Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida. Joto linaweza kufika nyuzi 40 za sentigredi. Hali hii inaweza kupelekea kufa kwa viungo vya ndani kama ini, figo moyo na ubongo. Ukikutana na mgonjwa wa hali hii kwa hakika anahitaji huduma ya kwanza haraka iwezekanavyo.
Endapo mgonjwa huyu hduma ya kwanza ikichelewa inaweza kuhatarisha maisha yake ama uharibifu wa afya yake kwa ujumla. Endapo hali hii itaambatana na homa kali, maumivu ya kichwa, kichefuchefu, kutokwa n adamu za pua, ama kuchanganyikiwa mpeleke mgonjwa kituo cha afya. Huduma ya kwanza kwa mgonjwa huyu ni kama ifuatavyo:
1.mpunguzie mgonjwa nguo, abakiwe na nguo laini na chache
2.Mpeleke sehemu iliyopoa nabyenye baridi
3.Mpe maji yaliyopoa anywe
4.Tumia nguo mbichi na iliyopowa, ama sponji lenge maji yaliyopoa, fanya kama una mfuta mgonjwa.
5.Kama kuna feni karibu unaweza utumia ama muweke kwenye IC.
6.kama hali inaendelea basi awahishwe kituo cha afya mara moja.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu
Soma Zaidi...Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...