kwa hiyo uchafu wote ukaa mwilini na kuchanganyikana na damu hali inayopelekea mwili mzima kujaa mkojo.

 

2. Hali hii ya mkojo kujaa kila sehemu kwenye damu usababisha kuhathiri kila kiungo kwenye mwili, kwa sababu damu ikisafiri usafiri na mkojo kwa hiyo viungo vyote uathiriwa kama vile moyo, ubongo, tumbo na sehemu zote za mwili ambapo damu upita uathiriwa na Sumu ya mkojo.

 

3. Kwa hiyo kila kiungo cha mwili ujaa maji, yaani kuvimba, utakuta miguu imevimba macho yamevimba, tumbo limejaa maji,na pia mapafu nayo ujaa maji hali inayosababisha mwili wa mgonjwa kuwa na hali mbaya zaidi, pia mgonjwa huwa na kichefuchefu  kwa sababu ya mwili kujaa maji na kwa wakati mwingine kutapika damu.

 

4. Kwa hiyo mgonjwa hasipopota matibabu mapema anaweza kufikia pabaya , baada ya kuona dalili kama hizi ni vizuri kabisa kuwahi hospital Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea.

 

5. Na pia ni vizuri kuanza mahudhulio kwenye kuosha Figo kwa sababu pamoja na dawa ndiyo njia pekee ya kuondoa Sumu ya mkojo kwenye damu.

 

6. Pamoja na hayo no vizuri kabisa kutumia maji mengi kabla haujaugua pamoja na kujiepusha na vyakula vya kemikali ambavyo ndicho chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Figo ni vizuri kabisa kulinda afya zetu kwa sababu gharama ya kuosha Figo ni kubwa mno ambayo ni Wachache wanaweza kupata.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1528

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 web hosting    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mdogo anayeumwa

Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano

Soma Zaidi...
Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

Soma Zaidi...
Vipimo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo vya minyoo

Soma Zaidi...
binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Soma Zaidi...
Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...