Viwango vitatu vya kuungua.


image


Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua


Viwango vitatu vya kuungua

1.Kuungua sehemu ya juu ya mwili

Hii ni pale mtu anapoungua juu ya ngozi bila kuaribika kwa mishipa ya damu na neva

Dalili zake

.mwili kuwa mwekundu

. Maumivu 

,.sehemu ya juu inayofunika mwili nayo uungua

2. Kuungua kwa kuingia ndani ya nyama

Kuungua Huku hutokea wakati sehemu ya kwanza inayofunika mwili kuungua na sehemu ya pili pia uungua.

Dalili zake 

. Maumivu makali

. Kuvimba kunakoambatana na maji kwa kitaalamu huitwa ( brister )

3. Kuungua sehemu ya ndani kabisa ya mwili ambapo Neva na mishipa inayosafilisha damu uungua.

Dalili zake

.Hakuna maumivu yoyote kwa sababu Neva zimepungua

. Sehemu zote tatu za mwili uungua

.Neva na mishipa inayosafilisha damu uungua.

Kwa hiyo tujue kwamba mtu akiungua ameunguaje na tuone namna ya kumsaidia.



Sponsored Posts


  👉    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       👉    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       👉    3 Madrasa kiganjani offline       👉    4 Jifunze Fiqh    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.
 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye kifua chako. Soma Zaidi...

image Samaani nilikuwa nauriza ninasumburiwa na fanga ya mdomoni naomba ushauri
Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa. Soma Zaidi...

image Maambukizi ya tishu ya Matiti.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi ya tishu ya matiti ambayo husababisha maumivu ya matiti, uvimbe, joto na uwekundu. Pia unaweza kuwa na Homa na baridi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wanaonyonyesha ingawa wakati mwingine hali hii inaweza kutokea kwa wanawake ambao hawanyonyeshi. Mara nyingi, unyonyeshaji kwenye Ugonjwa huu hutokea ndani ya wiki sita hadi 12 baada ya kujifungua (baada ya kuzaa), lakini inaweza kutokea baadaye wakati wa kunyonyesha. Hali hiyo inaweza kukufanya ujisikie kudhoofika, hivyo kufanya iwe vigumu kumtunza mtoto wako. Soma Zaidi...

image Dalili za saratani ya ini.
posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphragm yako na juu ya tumbo lako. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)
Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu wa mara kwa mara wa kumeza, ambao unaweza kutokea wakati unakula haraka sana au usipotafuna chakula chako vya kutosha, kwa kawaida sio sababu ya wasiwasi Lakini ukizid kuendelea unaweza kuonyesha hali mbaya. Soma Zaidi...

image Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho Soma Zaidi...

image Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.
Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini vinavyohitajika kwa sababu dawa hizo uingiliana na uzalishaji wa maziwa. Soma Zaidi...

image Mambo ambayo yanaweza kuongeza hatari ya Ugonjwa wa Homa ya ini yenye sumu.
Posti hii inazungumzia zaidi kuhusiana na Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuguswa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, madawa ya kulevya au virutubisho vya lishe. Katika baadhi ya matukio, homa ya ini yenye sumu hukua ndani ya saa au siku baada ya kuathiriwa na sumu.Katika hali nyingine, inaweza kuchukua miezi ya matumizi ya kawaida kabla ya dalili na dalili za homa ya ini yenye sumu kuonekana. Lakini homa ya ini yenye sumu inaweza kuharibu ini kabisa, na kusababisha kovu lisiloweza kutenduliwa la tishu za ini (cirrhosis) na katika visa vingine ini kushindwa kufanya kazi Soma Zaidi...

image Nna mimba ya miez miezi mitano 5 naruhusiwa kula papai kwa wing
Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya miezi mitano. Soma Zaidi...

image Dalili za coma
Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi. Soma Zaidi...