Visababishi vya magonjwa.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Visababishi vya magonjwa.

1.Kama tulivyoona kuwa ugonjwa ni hali ya kufanya ogani mbalimbali kwenye mwili kushindwa kufanya kazi yake hali hiyo usababisha mwili kutokuwa kawao kwa hiyo kuna mambo mbalimbali ambayo uweza kusababisha ugonjwa, mambo hayo ni kama ifuatavyo.

 

2.Kuwepo kwa maambukizi.

Maambukizi ni mojawapo ya ya sababu ya kuwepo kwa magonjwa, utokea pale wadudu wanaoshambulia sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha magonjwa wadudu wenyewe ni kama vile bakteria, virusi na wadudu wa aina yoyote uweza kusababisha maambukizi hatimaye Magonjwa.

 

3.Kuwepo kwa sumu.

Sumu nayo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu sumu ikiingia mwilini na kusababisha uharibifu wowote katika mwili hali hii upelekea kuwepo kwa magonjwa kwa hiyo  tunapaswa kuepuka na vyakula ambavyo vinasababisha sumu mwilini kwa sababu sumu ilishaingia mwilini na kuaribu sehemu mbalimbali za mwili hatimaye tunapata Magonjwa.

 

4.Kuwepo kwa ajali.

Ajali nazo ni chanzo cha Magonjwa kwa sababu mtu akivunjika sehemu mojawapo ya mwili anaweza kuwa ni mgonjwa kwa mda mrefu kwa hiyo tunapaswa kujitahidi kuepukana na ajali mbalimbali kwa sababu ndizo chanzo cha ajali.

 

5.Mazingira 

Na mazingira yenyewe yanakuwa chanzo cha ajali kwa sababu kutokana na uchafuzi wa mazingira au hali ya hewa kubadilika usababisha Magonjwa mbalimbali kwa mfano kuaribika kwa hozoni layer usababisha mwanga wa jua kuja moja kwa moja kwenye uso wa dunia na baadae Magonjwa mbalimbali yameweza kutokea.

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/09/Wednesday - 08:18:39 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1384

Post zifazofanana:-

Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure
Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili Soma Zaidi...

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa hiyo anapaswa kupewa huduma muhimu kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Maambukizi ya tezi za mate
Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio yako. Ikiwa wewe au mtoto wako atapatwa na mabusha, inaweza kusababisha uvimbe katika tezi moja au zote mbili. Soma Zaidi...

Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari. Soma Zaidi...

Upungufu wa protin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini Soma Zaidi...

Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo. Soma Zaidi...

Vyakula vya kuoambana na mafua
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua Soma Zaidi...

Aina za minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya aina za minyoo Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu
Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia. Soma Zaidi...

Upungufu wa vyakula vya madini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini Soma Zaidi...

mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis C
Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini uonekane. Soma Zaidi...