Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Athari za mkojo mwilini.

1. Kitendo cha mkojo kubaki mwilini ninmatokeo ya Figo kushindwa kufanya kazi kwa hiyo mkojo ujaa kwenye damu, yaani ni kama vile umejikojolea kwenye damu, kwa hiyo uchafu wote ukaa mwilini na kuchanganyikana na damu hali inayopelekea mwili mzima kujaa mkojo.

 

2. Hali hii ya mkojo kujaa kila sehemu kwenye damu usababisha kuhathiri kila kiungo kwenye mwili, kwa sababu damu ikisafiri usafiri na mkojo kwa hiyo viungo vyote uathiriwa kama vile moyo, ubongo, tumbo na sehemu zote za mwili ambapo damu upita uathiriwa na Sumu ya mkojo.

 

3. Kwa hiyo kila kiungo cha mwili ujaa maji, yaani kuvimba, utakuta miguu imevimba macho yamevimba, tumbo limejaa maji,na pia mapafu nayo ujaa maji hali inayosababisha mwili wa mgonjwa kuwa na hali mbaya zaidi, pia mgonjwa huwa na kichefuchefu  kwa sababu ya mwili kujaa maji na kwa wakati mwingine kutapika damu.

 

4. Kwa hiyo mgonjwa hasipopota matibabu mapema anaweza kufikia pabaya , baada ya kuona dalili kama hizi ni vizuri kabisa kuwahi hospital Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea.

 

5. Na pia ni vizuri kuanza mahudhulio kwenye kuosha Figo kwa sababu pamoja na dawa ndiyo njia pekee ya kuondoa Sumu ya mkojo kwenye damu.

 

6. Pamoja na hayo no vizuri kabisa kutumia maji mengi kabla haujaugua pamoja na kujiepusha na vyakula vya kemikali ambavyo ndicho chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Figo ni vizuri kabisa kulinda afya zetu kwa sababu gharama ya kuosha Figo ni kubwa mno ambayo ni Wachache wanaweza kupata.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1692

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Msaada kwa wenye tonsils

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Soma Zaidi...
Upungufu wa vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.

Soma Zaidi...
Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA

Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...
Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.

Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.

Soma Zaidi...
Njia ambazo maradhi huambukizwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa

Soma Zaidi...