Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Sababu za kutomengenywa chakula tumboni.

1. Kuwepo kwa vidonda vya tumbo.

Kama tunavyofahamu kwamba vidonda vya tumbo ni kizuizi kikubwa cha chakula kushindwa kumengenywa kwa hiyo kama mtu ana matatizo ya vidonda vya tumbo na hajapima ila anaona kwamba chakula hakimengenywi ni vizuri kabisa kuchukua matibabu ili kuangalia tatizo zaidi.

 

 

 

 

2. Kuwepo kwa uvimbe tumboni.

Na hili ni tatizo kubwa zaidi ambalo usababisha chakula kutomengenywa kwa sababu kuna watu wengi wamepatwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe na bila kujua na dalili mojawapo ni kujaribu kuwepo kwa shida katika mmeng'enyo wa chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima ili kuona chanzo ni nini?

 

 

 

 

3. Kuwepo kwa mawe kwenye figo.

Hili nalo ni tatizo la nawe kwenye figo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali kwa sababu mbalimbali kwa hiyo kama tatizo hili halijagunduliwa na kuna Dalili ya chakula kushindwa kumengenywa vipimo ni lazima.

 

 

 

 

4. Kuvimba kwa kongosho.

Kama kuna matatizo kwenye kongosho nayo usababisha chakula kushindwa kumengenywa tumboni.

 

 

 

 

5. Saratani kwenye utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo la kusababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu baadhi ya mifumo kwenye mmeng'enyo uaribiwa.

 

 

 

 

6. Kuziba kwa utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo ambalo usababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu mifumo mbalimbali kwenye utumbo ushindwa kufanya kazi na kusababisha chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

7. Kupungua kwa mzunguko wa damu.

Kuna wakati mwingine kuna tatizo la kupungua kwa tatizo la mzunguko wa damu hivyo usababisha. Chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

8. Ukosefu wa choo na Bawasili.

Nacho ni mojawapo ya sababu ya kushinda kumengenywa kwa chakula kwa sababu chakula kikishindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kutoa choo ni vizuri kabisa kupima uenda ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo katika kumengenywa kwa chakula.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2003

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Soma Zaidi...
Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto

Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini

Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.

Soma Zaidi...
Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Soma Zaidi...
Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...