image

Visababishi vya magonjwa.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Visababishi vya magonjwa.

1.Kama tulivyoona kuwa ugonjwa ni hali ya kufanya ogani mbalimbali kwenye mwili kushindwa kufanya kazi yake hali hiyo usababisha mwili kutokuwa kawao kwa hiyo kuna mambo mbalimbali ambayo uweza kusababisha ugonjwa, mambo hayo ni kama ifuatavyo.

 

2.Kuwepo kwa maambukizi.

Maambukizi ni mojawapo ya ya sababu ya kuwepo kwa magonjwa, utokea pale wadudu wanaoshambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha magonjwa wadudu wenyewe ni kama vile bakteria, virusi na wadudu wa aina yoyote uweza kusababisha maambukizi hatimaye Magonjwa.

 

3.Kuwepo kwa sumu.

Sumu nayo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu sumu ikiingia mwilini na kusababisha uharibifu wowote katika mwili hali hii upelekea kuwepo kwa magonjwa kwa hiyo  tunapaswa kuepuka na vyakula ambavyo vinasababisha sumu mwilini kwa sababu sumu ilishaingia mwilini na kuaribu sehemu mbalimbali za mwili hatimaye tunapata Magonjwa.

 

4.Kuwepo kwa ajali.

Ajali nazo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu mtu akivunjika sehemu mojawapo ya mwili anaweza kuwa ni mgonjwa kwa mda mrefu kwa hiyo tunapaswa kujitahidi kuepukana na ajali mbalimbali kwa sababu ndizo chanzo cha ajali.

 

5.Mazingira 

Na mazingira yenyewe yanakuwa chanzo cha ajali kwa sababu kutokana na uchafuzi wa mazingira au hali ya hewa kubadilika usababisha Magonjwa mbalimbali kwa mfano kuaribika kwa hozoni layer usababisha mwanga wa jua kuja moja kwa moja kwenye uso wa dunia na baadae Magonjwa mbalimbali yameweza kutokea.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1525


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng,area na wadudu
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo Soma Zaidi...

Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi Soma Zaidi...

Uvimbe kwenye utandu laini uliopo tumboni (peritonitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis. Soma Zaidi...

Umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua. Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa. Soma Zaidi...

Jifunze namna ya kutoa huduma ya kwanza
Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni Soma Zaidi...

Uvutaji wa sigara
Somo Hili linakwenda me kuhusu madhara ya uvutaji wa sigara Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa Soma Zaidi...

Kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio. Soma Zaidi...