Yajue malengo ya kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.

Malengo ya kusafisha vidonda.

1. Kulinda kidonda kutokana na Maambukizi ya wadudu mbalimbali, tukumbuke kuwa vidonda vingine ni visafi na having wadudu kwa hiyo Ili kufanya kidonda kipone haraka ni kukisafisha Ili kiweze kutoingiliwa na wadudu na kuongeza maambukizi zaidi.

 

2. Tunasafisha vidonda Ili kuondoa unyevunyevu na kuondoa tisu zilizoharibika, kwenye vidonda uwa Kuna tisu zilizoharibika na kwa kawaida huwa ni nyeusi kwa rangi kwa hiyo tunapaswa kuondoa hizo tisu Ili zisijeendelea kuleta maambukizi zaidi na pia tunatoa unyevunyevu ambao unaweza kuwa chanzo Cha maambukizi mapya. In Kwa hiyo tunajua kuwa kuwepo kwa unyevunyevu kwenye sehemu ya kidonda na kuongezeka kwa maambukizi mapya.

 

3.Tunasafisha vidonda Ili tuweze kufunga vizuri sehemu mbalimbali zilizoharibika na kuifanya sehemu hiyo iweze kukaa kwenye hali inayoitajika kwa hiyo kwa wale wenye vidonda ni vizuri kusafisha kidonda kwenye sehemu za hospitalin na vituo mbalimbali vya afya Ili kuweza kuweka kidonda chako kwenye hali inayostahili hii usababisha kupona kidonda kwa haraka kuliko kawaida, kwa hiyo wote wenye vidonda nenda vituo vya afya mkapewa maelekezo zaidi.

 

4.Tunasafisha vidonda Ili kuongeza kiwango Cha vidonda kupona kwa haraka, ikiwa vidonda vimesafishwa kwa mda mwafaka na kw wakati bila kupitia sehemu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa kutopona vidonda upona haraka hata kama kina ukubwa kiasi gani, kwa hiyo kidonda kukisafishwa upona haraka, kwa hiyo wale wote wenye vidonda ambavyo mnaona ni vikubwa au vidogo vipelekwe hospitalini haraka Ili visafishwe na viweze kupona haraka.

 

5. Tunasafisha vidonda Ili kuweka pressure kwenye kidonda na hapo tutaweza kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa hiyo kama Kuna kidonda pengine uwa Kuna damu kwa kusafisha kidonda tunaweza kupunguza kuvuja kwa kidonda na kusababisha kupunguza kiwango Cha damu mwilini.



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/12/14/Tuesday - 08:23:42 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1206


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha Soma Zaidi...

Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...

Faida za minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo Soma Zaidi...

Matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu. Soma Zaidi...

Njia za kujikinga na kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari Soma Zaidi...

Vyakula vya fati na mafuta
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta Soma Zaidi...

Namna ya kujikinga na kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu Soma Zaidi...

Nini husababisha mdomo kuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko Soma Zaidi...