Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Sababu za kutomengenywa chakula tumboni.

1. Kuwepo kwa vidonda vya tumbo.

Kama tunavyofahamu kwamba vidonda vya tumbo ni kizuizi kikubwa cha chakula kushindwa kumengenywa kwa hiyo kama mtu ana matatizo ya vidonda vya tumbo na hajapima ila anaona kwamba chakula hakimengenywi ni vizuri kabisa kuchukua matibabu ili kuangalia tatizo zaidi.

 

 

 

 

2. Kuwepo kwa uvimbe tumboni.

Na hili ni tatizo kubwa zaidi ambalo usababisha chakula kutomengenywa kwa sababu kuna watu wengi wamepatwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe na bila kujua na dalili mojawapo ni kujaribu kuwepo kwa shida katika mmeng'enyo wa chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima ili kuona chanzo ni nini?

 

 

 

 

3. Kuwepo kwa mawe kwenye figo.

Hili nalo ni tatizo la nawe kwenye figo ni ugonjwa ambao uwapata watu mbalimbali kwa sababu mbalimbali kwa hiyo kama tatizo hili halijagunduliwa na kuna Dalili ya chakula kushindwa kumengenywa vipimo ni lazima.

 

 

 

 

4. Kuvimba kwa kongosho.

Kama kuna matatizo kwenye kongosho nayo usababisha chakula kushindwa kumengenywa tumboni.

 

 

 

 

5. Saratani kwenye utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo la kusababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu baadhi ya mifumo kwenye mmeng'enyo uaribiwa.

 

 

 

 

6. Kuziba kwa utumbo.

Nalo ni mojawapo ya tatizo ambalo usababisha chakula kushindwa kumengenywa kwa sababu mifumo mbalimbali kwenye utumbo ushindwa kufanya kazi na kusababisha chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

7. Kupungua kwa mzunguko wa damu.

Kuna wakati mwingine kuna tatizo la kupungua kwa tatizo la mzunguko wa damu hivyo usababisha. Chakula kushindwa kumengenywa.

 

 

 

8. Ukosefu wa choo na Bawasili.

Nacho ni mojawapo ya sababu ya kushinda kumengenywa kwa chakula kwa sababu chakula kikishindwa kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kutoa choo ni vizuri kabisa kupima uenda ni kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo katika kumengenywa kwa chakula.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2267

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza nywele za mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.

Soma Zaidi...
Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini K na kazi zake mwilini

vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini?

Soma Zaidi...
Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua

Soma Zaidi...
Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...