Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.
Aina tatu za mvunjiko.
1. Kuvunjika ambako uambatana na kidonda kilicho wazi, hii ni Aina ya kuvunjika ambako uambatana na kidonda ambacho linakuwa wazi pengine na mfupa uonekana kuwa umevunjika na kidonda juu yake, kwa hiyo ukipata mgonjwa kama huyu kitu Cha kwanza kabisa ni kusafisha kidonda na kukifunga vizuri kusudi kuepuka madhara ya kuingiliwa na bakteria, hasa Haina hii ya kuvunjika ikitokea Mtu akiwa mbali na hospitalin hatua ya kwanza kabisa ni lazima kuzuia kuvuja kwa damu kwa Maana vidonda kama hivi uambatana na kuvuja damu.
unaweza kutafuta kitambaa kizuri ambacho ni kisafi unamfunga mgonjwa Ili damu isiendelee kutoka, pia unahakikisha unamfunga sehemu iliyopata ajali au iliyovunjika Ili kama ni mguu usiende una nesanesa hii inaweza kusababisha madhara mengine au kuendelea kuwepo kwa maumivu.
2. Kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu iliyovunjika,
Hii ni Aina nyingine ya kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu ambapo mtu amavunjika, Aina hii ya kuvunjika uleta maumivu makali sana kwa mgonjwa hali ambayo umfanya mgonjwa kusikia maumivu makali, Aina hii ya kuvunjika usababisha kuvujia kwa ndani kwa hiyo mtu kama amevinjika namna hii unapaswa kugusagusa mguu III kuangalia hali yake na pia Aina hii ya kuvunjika inapaswa mtu afungwe vizuri Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara mengine .
3. Aina nyingine ya kuvunjika ni Ile ya kuharibika kwa mishipa inayosafilisha damu yote yaani artery, veini na kapilali zote zinaharibika na pia Neveu zinaharibika na tisu zilizozunguka zinaharibika, mtu aliyecunjika namna hii anaweza hasisukie maumivu yoyote kwa sababu ya kuharibika kwa sehemu za nevu ambazo upelekea taarifa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine, kwa hiyo kwa upande wa wahudumu inabidi kufuata kila hatua Ili kuweza kumhudumia huyu Mgonjwa na kupunguza maumivu kwa Sababu akipona tu anasikia maumivu kama kawaida
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
Soma Zaidi...upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.
Soma Zaidi...