Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
Namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari
1.kwanza kabisa ongea nao Ili kujua kuwa Dalili walizonazo ni za maambukizi kwenye milija na ovari kweli au ni ugonjwa mwingine kabisa.
2.Kama utagundua kuwa ni ugonjwa wa maambukizi kwenye milija na ovari, wanaoweza kutumia vidonge vya antibiotics vinavyoua bakteria ambao usababisha maambukizi
3.Achann na kutumia antibiotics kwa mda mrefu maana uua bakteria ambao huitwa normal frola, kabla ya kutumia vidonge vya antibiotics para ushauri kwa daktari kwanza
4. Tumia dawa zinazoua bakteria wote hasa wale wanaosababisha magonjwa ya ngono, kwa sababu huwezi kujua ni Aina gani ya bakteria
5. Mwambie mgonjwa alete na mwenzi wake kusudi waweze kutibiwa wote
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 web hosting 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Soma Zaidi...Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho
Soma Zaidi...Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal
Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.
Soma Zaidi...