Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Kazi za ini
_ hutunza sukari iliyohifadhiwa kwa ajili ya kutumika baadae
_ hutengeneza vitamini A
_ husaidia mafuta yaliyohifadhiwa kuyabadilisha kuwa nguvu na kutumiwa kwenye mwili
_ husaidia kutunza madini ya chuma ambayo husaidia kuongeza damu
_ huzalisha joto kwenye mwili
_ husaidia kuondoa sumu kwenye mwili
_ huzuia maambukizi kwenye mwili
_ husaidia kutengeneza damu
_ huzalisha nguvu kwenye mwili
_ hulinda mwili kwa kuupatia kinga ya mwili
_ hutoa nyongo ambayo husaidia kumengenya chakula
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2021/11/20/Saturday - 06:25:43 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1965
Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Soma Zaidi...
Makundi ya watu walio katika hatari ya kupata Ugonjwa wa Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi. Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.
Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao. Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa. Soma Zaidi...
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona. Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango. Soma Zaidi...
Umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano Soma Zaidi...
Sababu za Kukoma hedhi (perimenopause)
Kukoma hedhi hufafanuliwa kuwa hutokea miezi 12 baada ya kipindi chako cha mwisho cha hedhi na huashiria mwisho wa mizunguko ya hedhi. Kukoma hedhi kunaweza kutokea katika miaka ya 40 au 50. Kukoma hedhi ni mchakato wa asili wa kibaolojia. Ingawa pia inamaliza uzazi, unaweza kuwa na afya, muhimu na ngono. Wanawake wengine huhisi utulivu kwa sababu hawahitaji tena kuwa na wasiwasi kuhusu ujauzito. Soma Zaidi...
Kujaa gesi tumboni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)
Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jeraha butu au la kupenya la kifua, taratibu fulani za matibabu zinazohusisha mapafu yako, au uharibifu kutokana na ugonjwa wa msingi wa mapafu. Au inaweza kutokea bila sababu dhahiri. Dalili kwa kawaida hujumuisha'maumivu ya ghafla ya kifua'na upungufu wa kupumua. Soma Zaidi...
Maradhi ya macho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake Soma Zaidi...
Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha, mabaka mekundu, uvimbe na malengelenge kwenye ncha za miguu, kama vile vidole vya miguu, vidole, masikio na pua. Ugonjwa huu unaweza kuwa bora zenyewe, haswa kadiri hali ya hewa inavyozidi kuwa joto. kawaida hupotea ndani ya wiki moja hadi tatu, ingawa zinaweza kutokea tena kwa msimu kwa miaka. Matibabu kawaida hujumuisha lotions na dawa. Ingawa hazisababishi majeraha ya kudumu, zinaweza kusababisha maambukizi, ambayo yanaweza kusababisha madhara makubwa yasipotibiwa. Soma Zaidi...