Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Aina tatu za mvunjiko.

1. Kuvunjika ambako uambatana na kidonda kilicho wazi, hii ni Aina ya kuvunjika ambako uambatana na kidonda ambacho linakuwa wazi pengine na mfupa uonekana kuwa umevunjika na kidonda juu yake, kwa hiyo ukipata mgonjwa kama huyu kitu Cha kwanza kabisa ni kusafisha kidonda na kukifunga vizuri kusudi kuepuka madhara ya kuingiliwa na bakteria, hasa Haina hii ya kuvunjika ikitokea Mtu akiwa mbali na hospitalin hatua ya kwanza kabisa ni lazima kuzuia kuvuja kwa damu kwa Maana vidonda kama hivi uambatana na kuvuja damu.

 

unaweza kutafuta kitambaa kizuri ambacho ni kisafi unamfunga mgonjwa Ili damu isiendelee kutoka, pia unahakikisha unamfunga sehemu iliyopata ajali au iliyovunjika Ili kama ni mguu usiende una nesanesa hii inaweza kusababisha madhara mengine au kuendelea kuwepo kwa maumivu.

 

2. Kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu iliyovunjika, 

Hii ni Aina nyingine ya kuvunjika ambako hakuna kidonda kwenye sehemu ambapo mtu amavunjika, Aina hii ya kuvunjika uleta maumivu makali sana kwa mgonjwa hali ambayo umfanya mgonjwa kusikia maumivu makali, Aina hii ya kuvunjika usababisha kuvujia kwa ndani kwa hiyo mtu kama amevinjika namna hii unapaswa kugusagusa mguu III kuangalia hali yake na pia Aina hii ya kuvunjika inapaswa mtu afungwe vizuri Ili kuepuka kuendelea kuleta madhara mengine .

 

3. Aina nyingine ya kuvunjika ni Ile ya kuharibika kwa mishipa inayosafilisha damu yote yaani artery, veini na kapilali zote zinaharibika na pia Neveu zinaharibika na tisu zilizozunguka zinaharibika, mtu aliyecunjika namna hii anaweza hasisukie maumivu yoyote kwa sababu ya kuharibika kwa sehemu za nevu ambazo upelekea taarifa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine, kwa hiyo kwa upande wa wahudumu inabidi kufuata kila hatua Ili kuweza kumhudumia huyu Mgonjwa na kupunguza maumivu kwa Sababu akipona tu anasikia maumivu kama kawaida

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3858

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini

Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.

Soma Zaidi...
Madhara ya ulevi
Madhara ya ulevi

Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu

Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.

Soma Zaidi...
Athari za mkojo mwilini.
Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto

Soma Zaidi...
Nini husababisha mdomo kuwa mchungu
Nini husababisha mdomo kuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo
Njia za kukabiliana na minyoo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...