Yajue malengo ya kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.

Malengo ya kusafisha vidonda.

1. Kulinda kidonda kutokana na Maambukizi ya wadudu mbalimbali, tukumbuke kuwa vidonda vingine ni visafi na having wadudu kwa hiyo Ili kufanya kidonda kipone haraka ni kukisafisha Ili kiweze kutoingiliwa na wadudu na kuongeza maambukizi zaidi.

 

2. Tunasafisha vidonda Ili kuondoa unyevunyevu na kuondoa tisu zilizoharibika, kwenye vidonda uwa Kuna tisu zilizoharibika na kwa kawaida huwa ni nyeusi kwa rangi kwa hiyo tunapaswa kuondoa hizo tisu Ili zisijeendelea kuleta maambukizi zaidi na pia tunatoa unyevunyevu ambao unaweza kuwa chanzo Cha maambukizi mapya. In Kwa hiyo tunajua kuwa kuwepo kwa unyevunyevu kwenye sehemu ya kidonda na kuongezeka kwa maambukizi mapya.

 

3.Tunasafisha vidonda Ili tuweze kufunga vizuri sehemu mbalimbali zilizoharibika na kuifanya sehemu hiyo iweze kukaa kwenye hali inayoitajika kwa hiyo kwa wale wenye vidonda ni vizuri kusafisha kidonda kwenye sehemu za hospitalin na vituo mbalimbali vya afya Ili kuweza kuweka kidonda chako kwenye hali inayostahili hii usababisha kupona kidonda kwa haraka kuliko kawaida, kwa hiyo wote wenye vidonda nenda vituo vya afya mkapewa maelekezo zaidi.

 

4.Tunasafisha vidonda Ili kuongeza kiwango Cha vidonda kupona kwa haraka, ikiwa vidonda vimesafishwa kwa mda mwafaka na kw wakati bila kupitia sehemu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa kutopona vidonda upona haraka hata kama kina ukubwa kiasi gani, kwa hiyo kidonda kukisafishwa upona haraka, kwa hiyo wale wote wenye vidonda ambavyo mnaona ni vikubwa au vidogo vipelekwe hospitalini haraka Ili visafishwe na viweze kupona haraka.

 

5. Tunasafisha vidonda Ili kuweka pressure kwenye kidonda na hapo tutaweza kuzuia kuvuja kwa kidonda kwa hiyo kama Kuna kidonda pengine uwa Kuna damu kwa kusafisha kidonda tunaweza kupunguza kuvuja kwa kidonda na kusababisha kupunguza kiwango Cha damu mwilini.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2300

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Aliyepaliwa na maji huduma ya kwanza itakuwaje

Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti

Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.

Soma Zaidi...
Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Soma Zaidi...
Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Soma Zaidi...
Namna ya kumfanyia usafi Mgonjwa kwa mwili mzima.

Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...