ZIJUE SABABU ZA CHAKULA KUSHINDWA KUMENGENYWA KWENYE TUMBO.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni


Sababu za kutomengenywa chakula tumboni.

1. Kuwepo kwa vidonda vya tumbo.

Kama tunavyofahamu kwamba vidonda vya tumbo ni kizuizi kikubwa cha chakula kushindwa kumengenywa kwa hiyo kama mtu ana matatizo ya vidonda vya tumbo na hajapima ila anaona kwamba chakula hakimengenywi ni vizuri kabisa kuchukua matibabu ili kuangalia tatizo zaidi.

 

 

 

 

2. Kuwepo kwa uvimbe tumboni.

Na hili ni tatizo kubwa zaidi ambalo usababisha chakula kutomengenywa kwa sababu kuna watu wengi wamepatwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe na bila kujua na dalili mojawapo ni kujaribu kuwepo kwa shida katika mmeng'enyo wa chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima ili kuona chanzo ni nini?

 

 

 

 

3. Kuwepo kwa mawe kwenye figo.

Hili nalo ni tatizo la nawe kwenye figo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali kwa sababu mbalimbali kwa hiyo kama tatizo hili halijagunduliwa na kuna Dalili ya chakula kushindwa kumengenywa vipimo ni lazima.

 

 

 

 

4. Kuvimba kwa kongosho.

Kama kuna matatizo kwenye kongosho nayo usababisha chakula kushindwa kumengenywa tumboni.

 

 

 

 

5. Saratani kwenye utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo la kusababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu baadhi ya mifumo kwenye mmeng'enyo uaribiwa.

 

 

 

 

6. Kuziba kwa utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo ambalo usababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu mifumo mbalimbali kwenye utumbo ushindwa kufanya kazi na kusababisha chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

7. Kupungua kwa mzunguko wa damu.

Kuna wakati mwingine kuna tatizo la kupungua kwa tatizo la mzunguko wa damu hivyo usababisha. Chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

8. Ukosefu wa choo na Bawasili.

Nacho ni mojawapo ya sababu ya kushinda kumengenywa kwa chakula kwa sababu chakula kikishindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kutoa choo ni vizuri kabisa kupima uenda ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo katika kumengenywa kwa chakula.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni Soma Zaidi...

image Madhara ya kuchelewa kutibu tatizo la kiafya
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa. Soma Zaidi...

image Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii . Soma Zaidi...

image JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutumia tissue au toilet paper
Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri. Soma Zaidi...

image Namna ya kufanya ngozi juwa laini
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote. Soma Zaidi...

image TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO
POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi. Soma Zaidi...

image hathari zitokanazo na uvutaji wa sigara ,pombe na madawa ya kulevya na mbinu za kujikinga nayo
Posti hii inahusu zaidi utumiaji wa pombe na sigara pamoja na madawa katika jamii. Soma Zaidi...

image Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili
Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili. Soma Zaidi...

image Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...