Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Aina tatu za mvunjiko.

1. Kuvunjika ambako uambatana na kidonda kilicho wazi, hii ni Aina ya kuvunjika ambako uambatana na kidonda ambacho linakuwa wazi pengine na mfupa uonekana kuwa umevunjika na kidonda juu yake, kwa hiyo ukipata mgonjwa kama huyu kitu Cha kwanza kabisa ni kusafisha kidonda na kukifunga vizuri kusudi kuepuka madhara ya kuingiliwa na bakteria, hasa Haina hii ya kuvunjika ikitokea Mtu akiwa mbali na hospitalin hatua ya kwanza kabisa ni lazima kuzuia kuvuja kwa damu kwa Maana vidonda kama hivi uambatana na kuvuja damu.

 

unaweza kutafuta kitambaa kizuri ambacho ni kisafi unamfunga mgonjwa Ili damu isiendelee kutoka, pia unahakikisha unamfunga sehemu iliyopata ajali au iliyovunjika Ili kama ni mguu usiende una nesanesa hii inaweza kusababisha madhara mengine au kuendelea kuwepo kwa maumivu.

 

2. Kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu iliyovunjika, 

Hii ni Aina nyingine ya kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu ambapo mtu amavunjika, Aina hii ya kuvunjika uleta maumivu makali sana kwa mgonjwa hali ambayo umfanya mgonjwa kusikia maumivu makali, Aina hii ya kuvunjika usababisha kuvujia kwa ndani kwa hiyo mtu kama amevinjika namna hii unapaswa kugusagusa mguu III kuangalia hali yake na pia Aina hii ya kuvunjika inapaswa mtu afungwe vizuri Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara mengine .

 

3. Aina nyingine ya kuvunjika ni Ile ya kuharibika kwa mishipa inayosafilisha damu yote yaani artery, veini na kapilali zote zinaharibika na pia Neveu zinaharibika na tisu zilizozunguka zinaharibika, mtu aliyecunjika namna hii anaweza hasisukie maumivu yoyote kwa sababu ya kuharibika kwa sehemu za nevu ambazo upelekea taarifa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine, kwa hiyo kwa upande wa wahudumu inabidi kufuata kila hatua Ili kuweza kumhudumia huyu Mgonjwa na kupunguza maumivu kwa Sababu akipona tu anasikia maumivu kama kawaida

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 4023

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia vidonge vya ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...
Ajali ya jicho

Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli

Soma Zaidi...
Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...
Dalili za shambulio la hofu

Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba

Soma Zaidi...
Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...