Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Visababishi vya magonjwa.
1.Kama tulivyoona kuwa ugonjwa ni hali ya kufanya ogani mbalimbali kwenye mwili kushindwa kufanya kazi yake hali hiyo usababisha mwili kutokuwa kawao kwa hiyo kuna mambo mbalimbali ambayo uweza kusababisha ugonjwa, mambo hayo ni kama ifuatavyo.
2.Kuwepo kwa maambukizi.
Maambukizi ni mojawapo ya ya sababu ya kuwepo kwa magonjwa, utokea pale wadudu wanaoshambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha magonjwa wadudu wenyewe ni kama vile bakteria, virusi na wadudu wa aina yoyote uweza kusababisha maambukizi hatimaye Magonjwa.
3.Kuwepo kwa sumu.
Sumu nayo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu sumu ikiingia mwilini na kusababisha uharibifu wowote katika mwili hali hii upelekea kuwepo kwa magonjwa kwa hiyo tunapaswa kuepuka na vyakula ambavyo vinasababisha sumu mwilini kwa sababu sumu ilishaingia mwilini na kuaribu sehemu mbalimbali za mwili hatimaye tunapata Magonjwa.
4.Kuwepo kwa ajali.
Ajali nazo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu mtu akivunjika sehemu mojawapo ya mwili anaweza kuwa ni mgonjwa kwa mda mrefu kwa hiyo tunapaswa kujitahidi kuepukana na ajali mbalimbali kwa sababu ndizo chanzo cha ajali.
5.Mazingira
Na mazingira yenyewe yanakuwa chanzo cha ajali kwa sababu kutokana na uchafuzi wa mazingira au hali ya hewa kubadilika usababisha Magonjwa mbalimbali kwa mfano kuaribika kwa hozoni layer usababisha mwanga wa jua kuja moja kwa moja kwenye uso wa dunia na baadae Magonjwa mbalimbali yameweza kutokea.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.
Soma Zaidi...