Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua
Viwango vitatu vya kuungua
1.Kuungua sehemu ya juu ya mwili
Hii ni pale mtu anapoungua juu ya ngozi bila kuaribika kwa mishipa ya damu na neva
Dalili zake
.mwili kuwa mwekundu
. Maumivu
,.sehemu ya juu inayofunika mwili nayo uungua
2. Kuungua kwa kuingia ndani ya nyama
Kuungua Huku hutokea wakati sehemu ya kwanza inayofunika mwili kuungua na sehemu ya pili pia uungua.
Dalili zake
. Maumivu makali
. Kuvimba kunakoambatana na maji kwa kitaalamu huitwa ( brister )
3. Kuungua sehemu ya ndani kabisa ya mwili ambapo Neva na mishipa inayosafilisha damu uungua.
Dalili zake
.Hakuna maumivu yoyote kwa sababu Neva zimepungua
. Sehemu zote tatu za mwili uungua
.Neva na mishipa inayosafilisha damu uungua.
Kwa hiyo tujue kwamba mtu akiungua ameunguaje na tuone namna ya kumsaidia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.
Soma Zaidi...hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha kazi 5 za maafu mwilimi. Wengi tunajuwa tu kuwa mapafu yanafanya kazi ya kupumuwa. ila si hivyo tu yapo mengi zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
Soma Zaidi...Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...