Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Visababishi vya magonjwa.
1.Kama tulivyoona kuwa ugonjwa ni hali ya kufanya ogani mbalimbali kwenye mwili kushindwa kufanya kazi yake hali hiyo usababisha mwili kutokuwa kawao kwa hiyo kuna mambo mbalimbali ambayo uweza kusababisha ugonjwa, mambo hayo ni kama ifuatavyo.
2.Kuwepo kwa maambukizi.
Maambukizi ni mojawapo ya ya sababu ya kuwepo kwa magonjwa, utokea pale wadudu wanaoshambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha magonjwa wadudu wenyewe ni kama vile bakteria, virusi na wadudu wa aina yoyote uweza kusababisha maambukizi hatimaye Magonjwa.
3.Kuwepo kwa sumu.
Sumu nayo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu sumu ikiingia mwilini na kusababisha uharibifu wowote katika mwili hali hii upelekea kuwepo kwa magonjwa kwa hiyo tunapaswa kuepuka na vyakula ambavyo vinasababisha sumu mwilini kwa sababu sumu ilishaingia mwilini na kuaribu sehemu mbalimbali za mwili hatimaye tunapata Magonjwa.
4.Kuwepo kwa ajali.
Ajali nazo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu mtu akivunjika sehemu mojawapo ya mwili anaweza kuwa ni mgonjwa kwa mda mrefu kwa hiyo tunapaswa kujitahidi kuepukana na ajali mbalimbali kwa sababu ndizo chanzo cha ajali.
5.Mazingira
Na mazingira yenyewe yanakuwa chanzo cha ajali kwa sababu kutokana na uchafuzi wa mazingira au hali ya hewa kubadilika usababisha Magonjwa mbalimbali kwa mfano kuaribika kwa hozoni layer usababisha mwanga wa jua kuja moja kwa moja kwenye uso wa dunia na baadae Magonjwa mbalimbali yameweza kutokea.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1737
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitabu cha Afya
👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6 Madrasa kiganjani
Faida za seli
Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu. Soma Zaidi...
Malengo ya kutibu ukoma
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix. Soma Zaidi...
Faida za tumbo katika mwili wa binadamu
Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula, Soma Zaidi...
Namna ya kuyatunza macho
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi Soma Zaidi...
Namna ya kuchoma chanjo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa. Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI
Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo. Soma Zaidi...
Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo , Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...