Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari

1.kwanza kabisa ongea nao Ili kujua kuwa Dalili walizonazo ni za maambukizi kwenye milija na ovari kweli au ni ugonjwa mwingine kabisa.

 

2.Kama utagundua kuwa ni ugonjwa wa maambukizi kwenye milija na ovari, wanaoweza kutumia vidonge vya antibiotics vinavyoua bakteria ambao usababisha maambukizi

3.Achann na kutumia antibiotics kwa mda mrefu maana uua bakteria ambao huitwa normal frola, kabla ya kutumia vidonge vya antibiotics para ushauri kwa daktari kwanza

 

4. Tumia dawa zinazoua bakteria wote hasa wale wanaosababisha magonjwa ya ngono, kwa sababu huwezi kujua ni Aina gani ya bakteria

 

5. Mwambie mgonjwa alete na mwenzi wake kusudi waweze kutibiwa wote

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1091

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Sababu za maumivu ya mwili.
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo
Njia za kukabiliana na minyoo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo

Soma Zaidi...
Roghage/ vyakula vya kambakamba
Roghage/ vyakula vya kambakamba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage

Soma Zaidi...
Zijue kazi za ini
Zijue kazi za ini

Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na kisukari
Njia za kujikinga na kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari

Soma Zaidi...
Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika
Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Vipimo vya kuchunguza kama una asidi nyingi  tumboni
Vipimo vya kuchunguza kama una asidi nyingi tumboni

Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni

Soma Zaidi...
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...