Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni
1. Kama tunavyofahamu kwamba kwenye tumbo kuna asidi au tindikali ambayo inafanya kazi ya mmeng'enyo wa chakula.ila kuna kipindi inaongezeka na kuleta madhara kama vile kiungulia.
2. Kuna vipimo mbalimbali ambavyo utumika kuangalia kiwango cha asidi mwilini ambayo imezidi.
3. Kipimo cha kwanza ni kioo au x- ray kwa lugha ya kitaalamu ambapo kimiminika na kumezwa ili kuweza kutambua kiwango cha asidi mwilini wakati wa kupigwa kioo.
4. Kipimo kingine ni endoscopy.
Ni kama kamera fulani ambayo uwekwa kwenye sherehe za tumbo na picha yote ya kwenye tumbo uoneshwa kwenye screen
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...